Tag Archives: uhondo wa kiswahili schemes of work

Kiswahili Schemes of Work Form 4, Term 1-3 (Chemchemi)

Looking for free Kiswahili Schemes of work using the Chemchemi za Kiswahili reference text? Download them below at no cost..

Download a pdf and editable copy of the schemes of work here;

Free updated schemes of work for all subjects (Secondary)

Schemes of work for all subjects, free updated downloads

FORM 4 KISWAHILI SCHEMES OF WORK FOR TERM 1-3

MAAZIMIO YA KAZI

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUHULA WA I

 

1

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Kinyamkela cha chamchela ya mkala

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa matamshi bora

(b)    Kueleza maana ya msamiati na kutunga sentensi

(c)     Kutaja maadilikatika ufahamu

(d)    Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kusoma kwa sauti

·        Kujadiliana

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 1-3

Mwongozo wa mwalimu uk 1-2

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahua (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Sifa bainifu za fasihi simulizi na andishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya fasihi simulizi

(b)    Kutaja sifa bainifu za tanzu hizi mbili

(c)     Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi

 

·        Kudodoso

·        Kueleza

·        Kujadiliana

·        Kuandika

·        Kuuliza maswali

·        Kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 4-5

Mwongozo wa mwalimu uk 2-3

·        Kamusi ya fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kamusi ya fasihi Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31

Mwongozo wa mwalimu uk 22

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

nomino

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya nomino

(b)    Kuainisha makundi ya nomino na kutaja mifano

(c)     Kutumia nomino katika sentensi sahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftarini kwa kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 5-7

Mwongozo wa mwalimu uk 4-5

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6

Mwongozo wa mwalimu uk 23

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Riwaya: usuli na maktadha katika riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza usuli na muktadha wa riwaya teule

(b)    kutaja vigezo vinavyotumika katika uchamburi wa usuli (jumuiya na muktadha wa riwa)

 

·        kueleza

·        kusoma ghibu

·        kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 8-9

Mwongozo wa mwalimu uk 5-7

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya fasihi

·        Darubini ya Kiswahili 4 kitabu cha mwanafunzi uk 222

Mwongozo wa mwalimu uk 148

 

   

6

 

kuandika

 

Insha ya masimulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuandika kwa hati nadhifu na tahajiz sahihi

(b)    Kusimulia kisa kwa mtiririko wenye uakifisho ufaao

 

·        Kuelezsa

·        Kusimuliz kisa kwa sauti darasani

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 9-11

Mwongozo wa mwalimu uk 7-8

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (smon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6

Mwongozo wa mwalimu uk 23

 

 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Fasihi simulizi uainishaji

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana za fasihi simulizi

(b)    Kutaja vipera vya fasihi simulizi

(c)     Kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kukhadithia na kuigiza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 15

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39

·        Kamusi ya Fasihi

·        Fasihi kwa shule za sekondari (Alex ngure)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi uainishaji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana za fasihi simulizi

(b)    kutaja vipera vya fasihi simulizi

(c)     kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kuhadithia na kuigiza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 15

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39

·        Kamusi ya Fasihi

·        Fasihi kwa shule za sekondari (Alex ngure)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 31

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Viwakilishi vionyeshi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya viwakilishi

(b)    Kutaja aina tofauti za viwakilishi

(c)     Kubainisha na kutumia viwakilishi vionyeshi katika sentensi

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kusoma

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 17-22

Mwongozo wa mwalimu uk 13-14

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga) 15-20

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 282-283

Mwongozo wa mwalimu uk 145

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Riwaya Dhamira na maudhui

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya dhamira na maudhui

(b)    Kueleza dhamira ya riwaya teule

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kudodosa nakujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 22-23

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamus ya Kiswahili

·        Mwongozo wa riwaya teule

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 222

 

   

6

 

Kuandika

 

Uandishi wa barua

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa barua ya kirafiki na rasmi

(b)    Kuandika barua ya kirafiki, utaratibu mwafaka

 

·        Kudodosa

·        Kujadili

·        Kukeleza

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 23-24

Mwongozo wa mwalimu uk 15-16

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 10-13

Mwongozo wa mwalimu uk 25-26

 

 

3

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: shairi-utuni nini?

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha muundo wa shairi wa funzo nyinginezo za ushair

(b)    Kuandika kwa lugha nathari

(c)     Kueleza maadili na ujumbe wa shairi

 

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 15

Mwongozo wa mwalimu uk 11

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Nuru ya ushairi

·        Miale ya ushairi

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Hadithi/simulizi

 

Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja vipera vya utanzu wa hadithi

(b)    kutamba hadithi darasani

(c)     kueleza maadili ya hadithi zinazotambwa

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kusikiliza redio

·        kujadili

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 16-17

Mwongozo wa mwalimu uk 11-12

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi uk 39

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya kiswahili

·        Fasihi kwa shule za sekondari (Alex ngure)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 89-90

Mwongozo wa mwalimu uk 64

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mzizi wa kitenzi na viambishi awali na tamati

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vitenzi mbali mbali

(b)    Kutambua mizizi ya vitenzi

(c)     Kutumia viambishi awali kwa usahihi

(d)    Kunyambua vitenzi ili kuvipa viambishi tamati

 

·        Kujadili

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kujibu maswali madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 28-31

Mwongozo wa mwalimu uk 20-25

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Dhamira na maudhui katika riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja maudhi zaidi ya riwaya teule

(b)    Kufafanua maudhui kwa kutoa mifano ya riwayani

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 22-23

Mwongozo wa mwalimu uk 14-15

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

Barua rasmi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza hatua kwa hatua muundo (sehemu muhimu) za rasmi

(b)    Kuandika kwa hati nadhifu

(c)     Kuandika barua rasmi kwa mtiririko ufaao

 

·        Kueleza

·        Kuajdili

·        Kuandika

·        Kusahihisha na kufanya marudio

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 32-39

Mwongozo wa mwalimu uk 23-25

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Insh kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 25-27

Mwongozo wa mwalimu uk 33

 

 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: Jogoo na cheche

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kumoyomoyo na kuelewa

(b)    kubnaini msamiati na fani za lugha na kuzitungia sentensi

(c)     kueleza maadili na ujumbe

(d)    kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi

 

·        kusoma ghibu

·        kujadili

·        kusikiliza

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 34-36

Mwongozo wa mwalimu uk 23-25

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Uchambuzi wa ngano za fasihi simulizi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja aina za ngano

(b)    Kubainisha aina za ngano na kutaja mifano katika jamii yake

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuhadithia

·        kusikiliza

 

·        Chemchemi za Kiswahili 4

Kitabu cha wanafunzi  uk 34-36

Mwongozo wa mwalimu uk 23-25

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 33-35

Mwongozo wa mwalimu uk 35

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Vitenzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja aina za vitenzi

(b)    Kutumia aina mbali mbali za vitenzi katika sentensi

(c)     Kubainisha kauli za vitenzi

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kutunga sentensi

·        Kuandika

·        Kujadili na kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 39-41

Mwongozo wa mwalimu uk 28-29

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili uk 21-24 (Gichochi Waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35

Mwongozo wa mwalimu uk 21-24

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi- muundo na mtindo katika riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanusa muundo wa riwaya teule

(b)    Kueleza mtindo na vipengele vyake katika riwaya

(c)     Kutofautisha baina ya muundo na mtindo katika riwaya

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kueleza mbele ya darasa

·        Kuandika

·        Kutafiti

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 31-32

Mwongozo wa mwalimu uk 22-23

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

Barua rasmi (marudio)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuipitia barua rasmi aliyoandika na kubaini makosa

(b)    Kuandika upya kwa kuaondoa makosa

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        kueleza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 32-33

Mwongozo wa mwalimu uk 24

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

 

5

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: kutanda kwa viwanda ni kuwanda kwa uchumi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe

(b)    Kudondoa ilstilahi za kibiashara na kuzitungia sentensi

 

·        Kusoma kwa sauti na kwa zama

·        Kueleza msamiati

·        Kujadili

·        Kusikilza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 45-47

Mwongozo wa mwalimu uk 34-35

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi semi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja na kueleza vipera vya utanzu wa semi

(b)    kueleza na kutoa mifano kwa kila kipera

(c)     kufanya zoezi kwa ukamilifu na usahihi

 

·        kueleza

·        kusikiza

·        kusoma

·        kuandika

·        kujibu maswali

·        kutafiti zaidi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 37-39

Mwongozo wa mwalimu uk 27-28

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35

Mwongozo wa mwalimu uk 21-24

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi umoja-wingi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kumudu matumizi ya viambishi ngeli

(b)    Kutumia vimilikishi na vivumishi katika umoja na wing

 

·        Kusoma

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

·        Kudodosa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 50-53

Mwongozo wa mwalimu uk 36-38

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya Fafanuzi ya kiswahii uk 37-40

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 45-46

Mwongozo wa mwalimu uk 41-42

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi wahusika wa riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

(a)    Kubainisha aina za wahusika

(b)    Kueleza sifa bainifu za aina mbali mbali za wahusika

(c)     Kueleza umuhimu wa wahusika mbali mbali

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Mwongozo wa riwaya teule

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Kamusi ya Fasihi

 

   

6

 

Kuandika

 

Barua kwa mhariri/za magazetini

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja magazeti mbali mbali ya Kiswahili na sehemu zake

(b)    Kueleza muundo wa barua kwa mhariri

(c)     Kuandika barua kwa mhariri kwa muundo ufaao

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kusoma magazeti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 44

Mwongozo wa mwalimu uk 31-32

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 223

Mwongozo wa mwalimu uk 21-24

 

 

6

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: zingwi zingwi kungwi wa vibarua

 

Kufikia mwisho waw funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa ufasaha

(b)    Kuonea fahari lugha ya kiswahil

(c)     Kukeleza matatizo ya maskini katika jamii

 

·        Kusoma ghibu

·        Maswali ya dodosa

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kutunga sentensi kwa sauti darasani

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 58-60

Mwongozo wa mwalimu uk 48-50

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Misemo na nahau/misimu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya misemo nahau na misemo

(b)    Kutaja na kueleza maana ya baadhi ya misemo, nahau na misimu

(c)     Kueleza umuhimy wa semi katika jamii

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kujadili

·        Kuigiza

·        Kutafiti

·        Kafanya zoezi

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 48-50

Mwongozo wa mwalimu uk 35-36

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alez ngure)

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 43

Mwongozo wa mwalimu uk 40

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Misemo halisi na taarifa

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kupambana muktadha unawakisi matumizi ya usemi halisi na taarifa

(b)    Kubadilisha usemi halisi hadi usemi wa taarifa

(c)     Kutaja mabadiliko ya maneno katika usemi tofauti tofauti

 

·        Kueleza

·        Kudodosa

·        Kujibu maswali

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 53-54

Mwongozo wa mwalimu uk 38

·        Kamusi ya Fasihi

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 249

Mwongozo wa mwalimu uk 57

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi matumizi ya lugha katika Riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza umuhimu wa lugha katika riwaya

(b)    Kuchambua lamathali na matumizi ya lugha katika riwaya

(c)     Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbali mbali

 

·        Kusoma

·        Kuadili

·        Kudodoslo fani za lugha

·        Kuandika

·        Kuwasilisha mbele ya darasa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 55-56

Mwongozo wa mwalimu uk 40-41

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

Ufupisho au muhtasari

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza umuhimu wa kufupisha habari

(b)    kudondoa hoja muhimu katika maelezo marefu

(c)     kufupisha habari ndefu ifaavyo

 

·        kusoma

·        kujadili (hoja muhimu)

·        kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 56-57

Mwongozo wa mwalimu uk 41-42

·        Kamusi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 97-100

Mwongozo wa mwalimu uk 91

 

 

7

 

1-6

 

MTIHANI WA MAPUMZIKO YA KATIKATI YA MUHULA

 

8

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu mradi wa zoeni

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa sauti na matamshi bora

(b)    Kueleza maudhui na maadili katika kifungu

(c)     Kuelewa msamiati nakujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kusoma kwa sauti

·        Kueleza msamiati

·        Kutunga sentensi

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 37-39

Mwongozo wa mwalimu uk 27-28

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi lakabu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya lakabu

(b)    Kutaja lakabu wanazojua na kueleza sababu zao

(c)     Kufafanua asilia na aina za lakabu

 

·        Kusoma kwa sauti

·        Kueleza msamiati

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 60

Mwongozo wa mwalimu uk 44-45

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 279

Mwongozo wa mwalimu uk 145

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa Kiswahili umoja na wingi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutumia viambishi ngeli kwa umoja na wingi kwa usahihi

(b)    Kumundu matumizi ya ‘a’ unganifu katika umoja na wingi ifaavyo

 

·        Kudodosa

·        Kueleza

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 73

Mwongozo wa mwalimu uk 56

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili (Gichohi waihiga)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 45

Mwongozo wa mwalimu uk 41

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Mafunzo ya maadili katika Riwaya

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya riwaya

(b)    kueleza maana ya anwani na umuhimu wake

(c)     kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili

(d)    kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa riwaya

(e)    kutaja maadili katika riwaya

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kuwasilisha mbele ya darasa

·        kaundika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 65-66

Mwongozo wa mwalimu uk 49

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Mwongozo wa riwaya teule

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

6

 

kuandika

 

Insha ya methali

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza kanuni za kuandika insha ya methali

(b)    Kuandika insha ya methali kwa kufuata kanuni

(c)     Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 66-67

Mwongozo wa mwalimu uk 50-51

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 145-148

Mwongozo wa mwalimu uk 91

 

 

9

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: mikakati ya kupunguza umaskini

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kukuza msamiati wake

(b)    Kusoma na kufahamu ujumbe

(c)     Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kutunga sentensi

·        Kutafuta maana kamusini

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 80-82

Mwongozo wa mwalimu uk 60-61

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kamusi ya kiswahili

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Isimu jamii: mazungumzo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya isimu jamii

(b)    Kufafanua maana ya sajili katika lugha

(c)     Kuigiza mazungumzo na kutoa uthibati kuwa ni lugha ya bungani

 

·        Kusoma

·        Kuigiza

·        Kujadili

·        Kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 60-63

Mwongozo wa mwalimu uk 46-47

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Isimu Jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 117-118

Mwongozo wa mwalimu uk 78

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi vivumishi vya pekee

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vivumishi vya pekee vyote (sita)

(b)    Kutumia vivumishi vya pekee kwa upatanisho wa kisarufi ulio sahihi

(c)     Kuribainisha katika sentensi

 

·        Kueleza

·        Kutunga sentensi darasani

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 83-85

Mwongozo wa mwalimu uk 63-64

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 119

Mwongozo wa mwalimu uk 153

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi muktadha na usuli wa tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya tamthilia

(b)    Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia

(c)     Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuwasilisha darasani

·        Kuuliza maswali

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 77-78

Mwongozo wa mwalimu uk 57-58

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kamusi ya fasihi

·

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

kuandika

 

memo

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vipengele muhimu vya ujumbe wa memo

(b)    Kueleza muundo wa memo

(c)     Kuandika memo kwa muundo sahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 38-39

Mwongozo wa mwalimu uk 59

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 127-129

Mwongozo wa mwalimu uk 82

 

 

10

 

1

 

Kusoma

 

Ufahamu: kujuma na njama magazeti

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa ufasaha na kueleza ujumbe

(b)    kueleza maana ya msamiati na kuitungia sentensi sahihi

(c)     kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi

 

·        kujadili

·        kueleza

·        kusoma

·        kutunga sentensi kwa sauti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 92-95

Mwongozo wa mwalimu uk 69-70

·        Kamusi ya misemo na nahua

·        Kamusi ya kiswahili

·        Kamusi ya methali (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi mafumbo (vitendawili

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa aina za vitendawili

(b)    Kutega na kutegua vitendawili kwa usahihi

(c)     Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika jamii

 

·        Kufumba na kufumbua mafumbo

·        Kujadili

·        Kusikiliza

·        Kuandika

·        Kutega na kutegua (mashindano)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 71-72

Mwongozo wa mwalimu uk 54-55

·        Kamusi ya tashbihi, vitendawili, mlio na mshangao (K.W Wamitila)

·        Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 175

Mwongozo wa mwalimu uk 103

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Upatanisho wa kisarufi vionyesho

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha aina tatu za mizizi ya vionyeshi

(b)    Kutumia vionyeshi kwa usahihi kisarufi

 

·        Kueleza

·        Kusimama na kuashiria

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 83-86

Mwongozo wa mwalimu uk 69

·        Sarufi fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 381

Mwongozo wa mwalimu uk 191

 

   

4/5

 

kusoma

 

Fasihi Andishi wahusika na uhusika katika Tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi, aweze

(a)    Kutofautisha uhusiano wa tamthilia na riwaya

(b)    Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kutafiti zaidi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 100-101

Mwongozo wa mwalimu uk 74

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kamusi fasihi

·        Kichochoe cha fasihi simulizi andishi

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

   

6

 

Kuandika

 

Hotuba

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuelezea muundo wa hotuba

(b)    Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti

(c)     Kuandika hotuba kwa hati nadhifu

 

·        Kueleza

·        Kuajdili

·        Kuhutubu mbele ya darasa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 90-91

Mwongozo wa mwalimu uk 68

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kamusi ya kiwahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342

Mwongozo uk 38

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

 

11

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: mfumo wa kiuchumi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma na kudodoa hoja muhimu

(b)    kueleza maana yua msamiati wa uchumi na kuutungia sentensi

(c)     kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kueleza ujumbe na msamiati

·        kutunga sentensi kwa sauti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 104-106

Mwongozo wa mwalimu uk 77-78

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Kamusi ya methali

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342

Mwongozo uk 38

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi utumbi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii

(b)    kusoma mifano kitabuni na kuchambua

(c)     kutofautisha ulumbi na tanzun yinginezo

 

·        kusikiliza

·        kuuliza maswali

·        kuandika

·        kusoma

·        utafiti (kazi ya ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 82-83

Mwongozo wa mwalimu uk 61-62

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 36, 342

Mwongozo uk 38

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Isimu ya jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Matumizi ya viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kubainisha matumizi ya viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ‘ji’

(b)    Kutumia viambishi ‘ndi’ ‘ku’ na ‘ji’ kwa usahihi katika sentensi

 

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kutunga sentensi

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 86-89

Mwongozo wa mwalimu uk 65

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 182

Mwongozo uk 103

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihsi)

 

Wahusika na uhusika katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule

(b)    kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia

 

·        kusoma

·        kutazama

·        kujadili

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 101-106

Mwongozo wa mwalimu uk 74

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na fasihi andishi

 

   

6

 

Kuandika

 

Maagizo na maelekezo

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha umuhimu wa maagizo

(b)    Kufuata maelekezo na maagizo kwa kusoma au kusikiliza

(c)     Kuandika maagizo ifaayo

 

·        Kuigiza

·        Kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 101-102

Mwongozo wa mwalimu uk 75

·

·        Karunzi ya kiswahili 11-12

·        Insha kabambe (simon mutali

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 30

Mwongozo uk

 

 

12-13

 

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE

MAAZIMIO YA KAZI

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUHULA WA II

 

1

 

1

 

Kusoma  (ufahamu)

 

Ufahamu sir aha na karaha

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubaini kwa kifungu hiki ni ngonjera na aeleze sababu

(b)    Kusoma kwa ufasaha na kutaja dhamira na kudondoa mawazo makuu

(c)     Kujibu maswali ya ngonjera kwa usahihi

 

·        Kuigiza

·        Kusoma

·        Kutunga sentensi

·        Kuanika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 113

Mwongozo wa mwalimu uk 84-85

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahua

 

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi malumbano ya utano (isimu jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya utani

(b)    kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni

(c)     kutaja aina za utani

(d)    kutunga utani mbali mbali

 

·        kutamka

·        kueleza

·        kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 95

Mwongozo wa mwalimu uk 70-71

·        Kamusi ya kiwahili

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk

Mwongozo uk

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Viunganishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kutumia viunganishi ifaavyo

(b)    Kubainisha viunganishi kwenye tungo

 

·        Kueleza

·        Kutunga sentensi

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 97

Mwongozo wa mwalimu uk 72-75

·        Sarufu fafanuzi ya kiswahili

·        kitabu cha mwanafunzi uk

Mwongozo uk 113

 

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi muundo namtindo katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweaze

(a)    kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano

(b)    kueleza mtindo katika tamthilia

(c)     kutaja kaida za utunzi wa tamthilia

 

·        kusoma

·        kueleza

·        kujadili

·        kuandika

·        kutafiti 9ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 77

Mwongozo wa mwalimu uk 58

·        Kamusi ya kiwahili

·        Mwongozo wa tamthilia teule

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

 

   

6

 

kuandika

 

Matangazo na tahadhari

 

Kufikia mwisho wa funzo, nwanafunzi aweze

(a)    Kueleza dhamira ya matangazo na tahadhari

(b)    Kutambua vigezo muhimu vya uandishi wa tengazo/tahadhari

(c)     Kuandika tangazo na tahadhari kwa usahihi

 

·        Kuigiza (matangazo)

·        Kusoma

·        Kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 102-103

Mwongozo wa mwalimu uk 76

·        Kamusi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 110

Mwongozo uk  75

 

 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: maruji na mauji ya maji

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa sauti matamshi bora

(b)    kufafanua maana ya msamiati

(c)     kutumia msamiati na semi mpya katika sentensi

(d)    kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kueleza

·        kusoma ghibu

·        maswali dodosa

·        kuandika

·        kutunga sentensi kwa sauti

·        kufanya zoeze

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 124

Mwongozo wa mwalimu uk 71-72

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 110

Mwongozo uk  75

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Mahojiano: mwajiri na mwariwa (isimu jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha mtindo wa mahojiano

(b)    Kufafanua muktadha na wahusika kwa mahojiano

(c)     Kuchambua matumizi ya lugha ya wahusika

(d)    Kuigiza mahojiano darasani

 

·        Kueleza (maana)

·        Kusoma

·        Kusikiliza

·        Kujadilia

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi  uk 96

Mwongozo wa mwalimu uk 71-72

·        Kamusi ya kiwahili

·        Isimu Jamii kwa shule za sekondari

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

vihusishi

 

Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua maana ya vihusishi

(b)    Kutaja aina za vihusishi

(c)     Kubainisha vihusishi katika tungo

 

·        Kueleza

·        Kuigiza (mishangao)

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 108

Mwongozo wa mwalimu uk 80

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi ya kiswawhili

·        Karunzi ya kusoma uk 88

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi: matumizi ya lugha katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja matumizi ya lugha mbali mbali

(b)    kutumia tamthilia teule kutoa mifano

(c)     kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 89

Mwongozo wa mwalimu uk 66-67

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

Kuandika

 

wasifu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

 

·        kueleza

·        kujadili (sifa za kiongozi Fulani)

·        kusoma

·        kueleza mbele ya darasa

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 111

Mwongozo wa mwalimu uk 82

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya kusoma uk 88

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 327

Mwongozo uk  166

 

 

3

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu : enzi ya teknohama

 

Kufikia mwisho wa funzo wanafunzi aweze

(a)    Kusoma ufahamu na kueleza ujumbe uliomo

(b)    Kudondoa istilahi za kiufundi na mawasaliano

(c)     Kueleza matumizi ya baadhi ya vyombo bya teknolojia

 

·        Kueleza

·        Kusoma kwa sauti

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Kamusi ya kiwahili

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi miviga

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya miriga katika jamii

(b)    Kubainisha umuhimu wa mirigi katika jamii

(c)     Kubainisha miviga mizuri na kuendelza na mibaya kupingwa vita

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kujadili

·        Kusoma makala kitabuni kwa sauti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 107

Mwongozo wa mwalimu uk 78-79

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (alex Ngure)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 214

Mwongozo uk  145

 

   

3

 

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Nyakati na hali

 

Kufikia mwihso wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja nyakati kuu za kutuikia vitendo

(b)    Kutumia nyakati kwa usahihi katika maandishi

(c)     Kubaini nyakati katika sentensi

 

·        Kutunga sentensi

·        Kudodosa

·        Kueleza matukio

·        Kusoma makala ktabuni

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 119

Mwongozo wa mwalimu uk 87

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk  65

 

   

4/5

 

Kusoma (Fasihi)

 

Fasihi andishi: maadili na mafunzo katika tamthilia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule

(b)    Kueleza jinsi tamthiliainaafikiana na matukio ya sasa katika jamii

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuzama

·        Maswali na majibu

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 134

Mwongozo wa mwalimu uk 98

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

Kuandika

 

Tawasifu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza maana ya tawasifu

(b)    kutambua aina mbali mbali za tawasifu na umuhimu wake

(c)     kuandika tawasifu yake kwa muundo sahihi

 

·        kueleza

·        kusimama mbele na kutoa historia

·        kutazama na kujadili nakala halisi za tawasifu

·        kusoma

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 122

Mwongozo wa mwalimu uk 89

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya Kiswahili  uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 254

Mwongozo uk  62

 

 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu: haki za binandamu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza haki za binadamu na taasisi zinazozishughulikia

(b)    kutambua hali mbali mbali zinazosababisha uvunjaji wa haki za binadamu

(c)     kufafanua msamiati na kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kusoma

·        kujadili

·        kueleza

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 150

Mwongozo wa mwalimu uk 110-111

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi: Nyimbo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza malengo na dhima ya nyimbo katika jamii

(b)    Kubainisha aina tofauti za nyimbo

(c)     Kuimba nyimbo mbali mbali

 

·        Kusikiliza

·        Kujadili

·        Kuandika

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Ukanushaji: nyakati (li na ta me hu)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kukanusha sentensi zenya nyakati tofauti tofauti

(b)    Kubainisha maabadiliko ya viambishi vya wakati katika kukanusha

(c)     Kufanya zoezi kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kujibu maswali madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 128

Mwongozo wa mwalimu uk 93-94

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk  65

   

4/5

 

Kusoma(Fasihi)

 

Fasojo Amdosjo: Muktadha na usuli katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kubainisha chanzo cha hadithi fupi

(b)    kutumia diwani teule ya hadithi fupi na kueleza mandarin na miktadha

(c)     kufafanua tofauti ya riwaya na hadithi fupi

 

·        kusoma

·        kueleza

·        kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 196

Mwongozo wa mwalimu uk 106

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa diwani teule

·        Kamusi ya methali

 

   

6

 

kuandika

 

Insha ya maelezo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kujieleza kwa mtiririko ufaao

Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo

Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbali mbali za lugha

 

·        Kueleza

·        Kusoma makala kitabuni

·        Kujadili kuhusu vidokezo

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 135

Mwongozo wa mwalimu uk 99-100

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 130

Mwongozo uk  82

 

5

 

1

 

kusoma

 

Ufahamu : utandawazi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa kina na kung’amua ujumbe

(b)    kueleza umuhimu wa utandawazi katika jamii

(c)     kukuza msamiati wake wa mawasiliano

 

·        kusoma kwa sauti

·        kueleza na kujadili kuhusu ujumbe na msamiati

·        kuandika

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk

Mwongozo wa mwalimu uk 118-119

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi: Vipera vingine vya maigizo (ngoma na michezo ya watoto

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kufafanua maana ya ngoma

(b)    kubainisha ngoma mbali mbali na umuhimu wake

(c)     kutaja michezo mbali mbali ya watoto na umuhimu wake

 

Kujadili

Kueleza

Kugiza

Kusoma

kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 126-127

Mwongozo wa mwalimu uk 92-93

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Ukanushaji wa h ali Nge, Ngali na ki ya masharti

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua matumizi ya Nge, Ngali, na Ki

(b)    Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo

(c)     Kukanusha sentensi hali hizo tatu

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kueleza

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157

Mwongozo wa mwalimu uk 116

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

4/5

 

Kusoma (faishi)

 

Dhamira na maudhui katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua dhamira ya hadithi fupi katika diwani teule

(b)    Kubainisha na kufafanua maudhui katika diwani teule ya hadithi fupi

 

·        Kusoma

·        Kuwasilisha mbele ya darasa

·        Kujadili

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157

Mwongozo wa mwalimu uk 116

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

   

6

 

Kuandika

 

Insha ya kitaaluma

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma mifano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi

(b)    kuandika insha yakitaalamu kwa ufasaha

 

·        kudodosa

·        kueleza

·        kujadili

·        kusoma

·        kujibu maswali

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

 

6

 

1

 

kusoma

 

Ufahamu: nyanyeso la jinsia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma na kung’mua maaudhui ya ushairi

(b)    Kusoma mfano kitabuni na kujibu maswali kwa usahihi

(c)     Kujibu maswali ya ufahamu

(d)    Kuchambua msamiati mpya

 

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kukariri

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 173

Mwongozo wa mwalimu uk 126-127

·        Kamusi ya kiwahili

·        uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi ushairi-nyimbo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza sifa za utanzu wa nyimbo

(b)    kuimba wimbo kitabuni

(c)     kuchambua wimbo huo na kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kujadili

·        kusikiliza

·        kuimba

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 139

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Matumizi ya “kwa”

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja matumizi ya “kwa”

(b)    Kubainisha matumizi ya kwa katika sentensi

(c)     Kutunga sentensi sahihi ya matumizi ya kwa

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kusoma

·        Kuandika

·        kueleza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 132-133

Mwongozo wa mwalimu uk 97-98

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk  125

   

4/5

 

Kusoma

 

Maudhui katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maudhui ya hadithi fupi

(b)    Kutoa mifano katika diwani ili kuyakanisha maudhui

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kaundika

·        Utafiti (ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157

Mwongozo wa mwalimu uk 115-116

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

Kuandika

 

Insha ya mazungumzo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha muundo wa insha ya mazungumzo

(b)    Kueleza sifa za mazungumzo mbali mbali

(c)     Kuandika insha ya mazungumzo ifaavyo

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kuigiza

·        Kuandika

·        kusikiliza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155

Mwongozo wa mwalimu uk 116-117

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

Mwongozo uk

 

7

 

1-6

 

MTIHANI NA LIKIZO YA KATIKATI YA MUHULA

 

8

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufupisho kitabu cha hadithi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma hadithi na kuelewa ujumbe

(b)    Kudondoa hoja muhimu

(c)     Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa

 

·        Kusoma

·        Kuajdili

·        kuandka

 

·        riwaya K.V utengano kipimo cha mizani au shamba la wanyama

·        kamusi ya Kiswahili

·        kamusi ya methali

·        kamusi ya fasihi

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Mazungumzo: viwandani Isimu jamii

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua msamiati (sajili) ya viwandani

(b)    Kuigiza mazungumzo viwandani

(c)     Kusoma kifungu kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kuigiza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 140

Mwongozo wa mwalimu uk 104

·        Kamusi ya kiwahili

·        Isimu ya jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kibantu

 

Kufikia mwisho wa funzo,mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vitenzi vya asili ya kibantu

(b)    Kunyambua vitenzi vya aisli ya kibantu

(c)     Kutambua viambishi tamati

 

·        Kudodosa

·        Kujaidli

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 141

Mwongozo wa mwalimu uk 106

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 91

·        Mwongozo uk

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Muundo namtindo wa hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa hadithi fupi kwa kuzingatia diwani teule

(b)    Kutofautisha hadithi na kzi nyinginezo na hathari

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kueleza

·        Kuandika

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftari

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 142

Mwongozo wa mwalimu uk 107

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

 

 

 

6

 

Kuandika

 

 

 

Kumbu kumbu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa kuandika kumbukumbu

(b)    Kutaja umuhimu wa kuandika kumbukumbu kikamilifu na kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Maswali ya dodoso

·        Kusoma mifano kitabuni

·        Kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169

Mwongozo wa mwalimu uk 124

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

9

 

1

 

Kusoma

 

Magazeti (Isimu Jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma makala mbali mbali magazetini na kueleza ujumbe

(b)    Kueleza sajili katika makala mbal mbali

(c)     Kutaja Nyanja mbali mbali zinazoshughulikiwa magazetini

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kuzuru maktaba

 

·        Magazeti (K.V Taifa leo, faifa jumapili,nipashe)

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Kamusi ya methali

·        Isimu jamii kwa shule za sekondri (ipara Isaac Odero)

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W Wamitila)

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihii simulizi:ngano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusimulia ngano na kueleza maadili yaliyomo

(b)    Kusoma ngano kitabuni na kujibu maswali kwa ufahihi

(c)     Kuzungumza kwa matamshi bora na mtiriko ufaao

 

·        Kueleza

·        Kuhadithia ngano

·        Kusoma kwa sauti

·        Kujibu maswali kwa sauti na madaftarini

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 152

Mwongozo wa mwalimu uk 112

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Mnyambuliko wa vitenzi vya kigeni

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja minyambuliko tofauti ya vitenzi

(b)    Kueleza sifa na njia za kunyambua vitenzi vya kigeni

(c)     Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kutunga sentensi

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 155

Mwongozo wa mwalimu uk 114

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 176-181

Mwongozo uk  103

   

4/5

 

Kusoma (fasihi)

 

Fasihi andishi

Wahusika na uhusika katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja wahusika katika hadithi fupi

(b)    Kutambua sifa za wahusika wa hadithi fupi

 

·        Kusoma

·        Kuwasilisha kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179

Mwongozo wa mwalimu uk 133-134

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa teule wa tamthilia

 

   

6

 

kuandika

 

Kumbukumbu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha

(b)    Kuandika ilnsha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kueleza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 169

Mwongozo wa mwalimu uk 124

·        Kamusi ya kiwahili

·        Karunzi ya Kiswahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili

 

 

10

 

1

 

Kusoma

 

Ufahamu: sudi ya sundiata

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kwa sauti na matamshi bora

(b)    Kupanua kiwango cha msamiati na semi

(c)     Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala

 

·        Kusoma kwa sauti darasani

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 183

Mwongozo wa mwalimu uk 137-138

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Maadiliana: mabalozi (Isimu Jamii)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma kwa sauti na matamshi bora

(b)    Kupanua kiwango cha msamiati na semi

(c)     Kueleza hoja muhimu baada ya kusoma makala

 

·        Kusoma kwa sauti darasani

·        Maswal ya dodoso

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 154

Mwongozo wa mwalimu uk 101-113

·        Kamusi ya kiwahili

·        Isimu jamii kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uakifishaji wa mazungumzo Dayolojia

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kueleza matumizi ya alama za uakifisho

(b)    Kutumia alama za uakifishaji kwa usahihi katika dayolojia

(c)     Kuakifisha dayolojia kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kutunga mifano

·        Kusoma mfano kitabuni

·        Kufanya zoezi madaftarini

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 156

Mwongozo wa mwalimu uk 115

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Karunzi ya kusoma uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 121,218,319,373

Mwongozo uk 78,118,161,182

   

4/5

 

Kusoma

 

Wahusika katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja wahusika katika hadithi fupi za diwani teule

(b)    Kueleza sifa na umuhimu wa wahusika hao

 

·        Kutafiti na kuwasihisha

·        Kusoma

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179

Mwongozo wa mwalimu uk 133-134

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

 

   

6

 

 

kuandika

 

Utunzi wa mashairi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutaja na kueleza vigezo muhimu vya kutunga mashairi (arudhi, beti na mishororo)

(b)    kutunga shairi kuhusu mada yoyote

(c)     kubainisha aina ya shairi aliyotunga

 

·        kueleza

·        kujadili

·        kusoma mfano (kitabuni na diwani)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 180

Mwongozo wa mwalimu uk 134-135

·        Kamusi ya kiwahili

·        Diwani ya mashairi mepesi

·        Miale ya ushairi (NES)

·        Nuru ya ushairi

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari (Ipara Isaac Odeo)

 

 

11

 

1

 

kusoma

 

Ufahamu: udamisi wa mzee mtari

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

Kufafanua mawazo makuuu katika kifungu

Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi

Kujibu maswali ya ufahamu kikamilifu

 

·        Kusoma kwa kupokezana

·        Kudodosa

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kujibu maswali

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 195

Mwongozo wa mwalimu uk 119

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya Fasihi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi mighani

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya mighani

(b)    Kubainisha sifa za mighani

(c)     Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kuuliza maswali

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kutafiti (ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 162

Mwongozo wa mwalimu uk 102-103

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 38-

Mwongozo uk  190

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Matumizi “na”

kirai

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kueleza matumizi ya ‘na’

(b)    Kutumia ‘na’ katika tungo kwa usahihi

(c)     Kubainisha matumizi ya ‘na’ katika tungo

(d)    Kutaja maana ya kirai na kueleza aina zake

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kutunga sentensi kwa sauti

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 157,176

Mwongozo wa mwalimu uk 129-131

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 315

Mwongozo uk  161

   

4/5

 

kusoma

 

Wahusika katika hadithi fupi

 

Kufkika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja wahusika katika hadithi fupi

(b)    Kueleza hulka za wahusika hao

(c)     Kufafanua umuhimu wa wahusika hao

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kutafiti (ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 179

Mwongozo wa mwalimu uk 133

·        Mwongozo wa diwani teule (hadithi fupi)

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

   

6

 

kuandika

 

Insha ya mawazo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza muundo wa insha ya mawazo

(b)    Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo

(c)     Kuandika insha ya mawazo ifaavyo

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kusoma

·        kuandika

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 181

Mwongozo wa mwalimu uk 136

·        Karunzi ya kusoma uk 88

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 241

Mwongozo uk 127

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KUFUNGA SHULE
MAAZIMIO YA KAZI

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUHULA WA III

 

1

 

1

 

Kusoma

 

Ufahamu-saula la lishe na vv ukimwi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya VVU na ukimwi

(b)    Kueleza na kuwa na mtazamo chanya kuhusu mapambano dhidi ya ukimwi

(c)     Kujibu maswali kwa usahihi

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kusoma kwa sauti

·        Kueleza

·        Kuandika madaftarini

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 207-209

Mwongozo wa mwalimu uk 154-155

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

 

·        Michoro kitabuni

·        Picha nyinginezo

·        Wanafunzi wenyewe

·        ubao

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi maigizo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutambua muundo wa ngonjera na vichekesho

(b)    kueleza sifa bainisu za vichekesho

(c)     kuigiza vichekesho na ngonjera

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kuigza

·        kusikiliza

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 176

Mwongozo wa mwalimu uk 127-128

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Karunzi ya kiswahili

·        Kamusi ya methali

 

 

·        Nakala (ngonjera) na vichekesho

·        Wanafunzi wenyewe

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

vishanzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya kishanzi

(b)    Kubainisha ailna ya kishanzi

(c)     Kutunga sentensi yenye kitanzi

(d)    Kutambua vishanzi katika tungo

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kujibu maswali kwa sauti

·        Kuandika

·        Kufanya zoezi madaftarilni

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 177-178

Mwongozo wa mwalimu uk 131-132

·        Sarufi  fafanuzi ya kiswawhili

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 365

Mwongozo uk  182

 

·        Chati (vishanzi)

·        Ubao

·        Magazeti (taifa leo)

   

4/5

 

kusoma

 

Fasihi andishi:matumizi ya lugha katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi

(b)    Kufafanua mbinu za sanaa na thima yake katika hadithi

(c)     Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha

 

·        Kusoma

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuwasilisha utafiti

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191

Mwongozo wa mwalimu uk 142

·        Kichocheo cha fasihi simulizi na andishi

·        Mwongozo wa diwani teule

 

 

·        Diwani teule

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

   

6

 

kuandika

 

Uandishi wa simu au telegramu

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza kanuni za uandishi wa telegram

(b)    Kuandaa mfano wa telegram halisi

 

·        Maswali ya dodoso

·        Tumia telegram halisi

·        Kuleza

·        Kuandika telegramu

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 193-194

Mwongozo wa mwalimu uk 143

·        Kamusi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Darubini ya Kiswahili ya kitabu cha mwanafunzi uk 208

Mwongozo uk  113

 

·        Kielezo halilsi cha telegram

·        Kielezo kwenye bango

·        ubao

 

2

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

Maghani na aina zake  

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kusoma umuhimu na asili ya lugha

 

·        Kusoma

·        Kujadili

·        Kudodosa na kujibu maswali

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 219-221

Mwongozo wa mwalimu uk 165-166

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila)

 

 

·        Mchoro kitabuni

·        Ubao

·        Chati (msamiati)

 

   

2

 

Kusikiliza

 

Maghani na aina zake

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maghani ni nini?

(b)    Kutaja na kufafanua aina za maghani

(c)     Kueleza vipinngamizi dhidi ya ukuaji wa Kiswahili

Kueleza maneno mapya na kujibu maswali yote

 

·        Kueleza

·        Kusikiliza

·        Kujadili na kuuliza maswali

·        Kuandika

·        kutafakari

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 185-187

Mwongozo wa mwalimu uk 138-139

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya fasihi

 

 

 

·        Mgeni mwalikwa

·        Wanafunzi wenyewe

·        ubao

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Kundi nomino: kundi tenzi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kutambua kundi nomino na kundi tenzi

(b)    kuandika sentensi zenye KN na KT kwa usahihi

(c)     kujibu maswali kwa usahihi

 

·        kueleza

·        kusoma

·        kukandika madaftarini

·        kufanya zoezi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189

Mwongozo wa mwalimu uk 139-140

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Chati

·        Ubao

·        Magazeti (Taifa leo)

   

4-5

 

Kusoma

 

Matumizi ya lugha katika hadithi fupi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza matumizi ya lugha katika hadithi fupi za diwani teule

(b)    Kubainisha umuhimu wa lugha katika kuendeleza dhamira na maudhui

 

·        Kusoma

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuandika

·        Kutafiti zaidi (kazi ya ziada)

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 191-192

Mwongozo wa mwalimu uk 142

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya fasihi

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Diwani teule

·        Ubao

·        Wanafunzi wenyewe

·        Chati (lugha)

   

6

 

Kuandika

 

Barua meme

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja vijia mbali mbali za mawasiliano

(b)    Kueleza matumizi na muundo wa kuandika barua meme

 

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kuandika madaftarini

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189

Mwongozo wa mwalimu uk 139-140

·        Karunzi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

 

 

·        Kelezo halisi cha barua meme

·        Ubao

·        Chati

·        Magazeti (picha za mawasiliano)

·        Picha (vyombo vya mawasiliano)

 

3

 

1

 

 

Kusoma (ufahamu)

 

Mazoezi (marudio)

1.      Kifungu 3

2.      Kifungu 3

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma vifungu vya ufahamu (mazoezi ya marudio na kujibu kwa usahihi)

(b)    Kupanua uwezo wake kukabili mtihani wa ufahamu

 

·        Kusoma ghibu

·        Kuandika madaftarini

·        Kujadili majibu

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya kiswahili

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Mwanafunzi mwenyewe

·        Ubao

·        Chati (misamiati)

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Soga

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza na kutambua mtindo wa soga

(b)    Kutongoa soga darasani

(c)     Kufafanua umuhimu wa soga

 

·        Kueleza na kujadili

·        Kushiriki katika soga

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 197

Mwongozo wa mwalimu uk 146-147

·        Darubini ya Kiswahili 4. Kitabu cha mwanafunzi uk 314

Mwongozo wa mwalimu uk 158

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (mtindo wake)

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchanganuuzi wa sarufi

 

Kufikia mwisho wa funzi mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja aina na miundo mitatu mikuu ya sentensi

(b)    Kutaja na kueleza aina kuu tatu za kuchanganua sentensi (mistari, jedwali na matawi)

 

·        Kueleza

·        Kusoma

·        Kujadili vielezo

·        Kuchanganua sentensi

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 198-200

Mwongozo wa mwalimu uk 147-148

·        Karunzi ya kiwahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Bango (vielezo vya uchanuzi)

·        Chati (aina)

   

4-5

 

Kusoma (fasihi)

 

Usulu, dhamira na maudhi katika mashairi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kubainisha dhamira na maudhi ya shairi

(b)    Kueleza sifa na kanuni (arudhi) za sahiri la arudhi

(c)     Kubainisha hisia/falsafa tofauti tofauti za mashairi

 

·        Kueleza

·        Kuakariri shairi

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 202-203

Mwongozo wa mwalimu uk 151

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Diwani ya mashairi (arudhi)

·        Wanafunzi wenyewe

·        ubao

   

6

 

kuandika

 

Ratiba

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    kueleza muundo na dhima ya ratiba

(b)    kueleza ratiba yoyote kwa sauti darasani

(c)     kuandika ratiba ya shughuli yoyote

 

·        kueleza

·        kujadili kielelezo

·        kutoa ratiba kwa sauti darasani

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 216-218

Mwongozo wa mwalimu uk 164

·        Karunzi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali chesebe)

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Nakala halisi za ratiba

·        Wanafunzi wneyewe

·        Ubao

 

4

 

1

 

Kusoma (ufahamu)

 

Ufahamu wa jaribio la 3 na la 4

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kimoyomoyo na kuelewa ujumbe

(b)    Kujibu maswali kikamilifu na kwa usahihi

(c)     Kukuza imani yake kufaulu katika funzo la ufahamu

 

·        Kusoma ghibu

·        Kujibu maswali

·        Kusahisha na kujadili majibu

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255

Mwongozo wa mwalimu uk 186-198

·        Kamusi ya kiwahili

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Uboa

·        Chati (msamiati)

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi mawaidha

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua maana ya mawaidha

(b)    Kutambua umuhimu wa mawaidha katika jamii

(c)     Kuigiza utoaji wa mawaidha

(d)    Kujibu maswali kikamilifu

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuchanganua ubaoni

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 188-189

Mwongozo wa mwalimu uk 139-140

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Darubini ya Kiswahili 4 uk 104

 

 

·        Chati (umuhimu wake)

·        Michoro ubaoni

·        Wanafunzi wenyewe

·        Magazeti

·        Hojaji ya utafiti

·        Picha ya wanaotoa mawaidha

   

3

 

Sarufi na matamuzi

 

Uchanganuzi wa sentensi ambatano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutambua viambajengo vya sentensi ambatano

(b)    Kueleza muundo wa kuchanganua sentensi ambatano (mistari, matawi, jedwali)

(c)     Kuchanganua sentensi ambatano

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuchanganua ubaoni

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 210-213

Mwongozo wa mwalimu uk 160-161

·        Kamusi ya kiwahili

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

 

 

·        Chati (uchananuzi

·        Michoro ubaoni

·        Wnanafunzi wenyewe

·        Magazi (sentensi) mbali mbali

   

4/5

 

Kusoma (Fasihii)

 

Fasihi andishi: muundo namtindo katika mashairi

 

Kufiikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza na kufafanua muundo na mtindo wa mashairi huru naya arudhi

(b)    Kutofautisha mundo na mtindo kishairi

(c)     Kujibu maswali ya mashairi kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kughani

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 214-215

Mwongozo wa mwalimu uk 162-163

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

·        Miale ya ushairi (NES)

·        Nuru ya ushairi

 

·        Mashairi kitabuni

·        Diwani ya mashairi

·        Ubao

·        Magazeti (tailfa leo)

·        Chati (mtindo, muundo)

   

6

 

Kuandika

 

Resipe (Ndizi za kuchemsha

 

Kufika mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 232

Mwongozo wa mwalimu uk 174

·        Karunzi ya kiwahili

·        Golden Tips Kiswahili

·        Insha kabmbe (simon mutali)

 

 

·        Vyakula halisi

·        Vielelezo vya resipe

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao chati

 

5

 

1

 

Kusoma (muhtasari

 

Vifungu vya ufupisho. Jaribio la I na II

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua hatua za kukabuli maswali ya ufupisho

(b)    Kusoma vifungu na kudondoa hoja muhimu

(c)     Kufupisha kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Kusoma na kujadili hoja

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240

Mwongozo wa mwalimu uk 175-181

·        Kamusi ya kiwahili

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Fasihi simulizi au Fasihi ya Ngoma

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya ngomezi

(b)    Kuorodhesha na kufafanua sifa za ngomezi

(c)     Kutaja ngoma mbali mbali na kuigiza za jamii zao

(d)    Kueleza dhima ya ngomezi katika jamii

 

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kusoma kwa sauti na kusikiliza

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-240

Mwongozo wa mwalimu uk 175-181

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Darubini ya Kiswahili 4. Uk 294

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya fasihi

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (sifa zake)

·        Vitu halisi (kengele, ngoma, simu)

·        Picha ya magari ya polisi/ambulansi

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

vihusishi

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kueleza maana ya vihusishi na kutaja mifano

(b)    Kutambua vihusishi tofauti tofauti na utendakazi wavyo

 

·        Kueleza

·        Kuigiza hisia mbalil mbali

·        Kusoma

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 213

Mwongozo wa mwalimu uk 160

·        Kamusi ya Tashbihi, vitendawili, milio na mshangao (K.W wamitila)

·        Darubini ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 138

Mwongozo wa mwalimu uk 87

·        Sarufi fafanuzi ya Kiswahili

 

 

·        Chati (vihusishi)

·        Wanafunzi wenyewe

·        Kanda ya sauti

·        Ubao

·        Vitu halisi

   

4/5

 

Kusoma

 

Matumizi ya lugha na mbinu nyiinginezo katika ushairi (Fasihi andishi)

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutaja na kueleza maana ya msamiati wa mashairi

(b)    Kufafanua mbinu ambazo ghalabu hutumika katika mashiri

(c)     Kusoma shairi na kujibu maswali

 

·        Kueleza

·        Kusoma makala kitabuni

·        Kujadili

·        kuandika

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 226-231

Mwongozo wa mwalimu uk 171-173

·        ahili

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

·        Kamusi ya methali

·        Kamusi ya fasihi

·        Kamusi ya misemo na nahau (K.W wamitila

·        Taaluma ya ushairi

·        Miale ya ushairi (NES)

·        Nuru ya ushairi

 

·        Maashairi kitabuni

·        Diwani ya mashairi

·        Ubao

·        Magazeti (taifa leo)

·        Chati (ushairi)

   

6

 

Kuandika

 

Insha bora

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kutofautisha baina ya uandishi wa isha na uandishi wa kikamilifu

(b)    Kutambua hatua muhimu za kuandika kila aina ya insha

(c)     Kuandika insha ya kusisimuliza

 

·        Kuandika

·        Kujadili

·        Majibu na kusahihisha makosa

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk (sehemu ya kuandika)

Mwongozo wa mwalimu uk 186

·        Karunzi ya kiwahili (sehemu za insha)

·        Isnha kabambe (mutali Chesebe)

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Vyakula kitabuni

·        Diwani ya mashairi

·        Ubao

·        Magazeti (taifa leo)

·        Chati (mtindo muundo)

 

6

 

1

 

Kusoma (mazoezi ya marudio)

 

Ufupisho (jaribio III, IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma kifungu na kutoa hoja m uhimu

(b)    Kufupisha kifungu kwa kuunganisha hoja muhimu

 

·        Kusoma

·        Kuandika

·        Kujadilii majibu na kusahihisha

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 247-255

Mwongozo wa mwalimu uk 186-198

·        Karunzi ya kiwahili

(sehemu ya ufupisho)

·        Kamusi ya Kiswahili

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Magazeti

   

2

 

Kusikiliza na kuzungumza

 

Vifungu vya Isimu-jamii majaribio I-IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma vifungu kwa makini

(b)    Kueleza muktadha na sajili za vifungu husika

(c)     Kujibu maswali ya Isimu-jamii kwa usahihi

 

·        Kusoma ghibu

·        Kuandika majibu

·        Kusahihisha

·        Kujadili majibu na masahihisho

·        Kuandika majibu sahihi ubaoni

·        kuigiza

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-255

Mwongozo wa mwalimu uk 175-198

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Isimu-jamii kwa shule za sekondari

 

 

·        Mwanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (muktadha mbali mbali)

 

   

3

 

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Uchanganuzi wa sentensi changamano

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kuchanganua sentensi changamano

(b)    Kuunda nomino kutokana na nomino au vitenzi

(c)     Kujibu maswali ya vipengele vya ‘a’ na ‘b’ kwa usahihi

 

·        Kueleza

·        Maswali ya dodoso

·        Kujadili

·        Kuandika madaftarini

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 225-227

Mwongozo wa mwalimu uk 168-170

·        Karunzi ya kiwahili

·        Kamusi ya Kiswahili

·        Golden Tips Kiswahili

 

 

·        Michoro ya uchanganuzi

·        Chati (nomino na vitenzi

·        Ubao

   

4/5

 

Kusoma

 

Maswali ya Fasihi majaribio I-IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kusoma maswali na kueleza yanayohitaji

(b)    Kujibu maswali kwa usanifu

(c)     Kujirekebisha alikokosea

 

·        Kusoma ghibu

·        Kueleza

·        Kujadili

·        Kuandika madaftarini

·        Kusahihisha

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260

Mwongozo wa mwalimu uk 178-195

·        Fasihi simulizi kwa shule za sekondari

·        Kichechocheo cha Fasihi simulizi na Andishi

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Magazeti

·        Hadithi vitabu teule vya fasihi

·        Magazeti

·        Chati (tanzu za fasihi)

   

6

 

kuandika

 

Maswali ya insha Jaribio I-IV

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)    Kufafanua uandishi bora wa insha

(b)    Kuandika insha kikamilifu

(c)     Kubainisha makosa yake na kujirekebisha

 

·        Kujadili vidokezo

·        Kuandika

·        Kujadili makosa na kujirekebisha

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 233-260

Mwongozo wa mwalimu uk 178-198

·        Karunzi ya kiwahili

·        Insha kabambe (simon mutali)

·        Golden Tips Kiswahili

·        Fasihi simulizi kwa shule

 

 

·        Maswali kitabuni

·        Ubao

·        Chati (aina za insha

·        Nakala za insha bora

 

7

 

1-6

 

majaribio

 

Jaribio I

Jaribio II

Jaribio III

Sarufi na matumizi ya lugha

 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze

(a)    Kufanya masahihisho sahihi kwa maswali ya juma la 6

(b)    Kubainisha upungufu wake na kujiimarisha

 

·        Kusoma

·        Kuandika majibu

·        Kusahihisha

·        Kujadili majibu sahihi

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk 236,243,250

Mwongozo wa mwalimu uk 175-193

·        Karunzi ya kiwahili

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Ubao

·        Chati (vipengele muhimu)

 

8

 

1-6

 

Marudio

 

Jaribio IV (sarufi)

Karatasi za awali za K.C.S.E (hasa ya 2010) na za mwiyo

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze

(a)     kutambua muundo wa mtihani wa K.C.S.E na jinsi ya kukabili maswali

(b)    Kujamini kwa uwezo wa kupasi

 

·        Kusoma

·        Kutoa majibu

·        Kusahihisha

·        Kujadili matokeo ya majibu sahihi

 

 

·        Chemchemi za Kiswahili

Kitabu cha wanafunzi 4 uk

Mwongozo wa mwalimu uk

·        Karunzi ya kiwahili

·        Golden Tips Kiswahili

·        Ijaribu na uikarabati

 

 

·        Wanafunzi wenyewe

·        Nakala za karatasi za awali (k.c.s.e)

·        Ubao

  9-12 MTIHANI WA K.C.S.E NA KUFUNGA SHULE
   

 

FORM 4 KISWAHILI SCHEMES OF WORK PDF

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE

MUHULA WA I

          ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi

Get PDF Schemes Here; Free updated schemes of work for all subjects (Secondary)

JUMA KIPINDI  

SOMO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

VIFAA

 

ASILIA

 

MAONI

1 4-6 KUFUNGUA SHULE NA KUSAHIHISHA KAZI YA LIKIZO  
2 5-6 Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na lugha

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
3 1 Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi simulizi na fasihi andishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kubainisha sifa za fasihi simulizi na fasihi andishi pamoja na tofauti, aidha tanzu zake

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Utendaji wa wanafunzi

C. Kuhenga

Fasihi simulizi na tamathali za usemi

KLB BK 4 UK 4-19

Chem BK 4 UK 4

 
  2 Isimu Jamii

Maana, lugha na mawasiliano

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana ya isimu jamii, umuhimu wake, maana ya lugha, dhima na uhusiano kati ya mawasiliano na lugha

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I.I Odeon a M. Geoffrey

Fani ya isimu jamii UK 1-8

 
  3 Sarufi

Vivumishi, ngeli za majina na upatanishi wake

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvibainisha vivumishi vya sifa, vionyeshi, idadi na kuvitumia pamoja na ngeli mbalimbali katika sentensi

 

Kuuliza

Kusikiliza

Kujibu maswali

 

Jedwali, kadi zenye vivumishi vya sifa vionyeshi na idadi

 

Chem BK4 UK 102

KLB BK4 UK 26-27

Nkwera: Fasihi na sarufi UK 28

 
  4 Kusoma

Matangazo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa sauti matangazo kwa ufasaha na utaratibu tofauti

Kuyatofautisha matangazo hayo

 

Kutafuta matangazo mbalimbali

Kubainisha sifa zake

 

Nakala za matangazo ya redio nay a kuandikwa

 

Chem. UK 102

KLB BK4 UK 26

 
  5 Kuandika

Barua rasmi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sehemu muhimu za kuzingatia na kuzitilia maanani ili kuweza kutunga barua nzuri ipasavyo

 

Maelezo, kujadiliana na kuandika barua

 

Nakala za barua rasmi

 

Chem. UK 32

KLB BK4 UK 8-15

Mwongozo wa uandishi wa insha

 
  6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti ya hadithi, dhamira, maudhui, lugha na wahusika katika hadithi

 

 

 

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
4 1 Kuandika insha ya methali Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha maana bayana na batini, visa katika kubuni insha inavyostahiki

 

Utendaji wa wanafunzi

 

Mifano ya insha za methali

 

Chem. UK 66

KLB BK4 UK 28-29,

16-17

 
  2 Kusikiliza na kuzungumza Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuelewa taarifa, kudondoa mambo muhimu kwa kuzingatia matamshi bora na lugha

 

Utendaji wa wanafunzi

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: kamusi sanifu

KLB BK4 UK30-32

 
  3 Sarufi

Nomino/jina

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Utambuzi wa aina mbalimbali za nomino, kuzitolea mifano katika sentensi sahihi

 

Kusikiliza

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 5

KLB BK4 UK 32-35

F.V. Nkwera

 
  4 Kusoma kwa mapana

Magazeti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuwa staid katika usomaji

Kuzingatia matamshi bora

Kudondoa hoja za kitaifa na kimataifa na zinazohusiana na janga la ukimwi

 

Majadiliano na usomaji wa magazeti

 

Taifa Leo

Majira

Majarida Ya Kiswahili

Katika maktaba

 

Magazeti ya magktaba

KLB BK4 UK 35-37

 
  5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui na wahusika katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
5 1 Kuandika

Muhtasari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Uzingativu wa kanuni za muhtasari

Kudondoa hoja muhimu bila kubadili maana na kuandika muhtasari

 

Kusoma makala

Kudondoa hoja muhimu na kuandika muhtasari

 

Fungu la ufupisho

 

KLB BK4 UK 37-38

Tuki

Kamusi sanifu

 
  2 Kusikiliza na kuzungumza:

Mtandao

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kuwasiliana kwa mtandao na kutambua istilahi zinazohusiana na mtandao

 

Majadiliano

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 137

KLB BK4 UK 39-41

Tuki

Kamusi sanifu

 
  3 Sarufi

Vitenzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitanbua na kutaja aina zake na kuweza kuvitungia sentensi

Kutambulisha vitenzi

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 39

KLB BK4 UK 43-46

 

 
  4 Kuandika

Memo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambulisha aina mbalimbali za meme na kuandika ujumbe kwa kutumia meme

 

Maswali

Majadiliano

Kujibu maswali

 

Tarakilishi

Rununu

Nukilishi

 

Chem. UK 78

KLB BK4 UK 46-50

 
  5 Isimu Jamii

Hadhi na chimbuko la lugha ya Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kuelewa hadhi ya lugha ya Kiswahili na chimbuko la lugha hii katika upwa wa pwani ya Afrika mashariki

 

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 9-21

 
  6 Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na matumizi ya lugha

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
6 1 Kusikiliza na kuongea

Methali na misemo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi sahihi, kuelewa maana, methali zilizo sawa na zenye maaana kinzani

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vinasa sauti

Picha na michoro

 

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo

 
  2 Kusoma kwa ufahamu

Haki za binadamu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Matamshi sahihi, kuelewa maana, msamiati ili kuweza kujibu maswali ipasavyo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 56-58

 
  3 Sarufi

Viwakilishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Aina za viwakilishi zitambulishwe na ziweze kutumika katika umoja na wingi ipasavyo katika mwasiliano

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 17

KLB BK4 UK 58-60

Oxford BK4 UK

 
  4 Isimu Jamii

Dhana ya lahaja za Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa dhana ya lahaja za Kiswahili, zinakotumika na lafudhi zake ipasavyo

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 27-32

 
  5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
7 1 Kuandika

Tahakiki

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Utambuzi wa vipengele vya tahakiki na kuvitumia ipasavyo katika zoezi la kutahakiki taarifa

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kujadiliana

 

Tamthilia

Riwaya

Diwani ya ushairi na hadithi fupi

 

KLB BK4 UK 75-78

Rejea zote

 
  2-3 Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali baada ya hadithi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
  4 Kusikiliza na kuongea

Mafumbo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora

Kunoa akili

Kumakinika katika ufumbuzi na utatuzi wa matatizo/mafumbo

 

Kushiriki katika ufumbuzi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 71

KLB BK4 UK 79-81

 
  5 Fasihi simulizi

Lakabu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora

Kuwa watambuzi na wachunguzi ili kuweza kuunda na kutumia lakabu ipasavyo

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

 

Chem. UK 60

KLB BK4 UK 79-81

 
  6 Kusoma

Viwanda

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusomakuimarisha matamshi bora na kuweza kuujua na kuutumia ipasavyo

Kujibu maswali ipasavyo

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 84-88

 
8 1 Sarufi

Viunganishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitambua na kuvitumia kwa usahihi katika mazungumzo na pia kwenye sentensi ipasavyo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

 

F.V Nkwera

Sarufi na Fasihi

Chem. UK 97

KLB BK4 UK 88-89

 
  2 Kusoma

Wavuti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora

Kutambua maana ya wavuti na istilahi zake na kuzitumia ipasavyo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 89-91

 
  3 Kuandika

Simu na Memo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu kuhusu sehemu muhimu za simu, memo na kuzibainisha ili kuweza kudhihirisha matumizi yake ipasavyo katika mtungo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kutunga mtungo

 

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

 

Chem. UK 193

KLB BK4 UK 91-93

Mwongozo wa insha

 
  4 Isimu Jamii

Usanifishaji wa Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sababu na jinsi Kiswahili kilivyosanifishwa baada ya kumaizi maana ya usanifishaji

Kujadiliana

 

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 33-37

 
  5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
9 1 Kusikiliza na kuongea

Bungeni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora

Kustawisha mawasiliano na itifaki, aidha istilahi sahihi za bunge

 

Kusoma kwa sauti

© Education Plus Agencies

Kujadiliana

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 61

KLB BK4 UK 94-97

 
  2 Kusoma

Kumbukumbu za mkutano

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora, kuelewa msamiati, kumudu kuandika kumbukumbu za mkutano ipasavyo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Nakala za kumbukumbu za mkutano

 

Chem. UK 169

KLB BK4 UK 97-99

 
  3 Sarufi

Vielezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua aina mbalimbali za vielezi na kuvitumia katika sentensi na mawasiliano

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Chati ya vielezi

Utendaji wa wanafunzi

 

Chem. UK 75-76

KLB BK4

UK 100-101

Nkwera 24-26

 
  4-6 LIKIZO FUPI  
10 1-2 LIKIZO FUPI  
  3 Kusoma

Riwaya teule

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuelewa mambo yahusuyo riwaya, kujadili maudhui, kiini, wahusika na mbinu za kisanaa na za lugha

 

Kusoma

Kujadiliana

 

Vitabu vya riwaya (hadithi)

 

Chem. UK 55, 65

KLB BK4 UK 102

 
  4 Isimu Jamii

Maendeleo ya Kiswahili nchini Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili imepiga nchini Kenya ipasavyo

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 38-51

 
  5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
11 1 Sarufi

Vihusishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vihusishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

 

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 108

KLB BK4 UK 110

 
  2 Sarufi

Vivumishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vivumishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

 

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 108

KLB BK4 UK 110

 
  3 Isimi Jamii

Chamgamoto na mikakati ya kuimarisha Kiswahili Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili kimepitia ili kukabili changamoto zinazokikabili

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-58

 
  4 Isimi Jamii

Chamgamoto na mikakati ya kuimarisha Kiswahili Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili kimepitia ili kukabili changamoto zinazokikabili

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-58

 
  5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
12 1 Kusoma

Mashairi huru

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha tofauti ya mashairi, arudhi na huru

Kuyachambua bila utatanishi

 

Kukariri shairi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Makala ya majarida ya kiswahili

 

Chem. UK 113, 173

KLB BK4 UK 114

Tuki: Kamusi sanifu

 
  2 Kuandika

Utungaji wa kisanii

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia kanuni za utunzi wa mashairi huru na kuweza kutunga mashairi mazuri

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kuweza kutunga mashairi mazuri yaliyo na maudhui

 

Mifano ya mashairi huru

 

Chem. UK 173

KLB BK4 UK 114

Mwongozo wa utunzi

 
  3 Sarufi

Vihisishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vihisishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

 

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 213

KLB BK4

UK 110-111

Nkwera

 
  4 Kusikiliza na kuzungumza

Mjadala

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Mada ya mjadala

Kuigiza mazungumzo na kuweza kuwasilisha hoja kwa ufasaha

 

Kujadiliana na kuelekezwa

 

Chati

Mchoro na picha

 

KLB BK4

UK 115-117

 
  5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

 
13 1 Kusoma

Utandawazi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza ustadi wa kuso,a kwa ufasaha

Kujadili msamiati na kuutumia katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Ramani ya ulimwengu

Michoro na picha

 

Chem. UK 160

KLB BK4

UK 117-119

Tuki: Kamusi sanifu

 
  2 Sarufi

Mwingiliano wa maneno

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuyatambua maneno/istilahi ziundazo sentensi na kuzitumia ipasavyo kwa ufasaha

 

Kuitunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Chati na michoro

 

KLB BK4 UK 76-77

 
  3 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kushiriki katika kutoa mchango/hoja za kujibu swali lolote katika nyanja yoyote ya fasihi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kushiriki kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Maswali ya kudurusu ya riwaya, tamthilia, ushairi na hadithi fupi

 
  4 Ushairi

Bahari/aina za ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudfurusu kwa kukumbuka na kutaja ainana sifa za bahari hizi za ushairi

Kuchambua ushairi ipasavyo na kutambulisha bahari yake

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Mashairi

 

E. Kezilahabi

Kunga za Ushairi

Malenga wa Ziwa kuu

 
  5-6 Isimu Jamii

Changamoto zinazokabili Kiswahili nchini na mikakati ya kuimarisha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha mikakati inayokikabili Kiswahili kwa sasa nchini Kenya

Kujadiliana na pia kubainisha mikakati ya kuzitatua

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-55

 
14 1 Kusikiliza na kuzungumza

Matamshi bora (kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutamka irabu na konsonanti vizuri ipasavyo na kuweza kuzitambulisha

Kutamka

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. BK1 UK 3-8

KLB BK1 UK 16

Oxford BK1 UK 1-3

 
  2 Kusikiliza na kuzungumza

Matamshi bora (kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha ala za kutamkia, irabu zinakotamkwa hali kadhalika konsonanti

Kutambulisha aina za konsonandi

 

 

Kutunga sentensi sahihi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. BK1 UK 3-8

KLB BK1 UK 16

Oxford BK1 UK 1-3

 
  3 Sarufi

Kuakifisha

(kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha alama za kuakifisha na kuweza kuzitumia ipasavyo katika maandishi

 

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. BK1 UK 20,37,69,92,131,138,

180,196

KLB BK1 UK 22-23

 
  4 Isimu Jamii

Sajili katika muktadha isiyo rasmi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza na kuelewa

Kubainisha sajili na sifa za lugha ya nyumbani, hospitali,  sokoni, mkahawani na mazungumzo ya kawaida

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 88-92

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
15   MITIHANI  

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE 

MUHULA WA II

            ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi
JUMA KIPINDI  

SOMO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

VIFAA

 

ASILIA

 

MAONI

1 3-6 KUFUNGUA  
2 1 Kusoma kwa Mapana Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha na kueleza nafasi ya Kiswahili katika utandawazi

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Ramani ya dunia

Makala yanayohusu utandawazi

KLB BK 2

UK 121-123

Makala magazetini

Tuki: Kamusi sanifu

 
  2 Kuandika

Utungaji wa kuiamilifu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sehemu muhimu za hotuba na kuweza kutunga insha kwa kuzizingatia

 

Kuhotubia

Kujadiliana

Kufanya zoezi

 

Nakala za hotuba

Vinasa sauti

 

KLB BK4 UK

123-124

Mwongozo wa mwalimu

 
  3 Sarufi

Mwingiliano wa maneno

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua istilahi ziundazo sentensi na kutambua nafasi zake katika sentensi pia kuzitumia kwa ufasaha

 

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Chati na michoro

 

KLB BK4 UK 76-77

Chem BK4 UK 76-77

 
  4 Kusikiliza na kuzungummza

Miriga

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora ya lugha, kutaja miriga, umuhimu wake na mafunzo katika jamii

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali na kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati

KLB BK4 UK 80

 
  5 Isimu Jamii

Mazungumzo ya kawaida nay a biashara

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa, lugha na matumizi ya sajili ya mazungumzo ya kawaida nay a biashara

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK

I. Ikarabati UK 77-82

 
  6 Fasihi simulizi

Utani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora kueleza ain za utani na kuweza kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo

 

Kusimilia visa

Kuigiza na kufanya zoezi

 

Kinasa sauti

KLB BK4

UK 158-160

Hellenistic Publishers

Mwongozo wa fasihi simulizi

 
3 1 Isimu Jamii

Kusoma kwa mapana

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya madukani nay a sokoni

Kubainisha tofauti ya sajili hizo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK

I. Ikarabati UK 82-86

 

 

 
  2 Fasihi Simulizi

Mighani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa, kueleza na kutaja mighani mbalimbali na mafunzo yake katika jamii

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 125

Chem BK4 UK 162

 
  3 Kusoma

Vinyago vya Bosi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutamka maneno ipasavyo

Kuelewa msamiati

Kushiriki katika mjadala na kutumia msamiati huu kwa ufasaha

 

Kusoma

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: kamusi sanifu

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 125-129

 
  4 Sarufi

Miundo ya sentensi za Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana ya sentensi, KN, KT na kuweza kuzingatia sehemu hizo za sentensi

 

Maelezo

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Michoro

Makala mbalimbali

 

F.V Nkwera

KLB BK4 UK 131

Chem BK4

UK 188-189

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
4 1 Isimu Jamii

Sajili ya nyumbani na hospitalini

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya nyumbani na hospitalini

Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 88-92

 

 
  2 Fasihi Simulizi

Visakale

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa, kueleza na kutaja visakale mbalimbali na mafunzo yake, umuhimu wake katika jamii

 

Masimulizi

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Kanda za kunasia sauti

 

KLB BK4 UK 125

Chem BK4 UK 164

I. Ikarabati UK

 

 
  3 Kusoma

Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kujadili na kutaja nafasi ya Kiswahili kama lugha ya kitaifa na kimataifa

 

Kusoma

Kusikiliza

Kujibu maswali

 

Makala mbalimbali na vinasa sauti

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 131-134

 
  4 Kuandika

Insha ya masimulizi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika kwa unadhifu masimulizi kwa kuzingatia mantiki katika kufafanua vipengele vya insha

 

Kusikiliza

Kusimulia

Kuchambua vipengele

Kufanya zoezi

 

Nakala za masimulizi mbalimbali

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 134

Chem BK4 UK 219

 

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
5 1 Isimu Jamii

Maabadini na mahakamani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya maabadini na mahakamani

Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 95-98

 

 
  2 Kusikiliza na Kuzungumza

Hotuba

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzitambulisha na kujadili sehemu za hotuba kwa kuzingatia matamshi bora

 

Majadiliano

Maigizo

Kufanya zoezi

 

Itendaji wa wanafunzi darasani

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 135-136

Chem BK4 UK 90

 
  3 Kusoma

Uvumbuzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza staid za kusoma kwa matamshi bora

Kujadiliana msamiati na kutumia ipasavyo katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi katika vikundi

 

Utendaji wa wanafunzi

 

F. Nkwera

KLB BK4

UK 136

Chem BK4 UK

 
  4 Sarufi

Yambwa na chagizo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana ya istilahi hizo na kuzitumia ipasavyo kimazungumzo na katika sentensi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi katika vikundi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

F. Nkwera

KLB BK4

UK 141-143

Chem BK4 UK 189

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
6 1 Fasihi Simulizi

Tamthilia

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Tamthilia teule

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 143

Chem BK4 UK 100

 
  2 Isimu Jamii

Sajili ta darasani na muktadha wa kituo cha polisi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na lueleza sifa za sajili hizo

Kubainisha sifa za kipekee katika kujibu maswali

 

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 100-102

 

 
  3 Kuandika

Matangazo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika na kutoa matangazo kwa kuzingatia kaida zake

Kuandaa matangazo mazuri

 

Kutaja

Kuandaa

Kuandika

 

Matangazo

Mabango

Vifaa halisi

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 143

 
  4 Kusikiliza na Kuzungumza

Ulumbi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha msamiati bora na kukuza ukakamavu wa kuzungumza hadharani

 

Kutoa mifano ya ulumbi

 

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 146-150

Chem BK4 UK 197

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
7 1 Kusikiliza na kuzungumza

Soga

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora kwa kuzingatia matamshi mwafaka na kuweza kumakinika kikakamavu

 

Kutoa mifano ya soga

 

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 146-150

Chem BK4 UK 82

 
  2 Kuandika

Ratiba

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutaja matukio

Kujadili na kuweza kuandika ratiba kwa kuzingatia kanuni zake mwafaka

 

Kujadili

Kuuliza na kujibu maswali

Kuandaa ratiba

 

Nakala za ratiba mbalimabli

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 143-145

Chem BK4 UK 216

 
  3 Kusoma

Ufisadi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora

Kujadili msamiati

Kutunga sentensi na kutanmbua athari za ufisadi katika jamii

 

Kutaja visa

Kuuliza na kujibu maswali

Kujadiliana

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 150-153

Mwongozo wa mwalimu

 
  4 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
  5-6 LIKIZO FUPI  
8 3 Sarufi

Virai

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua kirai na aina za virai

Kutunga sentenzi sahihi kwa kuvitumia kwa ufasaha bila tatizo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

 

Jedwali

Picha na vifaa halisi

 

F. Nkwera

KLB BK4

UK 153-154

Chem BK4 UK 176

 
  4 Kuandika

Insha ya mawazo na maelezo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sifa zake na kuweza kuandika insha hiyo kikamilifu

 

Kutaja kanuni zihusikanazo na insha hizo

 

Nakala za insha za mawazo

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 157

Chem BK4

UK 181, 135

 
  5-6 Fasihi Simulizi

Malumbano ya utani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi kueleza aina za utani na kuutumia ipasavyo katika mazungumzo

 

Kusimulia visa

Kuigiza na kufanya zoezi

 

Kinasa sauti

 

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 158-160

 
9 1 Kusoma

Haki za watoto

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa sauti na kwa ufasaha

Kuutumia msamiati

Kujibu maswali kawa ufasaha

 

Kujadiliana

Kusoma na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 161-162

Mwongozo wa mwalimu

 
  2 Sarufi

Vishazi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na kuvitumia ipasavyo katika sentensi na kufanya zoezi

 

Kutoa mifano

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya zoezi

 

Michoro ya mtawi kwenye chati

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 163-164

Chem BK4 UK 177

 
  3 Fasihi Simulizi

Mashairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutofautisha mashairi ya arudhi na huru, kuyaghani kwa mahadhi mbalimbali na kueleza maudhui yaliyomo

 

Kughani mashairi

Utendaji wa wanafunzi

Kujadiliana

Kujibu maswali

 

Shairi la arudhi na huru

 

Hellenistic E.P

Mwongozo wa fasihi simulizi

Sikate tamaa

 
  4 Kuandika

Maelezo na maelekezo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sifa zake na kuweza kuandaa na kutunga maelekezo mazuri yasiyopotosha

 

Kubainisha kanuni za maelezo

Kutunga insha nzuri ufaayo

 

Mifano ya insha

 

Kiswahili Fasaha BK4 UK 166

Chem BK4 UK 101

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
10 1 Isimu Jamii

Sajili ya viwandani nay a bungeni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa za sajili hizo

Kubainisha sifa za pekee katika kujibu maswali

 

 

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 104-105

 

 
  2 Fasihi Simulizi

Mawaidha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana ya mawaidha, umuhimu wake na kuweza kutoa mawaidha kwa hadhira bila utatanishi

 

Kuigiza

Maelezo

Kuuliza na kujibu maswali

 

Waalikwa kutoa mawaidha

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 168-169

Chem BK4 UK 209

 
  3 Bahari za Ushairi Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na miundo mbalimbali ya ushairi

Kuchambua muundo na mtindo, sanaa na uhuru wa ushairi

 

Kughani

Kuuliza na kujibu maswali

 

Kunga za ushairi

 

A Mohamed

Kunga za Ushairi

Sikate Tamaa

 
  4 Kusoma kwa ufahamu

Sokoni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika

Kujibu maswali

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 169-171

Mwongozo wa mwalimu

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
11 1 Sarufi

Uchanganuzi wa sentensi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi

Kufanya zoezi

 

Kupambanua sentensi kwa:

– Mistari

– Michoro/jedwali

– Matawi

 

Utendaji wa wanafunzi

Michoro na majedwali

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 171-174

Chem BK4 UK 198

 
  2 Sarufi

Uchanganuzi wa sentensi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi

Kufanya zoezi

 

Kupambanua sentensi kwa:

– Mistari

– Michoro/jedwali

– Matawi

 

Utendaji wa wanafunzi

Michoro na majedwali

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 171-174

Chem BK4 UK 198

 
  3 Kusoma kwa mapana

Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua jinsi lugha ilivyo na mawasiliano ya kisayansi na kiteknolojia

Kutumia msamiati wake ipasavyo

 

Kusoma

Kujadiliana

Kutoa mapendekezo

Kuhakiki hoja

 

Majarida

Magazeti

Utendaji wa wanafunzi

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 174-175

Mwongozo wa mwalimu

 
  4 Kuandika

Tahadhari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana na umuhimu wa tahadhari/onyo/ilani kwa kuzingatia kanuni zake

Kuandika tahadhari ipasavyo

 

Kujadilaiana

Kutaja aina

Kufanya zoezi

 

Picha, michoro, mabango, magazeti, vifaa halisi

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 175-176

Chem BK4 UK 103

 
  5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

 
12 1 Isimu Jamii

Sajili ya lugha ya kiutawala

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa za sajili ya kiutawala

Kubainisha sifa zake za pekee

Kujibu maswali

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 107

 

 
  2 Sarufi

Kipozi na kitondo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha maana ya istilahi hizo na kuweza kuzionyesha na kuzitumia ipasavyo

Kueleza

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

I. Ikarabati

UK 99-100

KLB BK4

UK 168-170

Chem BK4 UK

 
  3 Kusoma

Usanifishaji wa Kiswahili (Kenya)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuelewa na kuzieleza hatua zilizopitiwa hadi lugha ya Kiswahili kusanifishwa nchini Kenya

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya utafiti

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

K.W. Wamitila

Chem BK4 UK 293

 
  4 Fasihi

Lakabu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na matumizi ya lakabu

Kubainisha umuhimu wake katika jamii

 

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Ngure: Fasihi Simulizi

KLB BK4 UK 80

Chem BK4 UK 169

 
  5-6 Kuandika

Kumbukumbu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika kwa unadhifu kumbukumbu kwa kuzingatia kanuni zake ipasavyo kama namna ya kudurusu

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya zoezi

 

Mifano ya nakala za kumbukumbu

 

Mwongozo:

Kamusi sanifu

Chem BK4 UK 169

 
13 1 Sarufi

Uchanganusi wa sentensi

(Kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati

UK 98-107

KLB BK4 UK 171

Chem BK4 UK 196

 
  2 Sarufi

Uchanganusi wa sentensi

(Kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati

UK 98-107

KLB BK4 UK 171

Chem BK4 UK 196

 
  3 Fasihi Simulizi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu ulumbi, soga, malumbano ya utani, mawaidha, maigizo, ngomezi, nyimbo, mighani, majigambo, tondozi na pembezi

 

Kujadiliana maana, siaf na umuhimu

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

KLB BK4 UK 96,102, 108,116,130,137,144

Jarida la fasihi simulizi

 
  4-6 MITIHANI  

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE 

MUHULA WA III

  ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi
JUMA KIPINDI  

SOMO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

VIFAA

 

ASILIA

 

MAONI

1 3-6 KUFUNGUA NA KUSAHIHISHA KAZI YA LIKIZO  
2 1 Kusoma

Haki za binadamu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha staid za matamshi bora, kujadili msamiati, kutunga sentensi na kutambua haki za binadamu

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

Chem BK4 UK 185

Mwongozo wa mwalimu

 
  2 Fasihi Simulizi

Mighani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora, kughani na kubainisha umuhimu wa mighani

 

Majadiliano

Kughani

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi sanifu

Chem BK4 UK 150

I. Ikarabati

UK 164-167

 
  3 Sarufi

Uakifishaji

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha alama za kuakifisha na kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo au dayalojia

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

KLB BK4 UK 203

Chem BK4 UK 156

 
  4 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu maswali ya fasihi simulizi, riwaya, tamthilia na ushairi

 

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

 

Nakala za maswali

 

Nakala za vitabu teule vya fasihi

 
  5 Kuandika

Meme na barua meme

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha nukulishi au kipepesi/faksi, mdahalishi na barua za rununu

Kubainisha faida za huduma hizo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati UK 4

KLB BK4 UK 50

Chem BK4 UK 214

 
  6 Isimu Jamii

Sajili ya kitaaluma

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika sajili ya kitaaluma na kuweza luutumia ipasavyo katika mawasiliano

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 111

Tuki: kamusi sanifu

 
3 1 Fasihi simulizi Maigizo Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora, kuigiza vipera vya maigizo ipasavyo na kuweza kubainisha umuhimu wake

 

Kujadiliana

Kuigiza

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi sanifu

Chem BK4 UK 175

I. Ikarabati

UK 164-167

 
  2 Sarufi

Mzizi wa kitenzi na viambishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu tena – mzizi wa kitenzi na viambishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Majadiliano

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4

UK 204-206

I. Ikarabati UK 8

KLB BK4 UK 43

 
  3 Kusikiliza na Kuongea

Maigizo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadili mambo muhimu yanayozingatiwa katika maigizo na kushiriki ipasavyo kuigiza

 

Kusikiliza

Kuigiza

Kujadiliana

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4

I. Ikarabati UK

KLB BK4

UK 177-179

 
  4 Kusoma

Katiba ya wanyama

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha

Kujadili msamiati na kuutungia sentensi ipasavyo

 

Kusoma taarifa

Kujadiliana

Kutunga sentensi

 

Picha za wanyama

Viungo vya miili yao

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 180-183

 
  5 Fasihi

Ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mbinu za lugha na wahusika bila utatanishi

 

Kusoma

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Mazingira ya shule

Maleba

Vifaa vya bandia

 

Malenga wa ziwa kuu

Kunga za ushairi

Sikate Tamaa

 
  6 Kuandika

Wasifu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana, kujadili aina na mambo muhimu yazingatiwayo na kuweza kuandika mtungo mzuri

 

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuandika wasifu

 

Nakala za wasifu

 

Chem BK4 UK 122

I. Ikarabati UK

KLB BK4 UK 187

 
4 1 Sarufi

Mnyambuliko wa vitenzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua vitenzi vya asili ya kigeni

Kuvinyambua katika hali mbalimbali na katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4 UK 39

I. Ikarabati UK 8

KLB BK4

UK 183-185

 
  2 Isimu Jamii

Daktari na mgonjwa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika muktadha wa mahojiano kati ya daktari na mgonjwa na kueleza

 

Kujadiliana

Kuigiza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Maleba

Mahambo

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 112

 
  3 Fasihi

Ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mtindo, muundo na bahari za ushairi ipasavyo

 

Kusoma

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Ushairi

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Malenga wa ziwa kuu

Kunga za ushairi

Sikate Tamaa

 
  4 Kusikiliza na Kuzungumza

Ulevi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora

Kutambulisha madhara ya ulevi na kupendekeza njia za kukabiliana na uraibu huo

 

Maelezo

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 188-190

 
  5 Kusoma

Uandishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kujadili na kutoa maana ya msamiati

Kueleza hatua za shughuli za uandishi na kuweza kuandika ipasavyo

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

 

Picha na matbaa

Picha za uandishi wa Kiswahili

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 190-194

Chem BK4 UK 110

 
  6 Fasihi Simulizi Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Maana, dhima, umuhimu, tofauti na vipera vya fasihi simulizi viweze kueleweka ipasavyo

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Mifano ya kazi za fasihi

 

H.E Facilitators

Mwongozo wa fasihi simulizi

Chem BK4 UK 127

 
5 1 Sarufi

Nyakati na hali

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua viambishi viwakilishi na hali

Kuvitumia katika sentensi katika hali yakinishi na hali kanushi

 

Maelezo

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

KLB BK4

UK 194-197

 
  2 Kuandika

Utungaji wa kisanii

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza staid za kuandika kisanii

 

Maelezo

Kusoma na kuandika

 

Makala ya mashairi ya arudhi

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 197

Chem BK4 UK 47

 
  3 Kusikiliza na kuzungumza

Ngomezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua na kueleza maana na aina za ngomezi

Kufafanua matumizi ya ngomezi katika jamii

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4 UK 199

Chem BK4 UK 221

 
  4 Isimu Jamii

Makosa katika matumizi ya lugha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa dhana ya makosa ya lugha, nyanzo vyake na aina za makosa katika lugha na kuyakosoa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 116-120

 
  5 Kusoma

Makala kutoka kwa wavuti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma makala yaliyoteuliwa kutoka kwenye wavuti kwa ufasaha na kuweza kujibu maswali

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Makala

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 204-206

Chem BK4 UK 160

 

 

 
  6 Fasihi Simulizi

Mazungumzo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana na aina mbalimbali za mazungumzo na kubainisha umuhimu wake katika jamii

 

Kujadiliana

Kufanya zoezi

 

Aina mbalimbali za mazungumzo

 

Mwongozo wa fasihi simulizi

Ngure

Fasihi simulizi

 
6 1 Kuandika

Muhtasari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika

Kujibu maswali ya ufupisho bila utatanishi

 

Kusoma taarifa

Kujibu maswali ya ufupisho

 

Makala ya ufupisho

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 199-201

 
  2 Sarufi

Sentensi

Uundaji wa maneno, uunganishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu – aina za sentensi, uchanganuzi na uundaji wa maneno yenye shina moja na kuyatungia sentensi sahihi

 

Kisikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4 UK 225

I. Ikarabati

KLB BK4

UK 211-213

 
  3 Fasihi Simulizi

Viungo muhimu vya riwaya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitambua, kuchambua riwaya teule na kukuza staid ya kusoma kwa kina – dhamira, maudhui, wahusika, mandhari na muundo

 

Kujadiliana

Maigizo

Kuimba

Kuuliza na kujibu maswali

 

Riwaya teule

 

Chem BK4 UK 42,55, 65, 31,22,8

I. Ikarabati

KLB BK4

UK 213-215

 
  4 Kusikiliza na kuzungumza

Maghani na majigambo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha, kutambua aina zake na kughaniana kisha kutofautisha na maghani

 

Kueleza

Kughani

Kuuliza na kujibu maswali

 

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa fasihi simulizi

NgureFasihi simulizi

KLB BK4

UK 216-218

 
  5 Kusikiliza na kuzungumza

Tondozi na pembezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua aina za tondozi na pembezi, kuweza kuzitofautisha na kufanya zoezi

 

Utambuzi wa aina za tondozi na pembezi

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi simulizi

NgureFasihi simulizi

KLB BK4

UK 216-218

 
  6 Kusoma

Fasihi na mazingira ya sasa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutaja na kutambua vipera vyake na kuvitumia kama ipasavyo kutambua umuhimu wake

 

Kueleza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vitu halisi na utendaji wa wanafunzi

 

Ngure: Fasihi simulizi

I. Ikarabati

UK 229-230

 
7 1-6 MAANDALIZI KWA MTIHANI WA KITAIFA  
8   MTIHANI WA KITAIFA