Tag Archives: form 3 term 2 exams 2021

KISWAHILI FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS IN PDF

SHULE YA UPILI YA ULTIMATE ACHIEVERS

JINA………………………………………………………..NAMBARI………..

TAREHE………………………………SAHIHI………………………………

TATHMINI YA MWISHO WA MUHULA

KIDATO CHA TATU

MATUMIZI YA LUGHA NA FASIHI

MUDA: SAA 2  1/2

Maagizo

Jibu maswali yote katika sehemu ya ufahamu, isimujamii  na matumizi ya lugha.

Chagua maswali mawili katika sehemu ya fasihi.

  1. SWALI LA KWANZA – UFAHAMU

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali

 

Inasemekana kwamba bila saa shughuli zote duniani zitakwama. Hii ndiyo maana mfumo wa saa umewekwa ili kuwawezesha walimwengu kutekeleza majukumu yao wakati ufaao. Saa ni kitambulisho cha ustaarabu. Kila mtu aliyetia kiguu shuleni hana budi kuvaa saa zilizotengenezwa kwa vito vya thamani kama dhahabu.Saa hupatikana kila mahali. Minara, majengo, magari, redio na hata simu za mkononi zina saa. Kwa nini basi watu wengi hasa waafrika hawazingatii saa? Kwani kuchelewa ni ada ya Mwafrika?

 

Hakuna dakika inayopita bila kisa cha  kuchelewa. Mikutano karibu yote huchelewa kuanza kwa sababu wahusika hawaji wakati ufaao. Ibada nazo hucheleweshwa kwa uzembe wa waumini.Na mazishi je?Taratibu hucheleweshwa vilevile.Ingawa hapa yaweza kufikiriwa kuwa pengine wampendao marehemu hawataki kuharakisha safari yake ya mwisho. Lakini hata arusi ambazo huwa na misururu ya mikutano ya maandalizi siku itimiapo shughuli huchelewa.Si ajabu sherehe kuendelea mpaka usiku ambapo ratiba ilionyesha ikome alasiri.

 

Uchunguzi unabainisha kuwa watu huchelewa kwa sababu mbalimbali. Sababu moja- wapo ni kutowajibika, yaani, wengi hawaoni umuhimu wa kuzingatia saa. Wengine hufanya hivi kwa kisingizio kuwa ni kawaida ya mwafrika kutozingatia muda. Huu ni upuuzi mtupu. Wazee wetu walizingatia muda ipasavyo tangu jadi ingawa hawakuwa na saa wala kalenda. Hii ndiyo sababu walipanda walipohitajika, wakavuna na hatimaye wakapika na kuandaa ipasavyo. Wahenga hawa walituachia methali nyingi kama funzo, kwa mfano “Chelewa chelewa utampata mwana si wako” na “Ngoja ngoja huumiza matumbo”

 

Watu wengine huchelewa kwa sababu ya kutojiandaa kwa yale yatakayojiri. Watu wasiopanga shughuli zao na kuzifanya kwa kushtukia aghalabu hushindwa kuhudhuria hata mahojiano ya kuajiriwa kazi kwa wakati ufaao. Hawa huwa neema kwa washindani wao.Kujitayarisha si jambo gumu. Anachopasa kujua mhusika ni saa ya miadi na hali ya usafiri. Hivi viwili vitamwezesha kujua muda wa safari na hivyo kukadiria wakati wa kuondoka. Ni wangapi wameona milolongo ya watu nje ya milango ya benki wakiwasihi mabawabu na pengine kuwahonga wawaruhusu kuingia?Hawa huwa si wageni.Ni wateja wanaojua ratiba ya kazi lakini hushindwa kupanga mwenendo wao barabara.

 

Mikutano, sherehe na shughuli nyingi huchelewa kuanza kwa saa nyingi kwa sababu eti mgeni mashuhuri amechelewa kufika. Muda wa kungoja huwa mrefu zaidi kutegemea ukubwa wa cheo cha mhusika. Watu hawa huchelewa makusudi kwa sababu pengine ya kiburi. Majivuno haya huwafanya wafurahi wanaposubiriwa na watu wadogo. Wakubwa hawa wanapofika, badala ya kuomba msamaha, hujigamba kuhusu majukumu yao mengi na makubwa.

 

Aidha kuna watu ambao hupenda kutekeleza mambo mengi kwa wakati mmoja. Tujuavyo ni kuwa mambo mawili yalimshinda fisi. Pia watu wanaposhika mengi, mahudhurio yao katika baadhi ya mambo hutatizwa na hivyo huchelewa. Isitoshe, kuna watu ambao hushindwa kuhudhuria shughuli kwa wakati ufaao kwa sababu ya uzembe. Watu wa aina hii hata wakipewa ratiba mapema, hujikokota na hivyo hupitwa na wakati.

 

Ingawa sababu tulizotaja hutokana na watu wenyewe, kuna zile zinazosababishwa na dharura nyingine. Hizi ni pamoja na misongamano ya magari, kuchelewa kwa vyombo vya usafiri na hata kuharibika kwa vyombo. Hii ndiyo maana inashauriwa kuwa mtu anapoamua kutekeleza jambo, atenge muda takribani wa dakika 30 kwa ajili ya dharura fulani. Kwa hivyo, hata anapopata tuseme pancha njiani, bado atafika kwa wakati ufaao.

 

Kuchelewa hakuudhi tu watu wanaocheleweshwa bali huwa na matokeo mengine mengi. Mara nyingi watu waliochelewa huharakisha mambo ili kufidia muda waliopoteza. Kama wana gari basi huzidisha kasi. Matokeo huweza kuwa ajali ambayo mara nyingine huleta vifo na ulemavu.

 

Ratiba ya mambo ichelewapo, watu waliofika mapema hupoteza muda kusubiri. Muda huu wangeutumia kwa harakati muhimu. Mfumo wa uchumi wa kisasa unahitaji mamilioni ya watu kukurubiana, kutagusana na kuendesha shughuli kwa ujima. Aidha watu hawana budi kubadilishana bidhaa na huduma. Mambo haya yanapotekelezwa basi gharama huwa kubwa. Tatizo hili hubainika sana katika afisi za umma.

 

Ni kawaida watu kufika kazini dakika nyingi baada ya wakati wa kufungua milango au kazi. Ajabu ni kuwa wafanyakazi wawa hawa huwa wa kuanza kufunga kazi kabla ya kipindi rasmi. Inakisiwa Kenya inapoteza shilingi bilioni 80 kila mwaka kupitia uzembe wa kutozingatia wakati.

 

Hebu tuchukue mfano wa vipindi vya masomo shuleni. Ikiwa mwanafunzi atachelewa kwa dakika tano kila  kipindi katika shule yenye utaratibu wa vipindi vinane kwa siku,hii ni sawa na kipindi kimoja. Ni kama kusema mwanafunzi atapoteza takribani miezi miwili ya mafunzo kila mwaka.

 

Mtu binafsi anapojipotezea wakati si neno. Tatizo ni kule kuwapotezea wengine kwa hivyo, kuna haja ya kulikabili tatizo hili ili kuliondoa. Jambo la kwanza ni kuweka sera ya kitaifa inayolenga kuwaelimisha wananchi umuhimu wa kuzingatia saa. Hali kadhalika kanuni iwekwe ya kuwafungia nje watu wanaochelewa kuhudhuria shughuli za mikutano au hafla. Wananchi nao wazinduliwe kuwa ni haki yao kufumkana muda wa shughuli unapowadia kabla mgeni wa heshima kufika. Nchi ya Ekwado (Ecuador) imefanikiwa kutekeleza haya. Kenya pia haina budi kuandama mwelekeo huo. Hii ndiyo njia mojawapo ya kufufua uchumi na kuhakikisha taifa linapiga hatua kimaendeleo.

 

Maswali.

  1. Kipe kifungu hiki kichwa mwafaka.                                                                      (alama 1)

………………………………………………………………………………………………

  1. Wataje walio na mazoea ya kuchelewa kufika kwenye shughuli walizoalikwa.  (alama 2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza sababu zinazofanya baadhi ya watu kuchelewa kufika kwenye shughuli walizoalikwa kwa wakati ufaao.                                                                            (alama 3)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kuchelewa kuna athari gani?                                                                                         (alama 3)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

 

 

  1. Fafanua njia zilizopendekezwa za kuondoa tatizo hili la kuchelewa.              (alama 3)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Eleza maana ya maneno yafuatayo jinsi yalivyotumika katika taarifa.                (alama 3)
  • Ada

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  • Ujima

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  • Kufumkana

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1.  SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

 

  1. a) Bainisha mzizi, viambishi awali na tamati katika sentensi hii                     (alama3)

Asihukumiwe.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. b) Andika kwa umoja                                                                                                (alama2)

Pulikeni wanetu, msicheze na dunia. Mnasikia?

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. c) Andika kwa msemo wa taarifa                                                           (alama3)

“Mimi nitawakaribisha wageni leo jioni, kisha nitaondoka kwenda kwangu kesho,” Maria alimwambia Yusufu.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. d) Akifisha sentensi hii                                                                                   (alama3)

Oh huu ndio mkutano aliotuitia mmoja wao aliropoka.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. e) Toa mifano miwili ya;                                                                                            (alama4)
  2. i) Sauti ghuna ambazo ni vipasuo.

………………………………………………………………………………………………………

  1. ii) Sauti sighuna ambazo ni vikwamizo.

……………..……………………………………………………………………………………….

  1. f) Andika sentensi kwa kinyume.                                                                  (alama1)

Kijakazi aliangika vyombo vya tajiri wake.

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

  1. g) Mwajiri wao amekuja kuwalipa mshahara. Kanusha.                               (alama2)

…………………………………………………………………………………………………….

………………………………………………………………………………………………………

  1. h) Andika kisawe cha kielezi                                                                 (alama1)

……………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………….

  1. i) Ainisha nomino zilizopigiwa mistari katika sentensi ifuatayo.            (alama2)

Kikosi cha askari kiliwanasa wezi na kuwarejesha ng’ombe wa maziwa walioibiwa kutoka tarafa ya Kilibwoni.

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………….………………………………………………………………………………………………………….

  1. j) Bainisha kirai katika sentensi hii, na ueleze ni cha aina gani .                        (alama2)

Kitabu kizuri kimenunuliwa.

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. k) Iandike sentensi upya kulingana na maagizo

Mwanariadha mmoja tu ndiye aliyefuzu katika mbio hizo.(Tumia hakuna/ila)      (alama2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. l) Tumia vitenzi vifuatavyo katika kauli ulizoonyeshwa katika sentensi               (alama4)
  2. i) Safiri (tendewa) ……………………………………………………………………..………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
  3. ii) pa(tendeka)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. m) Eleza matumizi ya ‘ku’, ‘ji’ na ‘ki’ katika sentensi zifuatazo.                     (alama3)
  2. i) Kuliko na miti hakuna wajenzi ……………………………………………………………………………………………………..
  3. ii) Mimi ninajivunia nchi yangu ya Kenya

…………………………………………………………………………………………………….

iii)       Nikija nitakueleza ……………………………………………………………………………………………………..

 

  1. n) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale.                     (alama3)

Mama anapika vizuri.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

  1. ISIMU JAMII
MWISHO

Kuna madai kwamba lugha ya kiswahili ni zao la lugha za kibantu. Kwa mfano mitano thibitisha madai haya.                                                                                                                        (alama 10)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. FASIHI                                                                                                           ALAMA 20

Jibu swali moja kutoka sehemu hii.

  1. HADITHI FUPI

 Tumbo Lisiloshiba Na Hadithi Nyingine Na Alifa Chokocho Na Dumu Kayanda

Mame Bakari

“..Yallahi, dunia gani ametuumbia?”

  1. Eleza muktadha wa dondoo hili. Alama 4
  2. Fafanua sifa tatu za mhusika katika dondoo hili Alama 6
  • Fafanua madhila anayoyapitia mwanamke katika jamii hii.            Alama 10
  1. Riwaya

Chozi La Heri                                                                                    Na Assumpta Matei

Wanawake katika riwaya ya Chozi la Heri ni mawakala wakuu wa ukiukaji wa haki za binadamu. Dhibitisha.                                                                                                            Alama 20

  1. Tamthilia

Kigogo                                                                                                na Pauline Kea

“…Lazima chatu mmoja atolewe kafara ili watu wajue kuwa usalama upo”

  1. Eleza muktadha wa maneno haya.            Alama 4
  2. Eleza sifa tatu za anayeambiwa maneno haya Alama 6
  • Eleza umuhimu wa anayeambiwa maneno haya Alama 4
  1. Taja na ueleze mbinu moja ya lugha inayojitokeza katika dondoo hili.       Alama 2
  2. Eleza kinaya kinachojitokeza katika dondoo hili       Alama 4

ANSWERS

UFAHAMU

  1. Kuchelewa/kuchelewa ni ada ya mwafrika (alama 1)

                        Zingatia saa

  1. .Wahusika katika mikutano
  • Waumini
  • Maharusi
  • Waombolezaji (2 x 1 = 2)
  1. .Kutowajibika
  • Kutojiandaa kwa yale yatakayojiri
  • Kisingizio kwa kuchelewa ni ada ya Mwafrika
  • Kuchelewa kwa mgeni mashuhuri
  • Uzembe
  • Watu kupenda kutekeleza mambo mengi kwa wakati mmoja (3 x 1 = 3)
  1. . Huudhi watu
  • Ajali au hata vifi
  • Kupoteza muda kwa wanaomsubiri mtu fulani Afrika
  • Wanafunzi hupoteza muda mwingi wa mafunzo (3 x 1 = 3)
  1. . Kuweka sera ya kitaifa inayolenga kuwaelimisha wananchi umuhimu wa kuzingatia

saa

  • Kanuni iwekwe ya kuwafungia nje watu wanaochelewa kuhudhuria shughuli za mikutano au hafla.
  • Wananchi wazinduliwe kuwa ni haki yao kufumkana muda wa shughuli unapowadia kabla ya mgeni wa heshima kufika. (3 x 1 = 3)
  1. . Ada – desturi/tabia/mwenendo
  • Ujima – ushirika/umoja
  • Kufumkana – kutawanyika/kwenda zao (3 x 1 = 3)

 

 

MWONGOZO WA MATUMIZI YA LUGHA

(a)       Asi – viambishi awali

Hukum – mzizi

Iwe – tamati                                                                                        (1×3 = 3)

(b)       Pulika ü mwananguü, usichezeü na dunia. Unasikia?ü                  (½x4=2)

(c)       Maria alimwambia Yusuf kuwa/ ya kwamba yeye angewakaribisha wageni siku hiyo jioni kisha angeondoka kwenda kwake siku iliyofuata                                                     (3)

(d)       “üüAh!ü Huuü ndio mkutano aliotuita?ü” Mmojaü wao akaropoka.(½x6=3)

(e)       (i)        / b / d / g / – sauti ghuna – vipasuo

(ii)       / f / th / sh / h/ – sauti sighuna-vikwamizo                             (1X4=4)

(f)        Kijakazi aliangua vyombo vya tajiri wake                                        (alama 1)

(g)       Mwajiri wao hajaja kuwalipa mshahara                                            (alama 2)

(h)       Kisawe ni chagizo                                                                              (alama 1)

(i)        Kikosi cha askari – Jamii/ makundi

Ng’ombe – kawaida

Maziwa – wingi

Kilibwoni – pekee                                                                              (½ x4=2)

(j)        Kitabu kizuri – kirai nomino                                                             (alama 2)

(k)       Hakuna mwanariadha aliyefuzu mbio hizo ila mmoja                      (alama 2)

(l)        Kila sentensi

(i)        Safiriwa

(ii)       Peka                                                                                        (2×2=4)

(m)      ku        – mahali

Ji         – kirejeshi

Ki        – masharti                                                                               (1×1=3)

 

(n)       S                      KN+KT

KN                  N

N                  Mama

KT                   T+E

T                      Anapika

E                      Vizuri                                                              alama (6x½=  3)

 

 

            ISIMU JAMII

  • Kama yalivyo maneno ya lugha za kibantu, maneno yote ya Kiswahili yasiyo ya asili ya kigeni yanafuata utaratibu wa viambishi na mizizi.
  • Msamiati wa msingi wa lugha ya kiswahili ni ule ule unaojitokeza katika lugha za kibantu
  • Muundo wa maneno ya kiswahili kama yale ya lugha zakibantu ni wa silabi zilizounwa kwa irabu au konsonanti na irabu.
  • Maumbo ya maneno kwa Kiswahili na lugha za kibantu yana viambishi.

k.m mu-ndu.

m-tu

Ø Kuna mfanano wa kimsamiati katika lugha ya Kiswahili na lugha za Kibantu.

k.m kuhoa, korora, kooa.

Ulimi.lulimi

Ø Lugha ya Kiswahili mara nyingi huwa na muundo wa silabi wazi/huru. Mfumo huu vile

vile hudhihirika katika lugha nyingi za Kibantu.

Kikombe/shikombe.

Kitabu/shitapu.

Ø Nomino hupangwa katika ngeli kama tu ilivyo katika lugha nyingine za Kibantu.

A/WA Mtu anaenda.

Watu wanaenda.

M/A Mundu athi

Andu mathi.

Ø Upatanisho wa kisarufi ni sawa k.m Baba analima/Baba arima.

Ø Katika lugha za Kibantu kuna uwezekano wa kuunda maneno kutokana na aina nyingine

ya maneno. Mfano kuunda nomino kutokana na vitenzi.

Ø Mpangilio wa maneno katika tungo ni sawa.

Mtu anakuja leo/Mundu anecha juno

Ø Kuna mnyambuliko wa vitenzi katika lugha ya kiswahili jinsi tu ilivyo katika lugha

nyingine za Kibantu.

Lia – lilia/Rira – ririra.

Piga – pigwa/khupa- khupwa.                                                                        5×2=10

FASIHI                                                                                                           ALAMA 20

  1. HADITHI FUPI

 Tumbo Lisiloshiba Na Hadithi Nyingine Na Alifa Chokocho Na Dumu Kayanda

Mame Bakari

  1. Ni fikra/mawazo ya Sara

Yuko chumbani mwake

Baada ya kugundua ana mimba inayotokana na kubakwa na mtu asiyemfahamu

Anafikiria jinsi angelaaniwa na wazazi na mwalimu mkuu                   4×1=4

  1. Msamehevu-anamsamehe mbakaji

Mwoga-aliogopa kumwambia yeyote kuwa amebakwa akihofia kulaumiwa

Msiri-alipobakwa, hakumwambia yeyote

Msomi-aliendelea na masomo hata baada ya ujauzito

Mwenye utu/huruma-alikataa fikra za kuavya mimba.

Kadiria jibu la mwanafunzi           3×2=6

  • Kubakwa

Kuozwa kwa lazima

Unyanyapaa kwa sababu ya jinsia

Kupigwa kwa wale wameolewa

Kudhalilishwa kwa matusi

Kutwikwa mzigo wa malezi

Kubaguliwa katika uridhi/elimu

Kufanyizwa kazi za sulubu.                                                         5×2=10

  1. Chozi la Heri
  • Subira, Naomi na Mama Sauna wanasambaratisha asasi ya familia kwa kuwatoroka waume zao.
  • Mama Pete anamkataza Pete masomo ili amwoze kwa Mzee Fungo
  • Mama Pete anamwoza mwanawe Pete kwa lazima kwa mzee aliye na wake watatu
  • Mama Sauna anamdhulumu mwanawe Sauna kwa kumwonya dhidi ya kumwambia yeyote jinsi babake wa kambo amekuwa akimbaka.
  • Sauna anawaiba Dick na Mwaliko kwa lengo la kuwauza kwa Bi. Kangara.
  • Kangara anawatumia Watoto wadogo kwa biashara haramu -mapenzi na ulanguzi wa dawa za kulevya
  • Mama Kaizari anamdhulumu Subira kwa sababu ya tofauti za kiusuli-Bamwezi
  • Annette anahamia ughaibuni na kumwacha mumewe Kiriri akiteseka/kwa upweke
  • Mama Kipanga anakataa kumwambia Kipanga babake halisi ni nani.
  • Satua anamdhulumu Chandachema baada ya kuhamia nyumbani kwake-sukari na sabuni zinakwisha kwa haraka
  • Wanawake wanajifungua na kuwatupa Watoto jaani kama yule aliyeokolewa na Neema.
  • Pete anakunywa dawa ya kuulia panya ili afe.
  • Tuama anaunga mkono upashaji tohara wa wasichana
  • Tindi anampeleka nduguye Lemi klabuni na kucheza densi hadi che
  • Bi Kangara anamwingiza Sauna na Wengine katika biashara haramu ya kuwaiba Watoto na kuwauza.
  • Mwangemi na Mwangeka wananyimwa chakula na mama zao kama njia ya kuwaadhibu.
  • Wanawake wanafanya ukahaba na Tenge machoni pa Chandachema na Watoto wa Tenge.
  • Zohali anakataa kumfahamisha mwanawe Nasibu kwamba alikuwa na babu na nyanya.
  • Zohali aliwaua wazaziwe wakiwa hai kwa kudanganya kuwa walikufa miaka minane iliyopita.

Zozote 10×2=20

  1. Kigogo

 

  1. Ni maneno ya Majoka

Akimwambia Chopi

Katika hoteli ya Majoka and Majoka Modern Resort

Ilikuwa ni baada ya kupata habari za kifo cha Ngurumo                                    4×1=4

  1. Mnyanyasaji-anawatesa na kuwapiga wafungwa kwa amri ya majoka

Mfuasi kipofu-anaamrishwa na Majoka awaambie polisi wawafyatulie risasi na vitoza machozi waandamanaji.Anaendeleza maovu ya Majoka

Katili-anamdhuru Tunu kwa nia ya kumuua

Mpyaro-anatumia maneno makali kwa Sudi                                           3×2= 6

  • Ni kielelezo cha ukoloni mamboleo

Anawakilisha watumishi wa viongozi ambao wanaendeleza maovu ya viongozi kwa nia ya kujifaidi wenyewe/tamaa                                                             2×2=4

  1. Nahau-toa kafara-sadaka inayotolewa kwa lengo la kupata kinga dhidi ya mizimu

Kutaja, mfano                                                                                           2×1=2

  1. Anazungumzia kuua mtu mmoja ilhali anarejelea kuwepo kwa usalama katika jamii.

Wanazungumzia kuua mtu (kafara) ili kuleta mambo mema ilhali kifo cha mtu hakiwezi kuleta mema katika jamii                                                         2×2 =4


MWONGOZO WA INSHA

KIDATO CHA TATU 2019 MUHULA 2

 

Hii ni ripoti ya kawaida

Sura

  • Mada-ikionyesha kiini cha ripoti
  • Utangulizi -uwe na maelezo mafupi kuhusu lengo la kuandaa ripoti
  • Mwili-usheheni vijimada vidogo ambavyo vinabeba hoja kuu.
  • Tamati-iwe na jina la mwandishi wa ripoti na cheo chake.

Maudhui

  • Kuanzisha miradi ya kunyunyizia mashamba maji
  • Kulima mimea inayostahimili kiangazi
  • Kukusanya na kuhifadhi maji ya mvua
  • Kufuga Wanyama wanaostahimili kiangazi kama vile ngamia, punda, kuku
  • Upanzi wa mimea anuwai ili kuwa na mawanda mapana ya kupata chakula
  • Uhifadhi wa mazingira/ kupunguza uchafuzi wa mazingira
  • Kulinda chemichemi za maji na misitu
  • Kutenga sehemu za ujenzi ili watu wasikate miti ovyo.
  • Kulazimisha viwanda kuwajibika katika uhifadhi wa mazingira. n.k.

MWONGOZO WA KUDUMU

UTANGULIZI.

Karatasi hii imedhamiria kutathmini uwezo wa mtahiniwa wa kuwasiliana na msomaji na kuwasilisha ujumbe kimaandishi,akizingatia mada aliyopewa. Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa, kwa mfano, kutunga sentensi sahihi zenye mtiririko mzuri kimawazo, lugha ya kuvutia na yenye mawazo asilia, ubunifu mwingi na hati nadhifu. Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutilia mkazo mtindo, mada na uwezo wa mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo. Mtahini lazima aisome insha yote huku akizingatia sarufi, hijai, hoja, msamiati na mtindo ili aweze kuikadiria kwa kurejelea viwango mbalimbali vilivyopendekezwa. Viwango vyenyewe ni A, B, C na D kutegemea uwezo wa mtahiniwa.

VIWANGO MBALIMBALI.

KIWANGO CHA D KWA JUMLA MAKI 01-05.

  1. i) Insha haieleweki kwa vyovyote vile ama uwezo wa mtahiniwa wa kutumia lugha ni hafifu sana, hivi kwamba mtahinilazima afikirie kile mtahiniwa anachojaribu kuwasilisha.
  2. ii) Mtahiniwa hana uwezo wa kutumia maneno ya Kiswahili kwa njia inayofaa.

iii) Lugha imevurugika, uakifishaji haufai na insha ina makosa ya kila aina.

  1. iv) Kujitungia swali na kulijibu.
  2. v) Insha ya urefu wa robo ikadiriwe hapa.

NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA D.

D- (D YA CHINI) MAKI 01-02.

  1. i) Insha haina mpangilio maalum na haieleweki kwa vyovyote vile.
  2. ii) Kujitungia swali tofauti na kulijibu.

iii) Kuandika kwa lugha isiyo Kiswahili au kuchanganya ndimi.

  1. iv) Kunakili swali au maswali na kuyakariri.
  2. v) Kunakili swali au kichwa tu.

D WASTANI MAKI 03.

  1. i) Mtiririko wa mawazo haupo.
  2. ii) Mtahiniwa amepotoka kimaudhui.

iii) Matumizi ya lugha ni hafifu mno.

  1. iv) Kuna makosa mengi ya kila aina.

D+ (D YA JUU) MAKI 04-05.

  1. i) Insha ya aina hii hukuwa na makosa mengi ya kila aina, lakini unaweza kutambua kile ambacho mtahiniwa anajaribu kuwasilisha.
  2. ii) Hoja hazikuelezwa kikamilifu/ mada haikukuzwa vilivyo.

iii) Mtahiniwa hana uhakika wa matumizi ya lugha.

  1. iv) Mtahiniwa hujirudiarudia.
  2. v) Insha itakayozingatia sura lakini ikose maudhui ikadiriwe hapa.

KIWANGO CHA C KWA JUMLA MAKI 06-10.

  1. i) Mtahiniwa anajaribu kuishughulikia mada japo hakuikuza na kuiendeleza vilivyo.
  2. ii) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe kwa njia isiyovutia

iii) Mtahiniwa anaakifisha sentensi vibaya.

  1. iv) Mtiririko wa mawazo unaanza kujitokeza japo kwa njia hafifu.
  2. v) Insha ina makosa mengi ya sarufi, ya msamiati na ya tahajia (hijai).

C- (C YA CHINI) MAKI 06-07.

  1. i) Mtahiniwa ana shida ya kuwasilisha na kutiririsha mawazo yake.
  2. ii) Mtahiniwa hana msamiati wa kutosha wala miundo ya sentensi ifaayo.

iii) Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ya msamiati na insha yake haieleweki kwa urahisi.

C WASTANI MAKI 08.

  1. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe lakini kwa njia hafifu.
  2. i) Dhana tofauti tofauti hazijitokezi wazi.
  3. ii) Mtahiniwa hana ubunifu wa kutosha.

iii) Mtiririko wa mawazo ni hafifu na hana ufundi wa lugha unaofaa.

  1. iv) Anajaribu kushughulikia mada aliyopewa.
  2. v) Mtahiniwa ana shida ya uakifishaji.
  3. vi) Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ya msamiati lakini bado insha inaeleweka.

 

C+ (C YA JUU) MAKI 09-10.

  1. i) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri akizingatia mada lakini kwa njia isiyo na mvuto.
  2. ii) Dhana tofauti tofauti zimejitokeza japo kwa njia hafifu.

iii) Kuna mtiririko wa mawazo japo hana ufundi wa lugha unaofaa.

  1. iv) Misemo na methali zimetumika kwa njia hafifu.
  2. v) Ana shida ya uakifishaji.
  3. vi) Kuna makosa ya sarufi, ya msamiati na ya hijai yanayoathiri mtiririko wa mawazo.

KIWANGO CHA B KWA JUMLA MAKI 11-15

  1. i) Mtahiniwa anaonyesha hali ya kuimudu lugha.
  2. ii) Mtahiniwa anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi vizuri.

iii) Mtahiniwa ana uwezo wa kutumia lugha kwa ufasaha.

  1. iv) Mada imekuzwa na kuendelezwa kikamilifu.
  2. v) Insha ya urefu wa robo tatu ikadiriwe katika kiwango hiki.

Ngazi mbalimbali za kiwango cha B.

B- (B YA CHINI) MAKI 11-12

  1. i) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri kwa kueleza hoja tofauti tofauti akizingatia mada.
  2. ii) Mtahiniwa ana mtiririko mzuri wa mawazo.

iii) Mtahiniwa anatumia mifano michache ya msamiati unaovutia.

  1. iv) Makosa yanadhihirika kiasi.

B WASTANI MAKI 13

  1. i) Mtahiniwa anadhihirisha hali ya kuimudu lugha.
  2. ii) Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika akizingatia mada.

iii) Mtahiniwa anateua na kutumia mifano michache ya msamiati mwafaka.

  1. iv) Sarufi yake ni nzuri.
  2. v) Makosa ni machache/ kuna makosa machache.

B+ (B YA JUU) MAKI 14-15

  1. i) Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika na anajieleza waziwazi.
  2. ii) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe kwa njia inayovutia na kwa urahisi akizingatia mada.

iii) Mtahiniwa ana mchanganyiko mzuri wa msamiati unaovutia.

  1. iv) Sarufi yake ni nzuri.
  2. v) Uakifishaji wa sentensi zake ni mzuri.
  3. vi) Makosa ni machache ya hapa na pale.

KIWANGO CHA A KWA JUMLA MAKI 16-20

  1. i) Mtahiniwa ana ubunifu wa mawazo yanayodhihirika na kutiririka akizingatia mada.
  2. ii) Mtahiniwa anadhihirisha ujuzi wa lugha yenye mnato.

iii) Ana uwezo wa kutumia tamathali za usemi ili kutoa hisia zake kwa njia bora na kwa urahisi.

  1. iv) Umbuji wake unadhihirisha ukomavu na ukakamavu wake kimawazo.
  2. v) Insha ina urefu kamili.

USAHIHISHAJI NA UTUNZAJI KWA JUMLA.

Mtahini ni sharti aisome insha yote akizingatia vipengee muhimu. Vipengee hivi ni maudhui, msamiati, mtindo, sarufi na hijai.

MAUDHUI.

Maudhui ni hoja au mambo yanayozungumziwa, kuelezewa au kuhadithiwa kwa mujibu wa mada iliyoteuliwa. Maudhui ndio hasa uti wa mgongo wa insha yoyote ile. Ubunifu wa mtahiniwa hukisiwa kwa kutathmini uzito wa maudhui yake kulingana na mada teule.

MSAMIATI.

Msamiati ni jumla ya maneno yatumiwayo katika lugha husika. Mtahiniwa anatarajiwa kutumia msamiati unaooana na mada teule. Kutegea ukwasi wa lugha alionao, mtahiniwa anatarajiwa kuikuza mada kwa kuifinyanga lugha kiufundi. Ni muhimu kuelewa kwamba kutokana na maendeleo na ukuaji wa teknolojia na mawasiliano, maneno mapya yanaibuka kila uchao.

MTINDO.

Mtindo unahusu mambo yafuatayo:

  • Mpangilio wa kazi kiaya.
  • Mtiririko na mshikamano wa mawazo kiaya na katika insha nzima.
  • Hati nzuri na inayosomeka kwa urahisi.
  • Matumizi ya tamathali za usemi, kwa mfano methali, misemo, jazanda na kadhalika.
  • Kuandika herufi vizuri kwa mfano Jj, Pp, Uu, Ww na kadhalika.
  • Sura ya insha.
  • Unadhifu wa kazi ya mtahiniwa.

SARUFI.

Sarufi ndio msingi wa lugha. Ufanisi wa mawasiliano hutegemea uwezo wa mtahiniwa wa kutunga sentensi sahihi zenye uwiano wa kisarufi. Mtahini ataonyesha makosa yote ya sarufi yaliyo katika insha anayosahihisha. Makosa ya sarufi huweza kutokea katika:

Matumizi ya alama za uakifishaji.

  1. Kutumia herufi kubwa na ndogo mahali pasipofaa.
  2. Matumizi yasiyofaa ya ngeli na viambishi, viunganishi, nyakati, hali, vihusiano na kadhalika.
  3. Mpangilio wa maneno katika sentensi.
  4. Mnyambuliko wa vitenzi na majina.
  5. Kuacha neno linalohitajika au kuongeza neno lisilohitajika katika sentensi.
  6. Matumizi ya herufi kubwa katika:
  7. Mwanzo wa sentensi.
  8. Majina ya pekee.
  9. Majina ya mahali, miji, nchi, mataifa na kadhalika.
  10. Siku za juma, miezi n.k

iii. Mashirika, masomo,vitabu n.k

  1. Jina la mungu.
  2. Majina ya kutambulisha hasa wanyama wa kufugwa, kwa mfano yale ya mbwa- Foksi, Jak, Popi, Simba,

Tomi na mengineyo.

MAKOSA YA HIJAI/TAHAJIA.

Haya ni makosa ya maendelezo. Mtahini anashauriwa asahihishe huku akiyaonyesha yanapotokea kwa mara ya kwanza tu.

Makosa ya tahajia huweza kutokea katika:

Kutenganisha neno kwa mfano ‗aliye kuwa‘

Kuunganisha maneno kwa mfano ‗kwasababu‘

Kukata silabi visivyo afikapo pambizoni kama vile ‗ngan – o‘.

Kuandika herufi isiyofaa kwa mfano ‗ongesa‘ badala ya ‗ongeza‘

Kuacha herufi katika neno kwa mfano ‗aliekuja‘ badala ya ‗aliyekuja‘

Kuongeza herufi isiyohitajika kama vile ‗piya‘ badala ya ‗pia‘

Kuacha alama inayotarajiwa katika herufi kama vile j i

Kukosa kuandika kistari cha kuendelezea neno afikiapo pambizoni au kukosa kukiandikia mahali pasipofaa.

Kuacha ritifaa au kuiandikia mahali pasipofaa, kwa mfano ngombe, ngom‘be, n‘gombe, ngo‘mbe n.k

Kuandika maneno kwa kifupi kama vile k.v, k.m, v.v, n.k na kadhalika.

Kuandika tarakimu kwa mfano 27-08-2010.

UKADIRIAJI WA UREFU WA INSHA.

Maneno 9 katika kila mstari – ukurasa moja na nusu.

Maneno 8 katika kila mstari – ukurasa moja na robo tatu.

Maneno 7 katika kila mstari – kurasa mbili.

Maneno 6 katika kila mstari – kurasa mbili na nusu.

Maneno 5 katika kila mstari – ukurasa mbili na robo tatu.

Maneno 4 katika kila mstari – kurasa tatu na robo tatu.

Maneno 3 katika kila mstari – kurasa nne na nusu

BUSINESS STUDIES FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS IN PDF

ULTIMATE ACHIEVERS ACADEMY

 Name______________________________________________________Adm No_________

Date______________________________________ Signature_________________

END OF TERM EXAMINATION 

FORM THREE

BUSINESS STUDIES.

TIME: 2HRS

INSTRUCTIONS.

  1. a) Write your name, class and admission number in the spaces provided above.
  2. b) Answer all the questions.
  3. c) Answers must be written in black or blue pen.

 

For Examiners use only.

Question 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15
Candidate score                              

 

 

Question 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25
Candidate score                    
 

 

1). Highlight four challenges posed by a rapidly increasing population                                          (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

2). Outline four ways in which consumers may benefit from warehousing                                     (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

3).  Highlight four circumstances under which a cheque may be used as a means of payment (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

4). Outline four characteristic of basic human wants                                                                       (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

5). Highlight four benefits that accrue to a firm that files it’s documents properly                                    (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

6). Outline four methods of government involvement in business.                                                  (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

7). Outline four qualities of a good sales person                                                                               (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

8). The figure below shows a decrease in demand for a certain commodity from DoDo to D1D1 . State four possible causes that might have led to this situation                                                                    (4mks)

 

 

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

9). The participants in a two-sector economy are households and firms identify the relevant participant in each of the statements given below.

Statement Participant
a). Payment for goods and services  
b). sale of factors of production  
c). payment for  factors of production  
d). Sale of goods and services  

10). Outline four reasons why a firm may remain small                                                                  (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

11). Outline four types of business resources                                                                                   (4mks).

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

12). Highlight four advantages of using radio calls as a means of communication                         (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

13).   Outline any four circumstances under which a firm may acquire monopoly power              (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

14).Identify the production activity associated with each of the following types of utility            (4mks).

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

15). Outline four features of a private limited company                                                                  (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

16). Outline four factors that may make a producer to by-pass the wholesaler when distributing goods

(4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

17). Unemployment is a major problem that the Kenyan government is working to eradicate. Highlight any four ways that the government may adopt to reduce the level of unemployment               (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

18). List any four sources of business ideas                                                                                      (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

  1. Four businesses A, B C and D have their assets, liabilities and capital as shown in the table  below . Find the values of W, X, Y and Z                                                                                                       (4mks)
Item Business A Business B Business C Business D
Assets 800,000 X 1,500,000 Z
Capital 620,000 940,000 Y 200,000
Liabilities W 500,000 450,000 600,000

20). Kiogora started a Kinyozi in January 2018 and in April 2019, he closed down the Kinyozi. Highlight any four factors that may have led to this                                                                                  (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

 

 

21).Nyaboke intends to transport her bananas from Kisii to Nairobi. Outline any four factors she should consider when choosing a means of transport to use                                                                  (4mks).

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

22). Kanyakine enterprises acquired a building valued at shs. 1,000,000 on 1st January 2007. The building was insured with two insurance companies, Zebra and Simba for shs. 600,000 and shs.400,000respectively.Inmay 2007,the building was damaged by fire causing Kanyakine enterprises to suffer a loss of 20% of the value of the building. Determine the compensation made by simba and zebra to cover the loss.                                                                                                                                       (4mks)

 

 

 

 

 

 

 

23). Outline four factors that influence the location of a firm                                                         (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

 

 

 

 

24). Highlight any four factors that may cause the supply curve to shift to the right                      (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….

25). List four types of utility                                                                                                             (4mks)

  1. a) ………………………………………………………………………………………………………
  2. b) ………………………………………………………………………………………………………

c)……………………………………………………………………………………………………….

d)……………………………………………………………………………………………………….



BUSINESS STUDIES

MARKING SCHEME

  1. Challenges of rapidly increasing population
  2. Low living standards.
  3. Low capital formation.
  4. Increase in the level of unemployment.
  5. Problems of land fragmentation which results in low production.
  6. Increase in dependency ratio.
  7. Increase in social problems e.g. prostitution.
  8. High expenditure on imports.
  9. Use of human labour instead of machine labour
  10. Ways in which consumers may benefit from warehousing.
  11. It helps maintain/improve quality of goods.
  12. Ensure constant supply of goods.
  13. Preparation of goods for sale.
  14. Availability of seasonally produced goods.
  15. Stabilizes prices of goods
  16. Creates time utility.
  17. Availing variety of goods.
  18. Providing security to goods
  19. Providing safety/avoiding damage to goods.
  20. Enables goods to be inspected.

Any 4×1= 4mks)

  1. Circumstances under which a cheque is appropriate as a means of payment.
  2. Where the amount of money involved is large.
  3. Where the policy of the business demands so.
  4. Where the cheque is the only means of payment available.
  5. Where there is need to avoid risks associated with other means of payment.

Any 4×1 = 4mk

  1. Characteristics of Basic human wants.
  2. One cannot do without them.
  3. They are felt needs.
  4. They cannot be postponed.
  5. They are satisfied before secondary wants.
  6. They are universal. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Benefits of proper filing.
  2. Vital documents will be kept for future reference.
  3. Easy retrieval and accessibility of documents.
  4. Economic use of available space.
  5. Documents are kept safe from damage.
  6. Limit accessibility of documents to only authorized person.
  7. May help the organization to keep some documents for the length of time as specified in law.
  8. Keep the documents neat.
  9. Documents are secured from loss. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Methods of Government involvement in business.
  2. Trade promotion.
  3. Provision of public utilities.
  4. Provision of a viable working environment. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Qualities of a good sales person.
  2. Has adequate product knowledge.
  3. Is a good communicator.
  4. Is sensitive to customer needs/ability to assess customer’s psychology.
  5. High sense of integrity/honesty.
  6. Is presentable/neat and well groomed.
  7. Is persuasive/convincing.
  8. Has a high level of commitment/hardworking.
  9. Good listener.
  10. Good command of the language.
  11. Polite/courteous/relates well with customers.
  12. Persistent/patient. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Possible causes that may have led to this situation.
  2. Unfavorable seasonal changes.
  3. A fall in household income.
  4. Expected fall in the price of the product.
  5. A fall in the price of substitutes.
  6. Negative change in taste/preference/fashion.
  7. Unfavorable terms of payment (any 4×1 = 4mks)

 

 

 

  1. a) Households.
  2. b) Households.
  3. c) Firms.
  4. d) Firms (any 4×1= 4mks)

 

  1. Reasons why a firm may remain small.
  2. When the target market is small.
  3. Limited production capacity.
  4. Nature of the product.e.g. Personalized services to ensure customer satisfaction e.g barber shop.
  5. Owners decision to remain small.
  6. Inadequate appropriate technology.
  7. It is flexible.
  8. For fast decision making.
  9. Need for secrecy.
  10. Are easier to manage.
  11. To have personal touch with the customers, (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Types of business resources.
  2. Human resources.
  3. Physical resources.
  4. Financial resources.
  5. Technology resources. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Advantages of radio call.
  2. Immediate feedback is given.
  3. Fast to send urgent messages.
  4. Suitable for remote areas.
  5. It can be used for short and long distances.
  6. It has a personal appeal. (any 4×1 = 4mks)
  7. Circumstance under which a firm may acquire monopoly power.
  8. If a firm has secretive production technique.
  9. When a firm has a control over strategic input/raw materials.
  10. If the venture requires large capital.
  11. If the firm enjoys substantial economies of scale.
  12. If the firm is set up as state monopoly/given exclusive legal rights of production.
  13. When firm merge/amalgamate/combines.
  14. If the market is best served by one firm more economically.
  15. When the firm has a patent right/copy right. (any 4×1 = 4mks)

14 a) Ware housing/storage.

  1. b) Transport/distribution.
  2. c) Manufacturing/processing/construction.
  3. d) Trade/exchange. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Features of a private LTD company.
  2. Must have at least one director.
  3. Shares are not freely transferable.
  4. Public is not allowed to subscribe to their shares.
  5. Minimum membership is two.
  6. Can start trading on receiving certificate of incorporation.
  7. No need to have authorized minimum share capital.
  8. Maximum membership is 50. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Factors that may make a producer to by-pass the wholesaler when distributing goods.
  2. When producer has his/her retail outlet.
  3. When dealing with perishable goods like bread which requires shorter channel.
  4. When dealing with technical goods which require elaborate after sale service.
  5. Where the consumers and retailers are buying in large quantity.
  6. Where there is a need to keep the prices of goods low.
  7. If market spread is geographically limited.
  8. Where government policy dictates.
  9. When producer has enough storage facilities.
  10. Where goods are produced according to customers specifications.
  11. When the producer is able to promote his/her product.
  12. Where the producer has enough capital.
  13. Where the producer does not prepare goods for sale. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Ways of reducing level of unemployment in Kenya.
  2. Expanding market for goods and services.
  3. Exporting, surplus manpower.
  4. Encouraging self-employment/entrepreneurship.
  5. Imparting right skills through education and training.
  6. Creating conducive environment for private sector.
  7. Controlling population.
  8. Increasing capital expenditure e.g. through infrastructure and irrigation schemes.
  9. Delocalization of firms.
  10. Diversification of economic activities.
  11. Utilization of local resources.
  12. Establishment of more labour-intensive industries. (any 4×1 = 4mks)
  13. Source of Business ideas.
  14. Reading magazines, newspapers and journals.
  15. Listening to what people say/complaints.
  16. Conducting surveys.
  17. Recycling waste products.
  18. Spotting a market gap.
  19. From vocational training and experience.
  20. From hobbies
  21. Form shows and exhibitions. (any 4×1 = 4mk

 

  • a) W – 180,000
  1. b) X – 1440,000
  2. c) Y – 1050,000
  3. d) Z – 800,000 (4×1 = 4mks)

 

  1. Causes of business failure.
  2. Poor location that makes the business inaccessible.
  3. Stiff competition from other business.
  4. Inadequate finance to meet the obligations of the business.
  5. Lack of commitment to business.
  6. Improper management practices.
  7. Poor customer relations.
  8. Inappropriate pricing
  9. Political instability/wars.
  10. Poor market/low demand. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Factors to consider when choosing a means of transport.
  2. Nature /type of goods to be transported.
  3. Cost of the means.
  4. Urgency/speed.
  5. Reliability of the means.
  6. Distance to be covered.
  7. Value of the goods/services.
  8. Availability of the means.
  9. Volume/quantity of goods and services.
  10. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Compensation = sum insured x actual loss

Value of the property.

Actual loss = 20/100 x 1000,000√

=200,000√

Contribution by

  1. Zebra = 600,000 x 200,000 √= 120,000√

1000,000√

  1. Simba = 400,000 √x 200,000 = 80,000√

1000,000√

8 x ½    = 4mks

  1. Factors to consider when locating a business organization.
  2. Nearness to raw materials.
  3. Supply of labour.
  4. Nearness to the market.
  5. Availability of social amenities.
  6. Availability of auxiliary services.
  7. Nearness to fuel and power.
  8. Nearness to water source.
  9. Good transport network
  10. Government policy.
  11. Availability of security services
  12. Availability of room for expansion.
  13. Favouralbe climatic conditions. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Factors that may cause the supply curve to shift to the right.
  2. Reduced cost of production.
  3. Bumper harvest/favorable climatic conditions/in season.
  4. Increase in prices of jointly produced goods.
  5. Government incentives to producers eg subsidies.
  6. Entry of new firm into the market.
  7. Improved production methods.
  8. Reduced incidences of industrial strikes.
  9. Availability of enough factors of production.
  10. Future expectations of fall in prices.
  11. Reduced prices of competitively produced goods.
  12. Future expectation of increase in quantity supplied in the market.
  13. Enough time. (any 4×1 = 4mks)

 

  1. Types of utilities
  2. Place utility.
  3. Time utility
  4. Possession utility.
  5. Form utility. (any 4×1 = 4mks)

GEOGRAPHY FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS IN PDF

ULTIMATE ACHIEVERS ACADEMY

Name___________________________________________________AdmNo:_____________

Date__________________________________________Sign_______________

END OF TERM  EXAMINATION 

FORM THREE

GEOGRAPHY

TIME: 2 HOURS 30 MINUTES

 

INSTRUCTIONS:

a). Write your name, class and Admission number in the spaces provided above.

b).Answer all the questions

c). All answers must be written in the space provided in this booklet.

  1. a) What is the difference between weathering and mass wasting?             (2 mks)

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

  1. b) State three factors which influence mass wasting.                                                    (3 mks)

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________

 

  1. a) Name two soft wood trees grown in the forest reserves of Kenya. (2 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. b) State three characteristics of softwood forests in Canada.                                       (3 mks)

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

R
  1. a) The diagram below represents a composite volcano. Name the features marked. (3 mks)

P ________________________________________

Q ________________________________________

R ________________________________________

  1. b) What is magma?                                                                                                         (2 mks)

________________________________________________________________________________________________________________________________________________ _________

  1. Differentiate between folding and faulting (2 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. State three causes of earthquakes. (3 mks

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

 

 

SECTION B

Answer all questions this section.

 

  1. Study the map of Taita Hills 1:50,000 (Sheet 189/4) provided and answer the following questions.
  2. a) i) Name two types of scales used on this map. (2 mks)

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

  1. ii) List three man-made features found in the grid square (2918).                                (3 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

iii)  Name the feature found on the grid reference (426255).                                          (1 mk)

________________________________________________________________________

  1. b) Name two hydrographic features depicted on the map. (2 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. c) Describe the relief of the area covered by the map. (3 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. d) Giving evidence from the map, name three forms of transport in the area covered by the map.                                                                                                                      (3 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

 

  1. e) Draw a square of 6cm to represent the area between Eastings 36 and 40 and between Northing 26 and 29. On it show:
  2. i) Dam
  3. ii) Ronge forest

iii)  Road – loose surface road

  1. iv) Motorable track
  2. v) Outcrop rock

 

  1. a) The diagram below shows a waterfall. Name the features marked. (3 mks)

 

X______________________________________

Y______________________________________

Z_____________________________________

  1. b) i)    Describe the process of river capture.                                                                 (4 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. ii) Give three evidences of river capture. (3 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

 

  1. c) Suppose you are to carry out a field study of one of the big rivers in your county.
  2. i) State three ways in which you would prepare for the study.                              (3 mks)

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________

  1. ii) State two advantages of studying rivers through field work.                             (2 mks)

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

 

  1. a) Describe how Lake Victoria was formed. (5 mks)

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

  1. b) Explain five reasons why some lakes in rift valley have fresh water.                      (5 mks)

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

  1. c) State five economic uses of lakes.                                                                                  (5 mks)

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

 

 

  1. The table below shows the Kenya’s leaching export minerals by value (Ksh million). Study the table and answer the questions that follow.
Mineral 2000 2001 2002 2003 2004
Soda ash 35150 34485 34376 33005 36072
Fluorspar 21216 19846 28334 36485 39541
Salts 11707 7460 6541 6286 6944

 

  1. a) Calculate the percentage increase in value of soda ash as export between the year 2000 and 2004.                         (2 mks)

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________

  1. b) Calculate the total mineral exports for the year 2002.                                              (2 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. c) Calculate the average exports for salts from the year 2000 to 2004.                                    (2mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. d) i) Name three method of mining. (3 mks)

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________

  1. ii) Explain three benefits of gold mining in South Africa.                                            (6 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

 

  1. a) The diagram below shows a feature resulting from wind erosion in the deserts. Study it and answer the questions that follow.

 

  1. i) Identify the feature.                                                                                             (2 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

  1. ii) Explain how the above feature is formed.                                                          (5 mks)

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

_____________________________________________________________________________________________________________________________________________________

iii)  Give two main deserts where this feature is common.                                      (2 mks)

_____________________________________________________________________________________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

 

 

 

  1. b) A form three class conducted a field study in an area affected by wind deposition.
  2. i) State three types of sand dunes the class would have identified.                       (3 mks)

____________________________________________________________________________

__________________________________________________________________________________________________________________________________________________________

  1. ii) State three problems the students would have come across. (3 mks)

_______________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________



FORM THREE

GEOGRAPHY

MARKING SCHEME

SECTION A

  1. a) – Weathering is physical break down or chemical decay of rocks in situ while mass

wasting is the movement of weathered rock material down a slope under the influence of gravity.

(2 mks)

  1. b) –     Angle of slope/gradient
  • Human activities
  • Amount of water in the material
  • Nature of material/nature of underlying rocks
  • Earth movements/tectonic movements
  • Presence or absence of vegetation
  • Climatic conditions

(3 x 1 = 3 mks)

 

  1. a) – Cypress
  • Pine
  • Cider
  • Eucalyptus

(2 x 1 = 2 mks)

 

  1. b) –     Trees are conical in shape
  • Trees occur in pure stands
  • Trees grow tall and straight (30 – 40m)
  • Trees have needle – like leaves
  • Trees bear cones
  • The forests are evergreen
  • The forests have no undergrowth
  • The trees have thick barks

(3 x 1 = 3 mks)

  1. a) P – conelet/parasitic cone/subsidiary cone

Q – layer of lava

R – crater

(3 x 1 = 3 mks)

  1. b) –     Magma is a mixture of molten rocks and gases in the interior of the earth.

(2 mks)

  1. – Folding is the bending of rocks of the earth’s crust while faulting is cracking or

fracturing of the rocks of the earth’s crust.

(2 mks)

  1. – Collision between tectonic plates
  • Faulting/cracking of rocks
  • Violent volcanic eruptions/movement of magma within the crust
  • Isostatic adjustment
  • Explosions caused by man
  • Energy release within the mantle
  • Gravitative pressure

(3 x 1 = 3 mks)

 

SECTION B

 

  1. a) i) Types of scales used
  • Linear scale
  • Representative Fraction (R.F)/Ratio scale

(2 x 1 = 2 mks)

 

  1. ii) List three man-made features found in the grid square (2918)
  • Road e.g. All weather road bound surface
  • School
  • Church
  • Pump house

(Any 3 x 1 = 3 mks)

 

iii)  Feature found in the grid reference (426255)

  • A water tank

(1 mks)

 

  1. b) Two hydrographic features depicted on the map
  • Perennial/permanent rivers e.g. R. Voi (Goshi)
  • Dam
  • Water tank

(Any 2 x 1 = 2 mks)

 

  1. c) Describe the relief of the area covered by the map.
  • Presence of numerous hills in the area e.g. Maragua
  • Area is steep on the western part and gentle sloping on the eastern part
  • Presence of valleys especially river valleys
  • Land rises from east to west/slope from west to east

(Any 3 x 1 = 3 mks)

 

  1. d) Forms of transport
  • Road transport evidenced by presence of roads
  • Railway transport evidenced by railway line
  • Air transport evidenced by grass air field

(3 x 1 = 3 mks)

  1. e)

 

  1. a) X – Resistant rock/hard rocks/sill

Y – Plunge pool

Z – Rock boulders

(3 x 1 = 3 mks)

  1. b) i) – River capture occurs where there are two adjacent rivers
  • One of the rivers has more erosive power than the other
  • The more powerful river erodes away the ridge that separates the two by headward erosion
  • Eventually it encroaches into the valley of the weaker river diverting its waters into its valley

(4 x 1 = 4 mks)

 

  1. ii) Evidences of river capture
  • Wind gap
  • Elbow of capture
  • Misfit stream

(3 x 1 = 3 mks)

  1. c) i) – Formulate hypothesis/objectives
  • Reading from secondary sources
  • Conduct pre-visit/reconnaissance
  • Prepare a working schedule
  • Seek permission from relevant authorities
  • Identify/collect the relevant tools and equipment

(3 x 1 = 3 mks)

  1. ii) –     It enables students to collect first-hand information
  • It enables to develop skills of observation/data collection
  • Students are able to apply the knowledge learned from books/classroom in the field
  • Students are able to make their own records

(2 x 1 = 3 mks)

 

  1. a) How lake Victoria was formed
  • Earth movement caused crustal down warping
  • A basin-like depression was formed
  • Uplifting of land masses/back-tilting of the plateau around the depression diverted flow of rivers into depression, caused reversed drainage
  • Deposition into depression resulted into further down warping
  • Water from the rivers accumulated in the depression forming lake

(5 x 1 = 5 mks)

  1. b) Reasons why some lakes in rift valley are fresh
  • They have surface outlets through which excess salt deposits are carried away
  • Some have subterranean outlets which drain the salts in the lake bed
  • The lakes have regular inflow of fresh water from rivers which dilutes the salts keeping water fresh
  • Some are situated in areas of low temperature thus low evaporation rate
  • Some are situated in areas of high rainfall which keeps water fresh

(5 x 1 = 5 mks)

  1. c) Economic uses of lakes
  • Provide water for irrigation
  • Provide water for industrial use
  • They are source of minerals
  • Lake shores are source of sand used in construction industry
  • Lakes are harnessed to generate hydro-electric power
  • Lakes provide waterway
  • Lakes are tourist attractions
  • Lakes are used for fishing/source of fish

(Any 5 x 1 = 5 mks)

  1. a)

 

(2 mks)

 

  1. b) 69251 million                                                                               (2 mks)

 

  1. c)

= Ksh 7,787.6 million                                       (2 mks)

 

  1. d) i) – Shaft mining/underground mining
  • Adit mining
  • Drilling
  • Open cast mining
  • Alluvial mining/placer mining

(3 x 1 = 3 mks)

  1. ii) –     Gold is exported to other countries to earn foreign exchange
  • Gold mining has provided employment to many people in South Africa
  • Existence of numerous gold fields has led to the growth of many towns
  • The profit earned from gold has been used in the development of infrastructure e.g. roads and railway
  • Gold mining has led to the development of industries in Transvaal and Orange Free State
  • Technological advancement. The co-existence of gold and Uranium has led South Africa to become a leading producer of Uranium for atomic energy

(Any 3 x 2 = 6  mks)

  1. a) i) Identify the feature

Mushroom block rock                                                               (2 mks)

 

  1. ii) Explain the formation of the feature
  • Formed from homogenous rocks of uniform hardness and resistance
  • Wind abrasion from the heavier materials near ground results in intensive undercutting at the base of the vertically laid homogenous rock
  • The top of the rock undergoes gradual of slow polishing and smoothing since there are few airborne materials at such high levels
  • At the base the rock is eroded since there is more materials at the base
  • The abrasion, polishing and smoothening process result in formation of a rock structure with a broad top but very narrow base known as mushroom block rock

(5 mks)

iii)  Two main deserts where feature is common

  • Namibia desert
  • Arabian desert
  • Sahara desert

(2 x 1 = 2 mks)

  1. b) i)    Type of sand dunes identified
  • Barchan
  • Self-dunes
  • Transverse dunes

(3 x 1 = 3 mks)

  1. ii) Problems students would have come across
  • Desert storms would have made the students uncomfortable
  • Students would have suffered from respiratory diseases due to dust
  • High temperatures during the day would have made students very uncomfortable
  • Student would have suffered from lack of basic necessities such as water
  • Attack by dangerous animals

(3 x 1 = 3 mks)

KISWAHILI FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS IN PDF

CHETI CHA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI TATHMINI YA PAMOJA

TATHIMINI YA PAMOJA

JINA: …………………………………………………………………………………….. NAMBANI YAKO:………………..

SAHIHI:…………………………………….                                                                TAREHE:…………………………….

MUDA: SAA 2½

SHULE YA UPILI YA RUARAKA

KISWAHILI KIDATO CHA TATU

MWISHO WA MUHULA

MUDAL SAA 2½

MAAGIZO

  • JIBU MASWALI YOTE KWENYE NAFASI ULIZOACHIWA

KWA MATUMIZI YA MUTAHINI PEKEE

SWALI UPEO ALAMA
INSHA 20  
UFAHAMU 15  
MATUMIZI YA LUGHA 20  
ISIMU JAMII 10  
USHAIRI 15  
FASIHI 20  
JUMLA 100  

 

SEHEMU A: INSHA (ALAMA 20)

Andika insha ifuatayo. Insha yako isipungue maneno 400.

Serikali ya Kenya imefanya mengi kuinua viwango vya elimu nchini hasa katika shule za msingi na za sekondari. Andikia waziri wa elimu barua ukipongeza serikali kwa juhudi hizi.

 

 

SEHEMU B: UFAHAMU (ALAMA 15)

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali

Nimekaa na kutafakari kwa muda mrefu juu ya mabilioni ya pesa ambayo yametengwa na serikali ili kudhamini miradi ya maendeleo ya wanawake. Kina mama au wanawake wengine wanakiri na kusema kwamba fedha hizo zimewezesha kuwaondoa katika lindi la unyanyasaji kutoka kwa waume zao, kwani kila mmoja aneheshimu mwenzake kwa sababu ya kipato alicho nacho. Wengi wameweza kuanza biashara ndogondogo ambazo huwaletea angalau kipato kidogo.

Ukweli ni kwamba fedha hizi zimesaidia kuwatoa wanawake wengi katika unyanyasaji, kwani wengi wanaweza kuanzisha kazi za ujasiri amali na hata kuendesha shughuli mbalimbali za maendeleo. Kutokana na mafanikio haya, wabunge waliopitisha hoja bungeni ya kuanzisha mpango huu wa kuwakwamua wanawake kimaendeleo wanafaa kupongezwa. Mafanikio haya yamewafanya akina mama kujikimu kimaisha na hivyo kutowategemea waume katika kila jambo.

Ukitaka kujua ukweli kuhusu hili, nenda kwenye masoko utaona akina mama zaidi na hivyo wanapaswa kuwezeshwa kwa kila hali na mali. Akina mama pia wanapaswa kupongezwa kwani wameamua kujitosa kukopa fedha kutoka kwenye taasisi mbalimbali za fedha. Fedha hizo kwa kiwango kikubwa zimewainua kutoka katika ufukara uliokithiri hadi katika maisha ya heshima. Wale ambao hawajajaribu kuchukua mikopo, ni muhimu wafanye hivyo ili wajikimu kimaisha.

Maisha ya sasa ni magumu, kwa hivyo yahitaji kusaidiana kwa kila hali na mali. Wanaume kwa wanawake ni vyema wachange pesa ili wazumbue riziki. Ushirikiano utarahisisha maisha yaohata hivyo sio tu akina mama hau wameondokewa na unyanyasaji waliokuwa wakipata ndani ya nyumba zao kutoka kwa akina baba, bali hata maswala ya mrundikano wa kesi za kugombea ardhi kwa akina mama zimepungua. Sababu ni kwamba akina mama wengi wameweza kujitafutia ardhi wenyewe kwa fedha walizonazo.

Ukweli ni kwamba hali imebadilika kinyume na hapo awali, ambapo majumba ya kifahari na mashangingi yalikuwa hifadhi ya wanaume, siku hizi wanawake wamemiliki hayo yote.

 

Maswali

  1. Ipe taarifa hii anwani         (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Wabunge wamewafaa wanawake kwa njia gani         (alama 2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Wanaume walikuwa kikwazo cha maendeleo nchini vipi? (alama 2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mfumo wa serikali umewasaidiaje wanawake         (alama 4)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kulingana na makala haya, toa sababu zinazowafanya baadhi ya wanawake kuishi katika uchochole         (alama 3)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Ni nini imepanguza kesi za kugombea ardhi kwa akina mama? (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana ya misamiati ifuatayo kama ilivyotumiwa katika makala haya
  2. Wazumbue

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kujitosa

……………………………………………………………………………………………………………………………………

 

 

 

SEHEMU C : MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 20)

  1. Taja sifa bainifu za sauti /s/         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tumia neno mpaka katika sentensi kama; (alama 2)
  2. Nomino

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kihusishi

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tunga sentensi moja ukionyesha matumizi mawili ya alama ya kuakifisha ifuatayo

(alama 2)

Ritifaa/kibainishi

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….

  1. Bainisha aina za vitenzi katika sentensi hii         (alama 2)

Mjomba alikuwa tajiri lakini sasa ni maskini.

 

 

  1. Nomino zilizopigiwa mstari ni za ngeli gani? (alama 2)

Kuonyeshaviambishi katika neno husumbua wanafunzi sana

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Yakinisha sentensi hii         (alama 2)

Usipokuja kwetu hutampata mama .

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana mbili katika sentensi hii         (alama 2)

Majambazi walimwibia mkurugenzi gari jipya

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tofautisha matumizi ya kiashiria ‘huyu’ katika sentensi hii.         (alama 2)

Huyu aliachishwa kazi na mkurugenzi huyu

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Bainisha kirai nomino na kirai kitenzi katika sentensi hii         (alama 2)

Punda mkongwe ameshindwa kutembea

 

 

  1. Andika katika usemi wa taarifa         (alama 2)

“Tutawatembelea wazazi wetu leo jioni,” Leo alimwambia Asha

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU YA D : ISUMU JAMII (ALAMA 10)

  1. Eleza sababu nne zinazowafanya watu kubadili msimbo         (alama 4)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mazungumzo ya mahakamani husheheni sifa zipi?         (alama 6)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

 

SEHEMU YA E: USHAIRI (ALAMA 15)

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali yatakayofuata

Kizazi kijacho,

Ni kizazi ninachokihurumia!

Mno ninakisikitikia,

Hadi kushika tama.

 

Najua hakitanikuta kamwe,

Kaburini nitakuwa nimefukiwa,

Futi sita!

Lakini sikio langu siku moja,

Nitalitega kusikiliza vitukuu,

Vikiulizana maswali

 

Mti ni nini?

Eti kuna viumbe nyuni,

Warukao na kuimba nyimbo nzuri?

Mababu nasikia eti,

Maji hawakununua kutoka ng’ambo!

Mito na maziwa ilijaa maji tele!

Kiu wakikata na kuoga,

Eti bahari safi ilikuwa,

Hadi watu kuongelea?

 

Nitawacheka!

La, nitawahurumia,

La, nitajilaumu mimi,

Kwani niliyaharibu mazingira hayo.

 

 

 

 

Maswali

  1. Kwa nini mshairi anakihurumia kizazi kijacho         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza kile kingetokea kwa maji na mimea (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza dhamira ya mshairi huyu         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Taja tamathali ya usemi inayojitokeza katika mshororo wa pili ubeti wa pili (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Andika ubeti wa nne kwa lugha ya nathari (alama 4)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza toni ya shairi hili (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Taja nafsi neni katika shairi hili         (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi (alama 2)
  2. Vitukuu

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mababu

……………………………………………………………………………………………………………………………………

 

 

SEHEMU F: FASIHI (ALAMA 20)

Chagua swali moja tu kutoka mojawapo wa sehemu zifuatazo: Riwaya, Tamthilia na Hadithi Fupi.

RIWAYA: CHOZI LA HERI (ASUMPTA MATEI)

  1. a) Eleza athari za mzozo wa baada ya kutawazwa kwa kiongozi katika nchiya wahafidhina (alama 10)
  2. b) Onyesha jinsi haki za watoto zinavyokiukwa katika inchi ya  wahafidhina (alama 10)

 

TAMTHILIA: KIGOGO (PAULINE KEA)

  1. Onyesha namna Majoka kama Kigogo wa Sagamoyo anavyotumia mamlaka yake vibaya.

(alama 20)

HADITHI FUPI: TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINE

  1. a) Fafanua jinsi suala la umaskini linajitokeza katika hadithi ya Tumbo Lisiloshiba.

(alama 10)

b)”Kama kawaida, kwa mzee mambo na leo tena kuna jambo. Jambo linalotokana na mambo”

  1. Eleza muktadha wa kauli hii. (alama 4)
  2. Fafanua sifa tatu zinazohusishwa na mzee mambo (alama 6)



CHETI CHA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI

TATHMINI YA PAMOJA

KIDATO CHA TATU

MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

  1. SEHEMU A- INSHA
  • Mwanafunziaeleze mambo ambayoserikaliya Kenya inafanyakuinuaviwangovyamasomo.
  • Baadhiyahojamwanafunzianatarajiwakutajanakuelezakikamilifuni:
  1. Serikaliinawalipiawanafunziwotekiasikikubwa cha karo.
  • Kilamwakaserikaliinawaajiriwalimukuondoatatizo la uhabawawalimu.
  1. Serikaliinatoapesazakuinuamiundomisingishulenikama vile darasa.
  2. Kupitiambungesherianyingizimetungwanakupitishwazakumlindamwanafunzi
  • Kuwaadhibuwanafunzi wale wanaotovukakinidhamu.
  1. SEHEMU B : UFAHAMU
  2. Maendeleoyawanawake

Wanawakenauchumi

(Kadiriajibu la mwanafunzi                                                                            ( 1×1=alama 1)

  1. Wabungewalipitishahojabungeniyakuanzishampangowakuwakwamuawanawakekimaendeleo (alama 2)

(alama 2)

  1. – Umewaondoleaufukara/kuwaleteakipato.
  1. i) Hawajajaribukuchukuamikopo.
  2. ii) Kutoshirikiananawaumezaokatikakutafutariziki.

iii) Kunyanyaswanawaumezao.                                                                                   (3 x 1=alama 3)

  1. Akina mama wengiwamewezakujitafutiaardhiwenyewekwafedhawalizonazo.
  2. i) Wapate
  3. ii) Kujiingiza

 

  1. SEHEMU C : MATUMIZI YA LUGHA
  2. – Ni kikwamizo
  • Hutamkiwakwenyeufizi
  • Sautisighuna (zozote 2 x 1=alama 2)
  1. Mfanowasentensi

Mpakawashuleyetuunafikampakamtoni                                                 ( 2 x 1=alama 2)

Nomino                                           Kihusishi

Mtoni

  1. Rafikiyangualiendang’ambomiakaya ’90. ( 2 x 1=alama 2)
  2. Alikuwa – kitenzikishirikishikikamilifu

ni           -Kitenzikishirikishikipungufu                                                                       ( 2 x 1=alama2)

  1. Kuonyesha – Ngeliya KU

Viambishi – Ngeliya KI-VI                                                                                               (2 x 1=alama 2)

  1. Ukijakwetuutampata mama                (alama 2)
  2. i) – Kwamanufaayao
  • Kwamanufaayamkurugenzi ( 2 x 1=alama 2)
  1. Huyualiachishwa – Kiwakilishi

Mkurugenzihuyu – Kivumishikiashiria                                                                    ( 2 x 1=alama 2)

  1. Pundamkongwe- Kirainomino

ameshindwakutembea – Kiraikitenzi                                                                      ( 2 x 1=alama 2)

  1. Ashaaliwaambiakuwawangewatembeleawaazaziwaosikuhiyojioni (alama2)

 

 

 

 

  1. SEHEMU D : USHAIRI
  2. Kwa vile aliyaharibumazingiranahivyokizazikijachohakitapatakuonamazuriyamazingirahayo. (alama 2)
  3. – Majiyoteyamito, maziwanabahariyangechafukanakukauka.
  • Mimeaingekauka /kukatwa ( 2 x 1=alama 2)
  1. Anazinduawatuwatunzemazingirakwamanufaayakizazikijacho                (alama 2)
  2. Tasfida (alama 1)
  3. Anaonapiahangefayahivyonabadalayakeangejilaumuyeyekwa vile aliyaharibumazingirayale                (alama 4)
  4. Toni yahuruma                (alama 1)
  5. Mtu (mke au mume) wakizazi cha leoaliyekomaanaanayejalimazingira (alama 1)
  6. i) Watakaozaliwasikuzausoni                (alama 1)
  7. ii) Walioishisikuzilizopita (alama 1)

 

  1. SEHEMU E: FASIHI (ALAMA 20)

RIWAYA CHOZI LA RERI

  1. Atharizamzozowabaadayakutawazwakwakiongozimpyanchiniwahafidhina
  2. Kuzorotakwausalama
  3. Kuuliwakwaraia
  • Ukimbiziwandanikwandani
  1. Kuchomwakwamali
  2. Uporajiwamalihasayawafanyabiashara
  3. Kudidimiakwauchumi
  • Maandamano
  • Kujeruhiwa
  1. Ubakaji
  2. Kukwamakwausafiri
  3. Uharibifuwamazingira
  • Kufurushwa
  • Uharibifuwamisitu
  • Hofuyakushambuliwa
  1. Magonjwa ( zozote 10 x 1=alama 10)
  2. Jinsihakizawatotozinavyokiukwanchiniwahafidhina
  3. Kuchapwa –Ridhaaanamchapamwangeka
  4. Kutotibiwa –watotowawafanyikazikatikashamba la kahawahawatibiwi
  • Kuuliwakwawazaziwao- katika vitakatikamsituwa Mamba,walindausalamawanauawazaziwakimbizinakuwaachawatotowakiwamayatime
  1. Kuibwa-Sauna anawaiba Dick naMwaliko.
  2. Kutelekezwakatikaumaskini – Baba KaivuanamtelekezaKaivukatikaumaskini.
  3. Kuhiniwamalezi – FumbaanamhiniChandachemamalezikwakumtelekezakwanyanyake.
  • Kunyimwachakula-MwangekanaMwangemwananyimwachakulana mama zao.
  • Kutishwa-Dick alitishwana Buda kuwaatasingiziwawiziakikataakulanguadawazakulevya.
  1. KunyanyaswakimapenzimfanoZohali
  2. KutumikishwaMfanoZohali
  3. KutumiwakamavyombovyamapenzimfanoFumbaa
  • Kuajiriwa –Chandachemakuchunamajaniakiwadarasani
  • KuuzamihandaratiMfano Dick
  • KukatizwamasomoMfanoMwalimuna Dick
  1. Kuchomwa-UmatiunamchomaLemi
  • Kukataliwanawazazimfano Baba kipagaanamkanaKipanga.
  • KuuzwaMfano Bi. Kangaraanawanzawasicha;

Kadiriamajibumengine                                                           ( zozote 10 x 1=alama 10)

 

KIGOGO

  1. Anaangamizawapinzani wake
  2. Anafungasoko la chapakazi
  • Anaajiriwatuwanasabayao
  1. Kandarasizinatolewakwamapendeleo
  2. Anatumiapolisivibayakuwapiganakuwauawaandamanaji
  3. JelainatumiwakwamanufaayakeMajoka
  • Anaidhinishaupikajiwapombeharamu
  • Majokaanaruhusuuchafuziwamazingira
  • RasilimalizaserikaliyaJimbo la Sagamoyozinatumikakugharamiashereheyasikuyakuzaliwakwake. (zozote 10 x 1=alama 10)

 

HADITHI FUPI: TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINE

  1. Jinsisuala la umaskinilinajitokezakatikahadithiyaTumboLisiloshiba
  2. Maskinihawashauriwikuhusiananamaamuziyanayowahusu K.V kuhamishwa
  1. Madongoporomokanimtaawenyevibandauchwaravinavyozungukwanauozonabubujiko la majimachafu.
  2. Mnaharufuyauvundoinayoudhi
  • Mkahawamshenzi (duni) unapatikanakatikamtaahuu.
  1. WakaziwaMadongoporomokawanaelezwakuwamaskinina Bi. Suruta “Huwawanajalininikuhusuwatumaskinikamasisi?”
  2. (zozote 1 x 10=alama 10)

 

  1. i)Ni maelezoyamwandishi

Yanahusumaishayaubadhirifuyamzee mambo.

Mzee mambo ameandaasherehekubwasababumtoto wake wa kwanza anaingianasarina Yule wamwishoameanzakuotameno.

Mwandishianamdhihakikwaubadhirifuhuuwakujihusishana mambo yasiokuwanamaana.                                                                                                                                        ( 4 x 1=alama 4)

  1. ii) – Mporaji –Mzee mambo nimfanyikazihewaanayeporataifakwakudaikuzifanyiawizarambalimbalikazi.
  • Fisadi –Hafanyikazilakinianapokeamshaharakutokawizarambalimbali.
  • Mnafiki – Anajifichandaniyauchamunguilikujiliwaza.

(Kadiriamajibumengineyawanafunzi)                                                       ( 3 x 2=alama 6)

 

  1. SEHEMU YA F: ISIMU JAMII
  2. i) Kuonyeshahisiazaok.mkirafiki, furahan.k
  3. ii) Kujinasibishanahadhiyalughaiwapokatikajamiilughamojainahadhikulikonyingine.

iii) Kuonyeshaumahiriwalughamoja au zaidi

  1. iv) Kujitambulishakatikakundilitumialolugha Fulani.
  2. v) Mtuanapokosamsamiati. (zozote 4 x 1=alama 4)
  3. i) Lugharasminasahihikisarufikutumiwa.
  4. ii) Huzingatiazaidikutoaushahidiilihukumuitolewe.

iii) Lughayaheshimahutumiwanamawakilinawatuwenginekumuelekeahakimu.

  1. iv) Huhusishakuulizamaswalinakujibizana.
  2. v) Sentensihuwandefunamarudiokwakusudi la kuondoautata.

vi)Msamiatiwamahakamahutumiwak.mmshtakiwa, kesin.k

(Mwalimuakadiriemajibumengineyamwanafunzi)                                          ( 6 x 1=alama 6)