Tag Archives: form 2 revision papers with answers 2021

MUDA: SAA 2

 

JINA:____________________________________NAMBARI:________DARASA:_______

 

1.INSHA (alama 20)

Uhalifu umejaa kitongojini mwenu,andika hotuba ya chifu wa eneo lenu kwa wanakijiji.

 

2.UFAHAMU

SOMA TAARIFA IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI YANAYOFUATA

Wanasayansi wengi wameshidnwa kuelewa ni kwa nini watu huvuta sigara jambo hili kuwa moshi wa sigara huathiri wavutaji wa sigara na watu walio karibu nao na pengine huleta ugonjwa wa moyo. Wavutaji hupatwa na kikohozi cha adaima kisichosikia dawa, maisha hupata limuewatatiza binadamu kwa karne nyingi zilizopita na kuwaacha  rundo la maswali kuhusu uvutaji sigara.

sigara au sigareti ni kitu cha uraibu wa kuvuta, kinachotengenezwa kwa majani ya tumbako yaliyokaushwa. Husokotwa katika karatasi maalum. Tumbako pia huvutwa kwenye kiko hunuswa na hutafunwa.. tumbako inayosagwa na kunuswa au kubwiwa huitwa ugoro.

Hapana shaka wavutaji sigara huharibu afya yao. Wataalamu wa sayansi na madaktari wamefanya uchunguzi na wamethibitisha maradhi mfano wa pumu kutokana na moshi wa sigara unaowakereta koo. Kuna pia wanaosema kwamba uvutaji sigara unasababisha saratani ya mapafu. Watu wengi hufa kwa ugonjwa wa ghafla kwa sababu ya sumu ya moshi wa sigara  ambao hutunguza na kuyatoboatoboa mapafu.

Baadhi ya wavuta sigara hutupa vipande vya sigara ovyo bila kuzimwa na hivyo husababisha hasara kubwa kama vile uchomaji wa misitu, nyumba na nguo na wakati mwingine husababisha hata vifo. Uvutaji sigara umefika kiwango cha kusikitisha, utaona vijana yaaniwasichana na wavulana  wadogo sana, wakivuta sigara mbele ya watu wazima bila kujali hii ni aibu kubwa sana.

Tabia hii inatokana na mifano wanayoiona kutoka kwa wazazi wao au watu wengine. Si ajabu kumsikia mzazi akimtuma mwanawe akamununulie pakiti ya sigara au kopo la tumbako. Wazazi  kama hao huwafanya watoto wavute sigara ili nao wajione kama  ni watu wazima.

Sababu nyingine ya kuvuta sigara ni kutaka kujionyesha ati wana nakidi na kwao, au umaarufu. Hivyo basi sigara hazifai kupatiwa matangazo yenye kuvutia kwa vijana.

Aina nyingine ya uaraibu ni uvutaji bangi. Bangi ni aina ya mimea Fulani unaolevya na kupumbuza akili yanapotafunwa au kuvutwa. Wavuta bangi kwa hakika hupatwa na baa nyingi mwilini. Hukonda na huvaringika akili sijue wanalofanya. Wataalamu husema bangi ikiingia akilini, huharibu kitivo cha fikira mpaka mtu huwa kama mwenda wazimu.

Ni muhimu wazazi na walimu wawakataze na wawakanye watoto wasishiriki katika tabia hizi mbaya.

 

 

MASWALI

  1. Ipe taaarifa uliyosoma kichwa mwafaka.       (alama 2)

 

 

  1. Taja madhara ya sigara katika afya zetu.  (alama 4)

 

 

  1. Sababu zipi hufanya watu huvuta sigara. (alama 3)

 

 

  1. Taja jukumu la wazazi na walimu dhidi ya uvutaji sigara wa vijana ni lipi? (alama 2)

 

 

  1. Hasara gani zinazopatikana katika mazingira yetu kutokana na uvutaji sigara (alama 2)

 

 

 

 

 

  1. Fafanua maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika habari hii       (alama 2)
  • Uraibu

 

  • Nakidi

 

 

  1. MATUMIZI YA LUGHA (Alama 30)
  2. a) Eleza tofauti kati ya sauti hizi : (alama 2)

/r/ na /l/

 

b)Onyesha silabi inayowekwa shadda kwenye maneno haya : (alama 2)

  1. Karatasi
  2. Samahani
  3. c) Andika ukubwa wa: (alama 2)
  4. Mti
  5. Kiatu

d)Kanusha sentensi hii katika wingi:  (alama 2)

Kifaru anapatikana mbugani

 

e)Andika sentensi zifuatazo kwa kutumia kirejeshi amba-   (alama 2)

Mabondia hawa ni wale waliotuwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.

 

  1. f) Eleza maana ya kiimbo (alama 2)

 

  1. g) Onyesha viambishi awali na tamati katika : (alama 2)

Uliotatizika

 

h)Tunga sentensi yenye sehemu hizi:  (alama 2)

N+V+T+E

 

g)Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii:   (alama 2)

Alimpigia mpira.

 

h)Andika sentensi hii katika hali ya udogo:  (alama 2)

Watu wale ni weusi tititi hawaonekani gizani.

 

i)Sahihisha sentensi  ifuatayo: (alama 2)

Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe mbili.

 

j)Eleza maana ya misemo ifuatayo:   (alama 2)

  1. Vaa miwani

 

  1. Kula kalenda
  2. k) Taja matumizi mawili ya kistari kifupi: (alama 2)

 

l)Andika maneno yenye sauti mwambatano zenye miundo hii: (alama 4)

  1. I+I

 

  1. K+K+I
  • K+K+K+I

 

  1. K+I+I

 

FASIHI SIMULIZI                                                                                                (ALAMA 5)

 

  1. a) Eleza umuhimu wa nyimbo

MWONGOZO

JINA:____________________________________ NAMBARI:____________________DARASA:_______

 

1.INSHA (alama 20)

Uhalifu umejaa kitongojini mwenu,andika hotuba ya chifu wa eneo lenu kwa wanakijiji.

a)KICHWA

Kiandikwe kwa herufi kubwa na kupigiwa mstari

Kiwe kikamilifu na cha kueleweka moja kwa moja

Neno “hotuba” lazima liwe

b)Utangulizi

salamu zikiwepo ziwe zimefuata itifaki, kuanzia vyeo vya juu hadi vya chini.

Kiini cha hotuba kitajwe.

c)Mwili

Ujumbe uelezwe kwa kina

Vipengele vya kuzingatia ni kama vile:

  • Matumizi ya dawa za kulevya
  • Ukosefu wa ajira
  • Umaskini
  • Kulipa kisasi
  • Kutotendewa haki
  • Kuogopa aibu na kulinda hadhi
  • Wivu wa mali

d)Hitimisho

 

 

2.UFAHAMU

SOMA TAARIFA IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI YANAYOFUATA

 

Wanasayansi wengi wameshidnwa kuelewa ni kwa nini watu huvuta sigara jambo hili kuwa moshi wa sigara huathiri wavutaji wa sigara na watu walio karibu nao na pengine huleta ugonjwa wa moyo. Wavutaji hupatwa na kikohozi cha adaima kisichosikia dawa, maisha hupata limuewatatiza binadamu kwa karne nyingi zilizopita na kuwaacha  rundo la maswali kuhusu uvutaji sigara.

sigara au sigareti ni kitu cha uraibu wa kuvuta, kinachotengenezwa kwa majani ya tumbako yaliyokaushwa. Husokotwa katika karatasi maalum. Tumbako pia huvutwa kwenye kiko hunuswa na hutafunwa.. tumbako inayosagwa na kunuswa au kubwiwa huitwa ugoro.

Hapana shaka wavutaji sigara huharibu afya yao. Wataalamu wa sayansi na madaktari wamefanya uchunguzi na wamethibitisha maradhi mfano wa pumu kutokana na moshi wa sigara unaowakereta koo. Kuna pia wanaosema kwamba uvutaji sigara unasababisha saratani ya mapafu. Watu wengi hufa kwa ugonjwa wa ghafla kwa sababu ya sumu ya moshi wa sigara  ambao hutunguza na kuyatoboatoboa mapafu.

Baadhi ya wavuta sigara hutupa vipande vya sigara ovyo bila kuzimwa na hivyo husababisha hasara kubwa kama vile uchomaji wa misitu, nyumba na nguo na wakati mwingine husababisha hata vifo. Uvutaji sigara umefika kiwango cha kusikitisha, utaona vijana yaaniwasichana na wavulana  wadogo sana, wakivuta sigara mbele ya watu wazima bila kujali hii ni aibu kubwa sana.

Tabia hii inatokana na mifano wanayoiona kutoka kwa wazazi wao au watu wengine. Si ajabu kumsikia mzazi akimtuma mwanawe akamununulie pakiti ya sigara au kopo la tumbako. Wazazi  kama hao huwafanya watoto wavute sigara ili nao wajione kama  ni watu wazima.

Sababu nyingine ya kuvuta sigara ni kutaka kujionyesha ati wana nakidi na kwao, au umaarufu. Hivyo basi sigara hazifai kupatiwa matangazo yenye kuvutia kwa vijana.

Aina nyingine ya uaraibu ni uvutaji bangi. Bangi ni aina ya mimea Fulani unaolevya na kupumbuza akili yanapotafunwa au kuvutwa. Wavuta bangi kwa hakika hupatwa na baa nyingi mwilini. Hukonda na huvaringika akili sijue wanalofanya. Wataalamu husema bangi ikiingia akilini, huharibu kitivo cha fikira mpaka mtu huwa kama mwenda wazimu.

Ni muhimu wazazi na walimu wawakataze na wawakanye watoto wasishiriki katika tabia hizi mbaya.

 

 

MASWALI

  1. Ipe taaarifa uliyosoma kichwa mwafaka.              (alama 2)                                                                                           

Uvutaji sigara

  1. Taja madhara ya sigara katika afya zetu.  (alama 4)

Huunguza na kutoboa mapafu

Husababisha saratani ya mapafu

Hupata maradhi ya pumu

Kufa kwa ugonjwa wa ghafla

  1. Sababu zipi hufanya watu kuvuta sigara. (alama 3)                                                                                          Kujiona wana nakidi ya pesa

Watoto huiga mifano ya wazazi wao

Hutokana na matangazo ya kuvutia

  1. Taja jukumu la wazazi na walimu dhidi ya uvutaji sigara wa vijana ni lipi?            (alama 2)

Wazazi na walimu wa wakanya  vijana kuvuta sigara

  1. Hasara gani zinazopatikana katika mazingira yetu kutokana na uvutaji sigara (alama 2)                                

Msitu huchomeka,nguo na nyumba

 

 

  1. Fafanua maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika habari hii                 (alama 2)                                            
  • Uraibu-uzoefu,kupenda sana
  • Nakidi- pesa taslimu

 

  1. MATUMIZI YA LUGHA (Alama 30)
  2. a) Eleza tofauti kati ya sauti hizi : (alama 2)

                /r/ na /l/

                /r/ ni kimadende na /l/ ni kitambaza

b)Onyesha silabi inayowekwa shadda kwenye maneno haya : (alama 2)

  1. Karatasi- Kara’tasi
  2. Samahani-Sama’hani
  3. c) Andika ukubwa wa: (alama 2)
  4. Mti- Jiti
  5. Kiatu-Jiatu

d)Kanusha sentensi hii katika wingi:  (alama 2)

                Kifaru anapatikana mbugani

Vifaru hawapatikani mbugani.

e)Andika sentensi zifuatazo kwa kutumia kirejeshi amba-   (alama 2)

                Mabondia hawa ni wale waliotuwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.

Mabondia hawa ni wale ambao walituwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.

  1. f) Eleza maana ya kiimbo (alama 2)

Kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti

  1. g) Onyesha viambishi awali na tamati katika : (alama 2)

                Uliotatizika

U-li-o viambishi awali

i-ka viambishi tamati

h)Tunga sentensi yenye sehemu hizi:  (alama 2)

                N+V+T+E

Mwanafunzi bora alituzwa jana. (mwalimu akadirie mifano zaidi)

(mwalimu akadirie miundo ingine mwafaka)

g)Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii:   (alama 2)

                Alimpigia mpira.

Alipiga kwa niaba yake

Aliupiga mpira kwenda upande wake

h)Andika sentensi hii katika hali ya udogo:  (alama 2)

                Watu wale ni weusi tititi hawaonekani gizani.

Vijitu vile ni vyeusi  tititi havionekani gizani.

i)Sahihisha sentensi  ifuatayo: (alama 2)

Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe mbili.

Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe wawili.

j)Eleza maana ya misemo ifuatayo:   (alama 2)

  1. Vaa miwani- kulewa
  2. Kula kalenda- Fungwa jela
  3. k) Taja matumizi mawili ya kistari kifupi: (alama 2)

kuandika tarehe km 03-03-2021

kuonyesha neno linaendelea katika mstari unaofuata

kutenga silabi na nyingine hasa katika ufunzaji wa Ushairi

kutenga neno au sentensi na ufanunuzi

(mwalimu akadirie maelezo na mifano)

l)Andika maneno yenye sauti mwambatano zenye miundo hii: (alama 4)

  1. I+I-oa
  2. K+K+I- m-cha
  3. K+K+K+I-mbwa
  4. K+I+I-kaa

 

FASIHI SIMULIZI (alama 5)

 

  1. a) Eleza umuhimu wa nyimbo

Kuburudisha

Kukejeli

Kuasa

Kupata riziki

Kuhifadhi na kuendeleza utamaduni

Kutimiza shughuli mbalimbali

 

ENGLISH FORM 2 OPENER EXAM PLUS ANSWERS IN PDF

NAME…………………………………………………………………………………………….CLASS…………….ADM…………..

JOINT EVALUATION

FORM 2 ENGLISH

 FORM 2 OPENER EXAM

 

DURATION: 1 HOUR 45 MINUTES                                                       

INSTRUCTIONS

  1. This paper consists of six sections as follows:-

SECTION A: WRITING (15mks)                SECTION B: CLOZE TEST (10mks)

SECTION C: ORAL SKILLS (10mks)         SECTION D: GRAMMAR (20mks)

SECTION E: ORAL LITERATURE (15mks)

  1. Ensure that you answer all questions in the spaces provide

SECTION A: WRITING (15MKS)

Your friend in primary school is in form one in Bidii Secondary of P.O Box 341, Kisimani. She has written to you telling you about her new school. She has also requested you to carry your end of term one examinations for comparative analysis. Write your reply to her.

 

SECTION B: CLOSE TEST (10MKS)

A neighbor had left (1) _______________________ store un attended (2) ____________________ she heeded the cries of her (3) _________________________ baby. Her kitchen caught fire, and the flames (4) ________________ to the neighboring shacks in (5) _______________________. There was no (6) _______________________________ available and no fire (7) __________________________ for the people to call. (8)_____________________________ that the assembled crowd of hundreds (9)__________________________ do was gather buckets of sand and (10)_______________________ into the flame.

 

SECTION C: ORAL SKILLS (15MKS)

  1. For each of the following words, write a word that is pronounced the same way (5mks)
  2. Principle ……………………………………..
  3. Dye …………………………………….
  • Weak …………………………………….
  1. Stationery …………………………………….
  2. Sent …………………………………….
  3. You have noted that your desk mate Vivian has a poor handwriting. State two factors that might have contributed to this (2mks)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….

  1. In Form One, one makes new friends. Write three things that you can do when introducing yourself to a new person, so as to appear friendly (3mks)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….

 

SECTION D: GRAMMAR (20MKS)

  1. Fill in the blank spaces in the following passage with the most appropriate article (4mks)

___________________________ banana tree is _______________________________ strange looking plant. It grows very quickly and in less than _____________________________ year will reach a height of seven meters or more. Usually, pruning needs to be done and one can take more than ______________________________ hour to finish an acre.

  1. Choose the correct word from the ones in bracket and use it to fill in the blank spaces (4mks)
  2. “I am sorry for the ________________________,” said my friend. (loose, loss)
  3. Why have you ________________________ to eat raw bananas while we have ripe ones in the store? (chose, chosen)
  4. We ___________________ for our president each time we get an opportunity. (pray, prays)
  5. Who ____________________ the bell this morning? (rang, rung)
  • Complete the sentences below using appropriate reflexive pronouns. (4mks)
  1. The boy was beside___________________________ with fury for missing the penalty.
  2. Let us not deceive ____________________ that life is a bed of roses.
  3. When one faces challenges, one has to encourage __________________________ that things will just be fine.
  4. A house divided against ____________________________ cannot stand.
  5. Use the plural forms of the words in brackets to fill in the blank spaces. (4mks)
  6. You surely do not need three ___________________________. (radio)
  7. Remember to buy grandmother some _______________________ .(potato)
  8. The two ________________________ met so that they could make strategic plans for their locations. (Chief).
  9. The two _____________________ disappeared into the nearby bush. (deer)
  10. Use the most appropriate word to fill in the blank spaces so as to form questions. (4mks)
  11. ____________________________ is your mother? Is she a nurse or a teacher?
  12. _______________________________ did you find at the shop? Tom or Mary?
  13. ____________________ of these bags is yours? The red one or the green one?
  14. ________________________ pen is this? Is it Wilson’s or Kennedy’s?

 

SECTION E: ORAL LITERATURE (20MKS)

Read the following story and answer the questions that follow

The Monkey and The Crocodile

A long long time ago. Monkey and Crocodile were very good friends. The Monkey’s house was close to a river and there were many fruit trees on the banks of this river.

 

Usually monkey would sit on the branches of the fruit trees and chat with his friend Crocodile who would be basking on the banks of the river. Their friendship continued for a long time until they decided it was time to introduce their wives to this friendship. “We have been friends for a long time and you don’t even know my house, Crocodile began.

 

“Neither do you know mine,” Monkey replied. “It is easier for you to come to my-house that it is for me to visit you since I cannot swim and your house is beyond the water.”

 

“That is not a problem. I can always carry you on my back,” responded crocodile. “Let us visit my house first. My wife is a very good cook,” Monkey argued. “No” replied Crocodile “My wife has had a baby and there is plenty to eat in the house.”

 

“Let us not argue about this,” Monkey said. “If we go to my house first, my wife will not be anxious when I tell her I am going across the waters to visit you.” They agreed that they would visit Monkey’s house first. Though at first Monkey’s wife was afraid of crocodile, she later realized that Crocodile was very friendly. She did not have problems with her husband visiting him. In fact she wished she would join him.

 

Monkey was very excited the following day when he got to the banks of the river and found Crocodile waiting for him. This was going to be Monkey’s first trip across the waters and he could not hide his excitement. He jumped onto Crocodile’s back and Crocodile swiftly swam towards the deep waters.

 

When they were in the middle of the river, crocodile slowed down and began, laughing.

 

“Why are you laughing?” Monkey asked in surprise “You fool. Did you think I would take you to my house? I have waited for that heart of yours for a long time. Today I have it.”

Immediately Monkey knew he was in deep trouble. He started thinking of a way out of his predicament. “Poor you, my friend: Why didn’t you tell me this earlier?” Monkey calmly asked. “What do you mean?” asked Crocodile in surprise “It is not difficult for me to give you my heart. If you had asked when we were at my house. I would even have given you my wife’s heart too,” Monkey replied. Crocodile was confused.

“Then why don’t you give it to me now?” Crocodile asked.

You see my friend; Monkeys have a tradition of leaving their hearts at home when they are going for a long journey. I therefore left mine on my favorite tree.” Crocodile was even more confused.

“We can go and visit your wife first, and then I will give you my heart when you take me back,” Monkey suggested.

“No,” cried crocodile “I will take you back first. When 1 have your heart, we can then visit my wife.”

Quickly, Crocodile headed back to the bank of the river. When they got there, monkey jumped from Crocodile’s back onto his favorite tree. He asked crocodile to open is mouth wide to receive the heart. Monkey then picked the biggest of the mangoes on the tree and threw it into Crocodile’s open mouth. It fell in with a thud, breaking four of Crocodile’s teeth. Crocodile was so upset but there was nothing he could do as Monkey jumped from tree to tree insulting him.

From that day Monkey and Crocodile have remained enemies. And that is the end of my story and may I not end like it.

 

Questions

A

  1. Classify this narrative and give reasons for your classification (3mks)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Name two characters found in this story (2mks)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. a) Using an adjective, describe monkey’s character trait that enabled him save his life from the crocodile (1mk)

…………………………………………………………………………………………………………

  1. b) Illustrate your answer (2mks)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….

  1. What economic activity is practiced by the people from whom this narrative was collected? (2mks)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Write a proverbs that summarizes the narrative and explain how this proverb applies to the narrative

(3mks)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Apart from your answer in A1 above, name two other types of narratives that you know of

(3mks)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………


ENGLISH 101

MARKING SCHEME

 FORM 2 OPENER EXAM

TIME: 1 HOURS 45 MINUTES

 

SECTION A: WRITING (15MKS)

FORMAT       :           Address (2mks)

:           Date (1mk)

:           Salutation (1mk)

:           Valediction (1mk)

:           Name (1mk)

Total (6mks)

CONTENT     :           Introduction/greetings (2mks)

:           Acknowledge receiving a letter (2mks)

:           Comment anything about the friend’s school (1mks)

:           Carrying of exam papers (2mks)

:           Conclusion (2mks)

LANGUAGE (4MKS)

A – 4mks

B – 3mks

C – 2mks

D – 1mk

 

NOTE:

  1. If student writes the address of Bidii Secondary deny marks for address. Deny mark for half punctuated address.
  2. Salutation should contain one name and must be punctuated with a comma.
  3. The name at the end of the letter should be one, or a short form, not a full name.

 

Sample

Ufanisi High School,

P.O Box 1362,

Embu.

28th February, 2014

Dear Sue,

I send my warm greetings hoping that you are fine. I am happy to tell you that I am now settled in my new school.

I received your letter last Friday. It reminded me of the days we had in Primary School when you would send me messages using your mother’s phone. I was surprised that your school has three buses. Ours has got only a van. I also noted that you wanted us to compare our end of term exams. I will carry the exam papers.

 

I wish you all the best in your new school remember to keep good company. See you over the holidays.

 

Your friend,

Ann.

 

SECTION B: CLOZE TEST (10MKS)

  1. her   water
  2. while brigade
  3. young All – ‘A’ must be capital
  4. spread could
  5. minutes Throw

 

SECTION C: ORAL SKILLS (15MKS)

  1. i) Principal
  2. Die
  • Week
  1. Stationary
  2. Scent, cent
  3. Poor sitting posture when writing
  • Holding the pen in the wrong way
  • Shaping letters in the wrong way/poor spacing of work
  • Writing carelessly and in hurry
  • Poor training in primary school (2 x 1 = 2mks)
  • Shaking hands
  • Smiling at them
  • Maintaining eye contact
  • Using phrases like “pleasure to meet you”
  • Using phrases like “ happy to be your friend”
  • Nodding of the head where appropriate (3 x 1 = 3mks)

 

SECTION D: GRAMMAR (20MKS)

  1. The – ‘T’ must be capital
  • a
  • a
  • an
  1. a) loss
  2. b) chosen
  3. c) pray
  4. d) rang
  • a) himself
  1. b) ourselves
  2. c) oneself
  3. d) itself
  4. a) radios
  5. b) potatoes
  6. c) chiefs
  7. d) deer
  8. a) What
  9. b) Whom
  10. c) Which
  11. d) Whose

SECTION F: ORAL LITERATURE (20MKS)

  1. Fable √(1) – The main characters are animals √(1)
  • The crocodile and the monkey √(1)

Or

Trickster – The crocodile tricks the monkey to visit his home yet he wants to eat his heart √(2)

Or The monkey tricks the crocodile that her left his heart on top of a tree √(2)

  1. The crocodile √(1)

The monkey √(1)

NB: If candidate does not mention the names

Or simply says “animals” deny mark

  1. Clever √(1) – He tricked the crocodile that he had left his heart on top of the tree √(2)

Note: Accept any other appropriate answer e.g. intelligent

  1. Fishermen √(1) – presence of the river√(1)

Farmers √(1) – grew mangoes√(1)

Identification (1mk)

Illustration (1mk)

  1. 1 mk for an appropriate proverbs

2mks for appropriate explanation

Examples of proverbs

  • The best of friend must part
  • An ounce of blood is worth more than a pound of friendship
  • A friend in need is a friend to be avoided
  • Your closest friend may turn out to be your greatest enemy
  • Friends are like roses, you have to look out for the thorns
  • An open enemy is better than a false friend
  1. Legends
  • Myths
  • Dilemma stories
  • Spirit tales
  • Human stories
  • Allegorical stories
  • Ogre/monster stories (2 x 1 = 2mks)

Form 2 past papers with answers

Looking for Two (2) comprehensive exams? look no further. Download all the updated Form 2 exams with marking schemes here. Check the TEACHERS’ RESOURCES PORTAL for more free resources.

FORM 2 COMPREHENSIVE AND LATEST EXAMS

FORM 2 ENGLISH- 101: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

ENGLISH FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

ENGLISH FORM 2 ANSWERS

Also check; Form 4 Exams 2021-2022 With Marking Schemes (Comprehensive Exams)

FORM 2 KISWAHILI- 102: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

KISWAHILI FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

KISWAHILI FORM 2 ANSWERS

FORM 2 MATHEMATICS- 121: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

MATHS FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

MATHS FORM 2 ANSWERS

FORM 2 BIOLOGY- 231: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

BIOLOGY FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

BIOLOGY FORM 2 ANSWERS

FORM 2 PHYSICS- 232: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

PHYSICS FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

PHYSICS FORM 2 ANSWERS

FORM 2 CHEMISTRY- 233: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

CHEMISTRY FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

CHEMISTRY FORM 2 ANSWERS

 FORM 2 HISTORY- 311: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

HISTORY FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

HISTORY FORM 2 ANSWERS

FORM 2 GEOGRAPHY- 312: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

GEOGRAPHY FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

GEOGRAPHY FORM 2 ANSWERS

FORM 2 CRE- 313: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

CRE FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

CRE FORM 2 ANSWERS

FORM 2 AGRICULTURE- 443: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

AGRICULTURE FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

AGRICULTURE FORM 2 ANSWERS

FORM 2 COMPUTER STUDIES- 451: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

COMPUTER FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

COMPUTER FORM 2 ANSWERS

FORM 2 BUSINESS STUDIES- 565: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

BUSINESS FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

BUSINESS FORM 2 ANSWERS

FORM 2 HOME SCIENCE: FREE COMPREHENSIVE EXAM PAPERS & MARKING SCHEMES

HOME SCIENCE FORM 2 COMPREHENSIVE EXAM

HOME SCIENCE FORM 2 ANSWERS