Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Marsbahis

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

hacklink panel

hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Rank Math Pro Nulled

WP Rocket Nulled

Yoast Seo Premium Nulled

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Nulled WordPress Plugins and Themes

Hacklink

hacklink

Taksimbet

Marsbahis

Hacklink

Marsbahis

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Bahsine

Hacklink

Betmarlo

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

duplicator pro nulled

elementor pro nulled

litespeed cache nulled

rank math pro nulled

wp all import pro nulled

wp rocket nulled

wpml multilingual nulled

yoast seo premium nulled

Nulled WordPress Themes Plugins

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Bahiscasino

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink

Madridbet

Marsbahis

Betpas

aşk büyüsü

Tantra massage in Istanbul

porno

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

unblocked games

maç izle

dizipal

esbet

Canlı Maç İzle

wbahis giriş

wbahis resmi

edukyno işitme cihazları

matbet giriş

deneme bonusu veren siteler

Betorder

Betpas giriş

Betpas güncel giriş

galabet giriş

galabet giriş

galabet

dumanbet

kavbet

kavbet

matbet

grandpashabet giriş

grandpashabet giriş

sahabet giriş

grandpashabet

marsbahis

Kuaför

işitme cihazı satın al

matbet tv

puff

padişahbet

padişahbet

pulibet

padişahbet

hd film izle

taraftarium24

nycbahis

vaycasino

casibom

jojobet telegram

dopamin giriş

vds

https://creditfree.us.com

slot dana

deposit 5000

Instagram Türk Takipçi Satın Al

sekabet giriş

cazinom

jojobet cc

güvenilir bahis siteleri

casibom giriş

bahiscasino

jojobet twitter

meritking

meritking

casibom giriş

deneme bonusu

casibom

betnano

betnano

royalbet

vbet

maltcasino

sekabet

dumanbet

dumanbet

padişahbet

casibom giriş

1xbet

xslot

güvenilir bahis siteleri

dinamobet

lidyabet

lidyabet

jojobet giriş

sekabet

retro bowl

pulibet

celtabet giriş

matbet güncel

yakabet güncel giriş

primebahis

dizipal

yabancı dizi izle

google

dizipal

Hiltonbet

Betorder

Betorder güncel giriş

Betpas giriş

Betpas güncel giriş

blooket cheats

Pinbahis Giriş

Mujeres empresarias y emprendedoras en México

rekorbet

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

casibom giriş

galabet giriş

piabellacasino

meritking giriş

pradabet

casibom

royalbet

sonbahis giriş

Garanti | Web Tasarım & Siber Güvenlik

saltbahis

Betmarino Güncel Giriş

casibom giriş

casibom

Betorder güncel giriş

jojobet güncel giriş bahiscasino bahiscasino giriş casinoroyal casibom betsmove casibom

unblocked games 76

casibom giriş

casibom yeni adres

esbet

casibom

esbet

bullbahis

bullbahis

kuruluş orhan son bölüm izle

hazbet

holiganbet

matbet

holiganbet giriş

galabet güncel

betsmove

betsmove giriş

betnano

betnano

betnano

betnano

matbet

katla

dizipal

yabancı dizi izle

hd porn

casibom güncel giriş

galabet

bets10

dumanbet

son bölüm izle

Casibom giriş

fatih escort

galabet

betturkey giriş adresi

unblocked

retro bowl unblocked 76

padişahbet

jojobet

jojobet

Betorder

Betorder güncel giriş

Betpas giriş

Betpas güncel giriş

slot gacor

Streameast

jojobet para

jojobet

Betpas

Betpas Giriş

yohoho

betturkey giriş

github.io unblocked

deneme bonusu veren siteler

yakabet

avrupabet

Hacklink

Hacklink

sahabet

casibom giriş

Marsbahis

Hacklink

Marsbahis

Marsbahis

Marsbahis

Marsbahis

Antalya Escort

casibom giriş

casibom

slot gacor

pusulabet

holiganbet

7mmbet, 7mmbet live chat, Agen Sbobet

betturkey

onwin

onwin

casibom

casibom giriş

casibom güncel

casibom güncel giriş

casibom giriş adresi

casibom güncel adres

betovis

kavbet

betovis

Galabet

Hacklink panel

bahiscasino

pusulabet giriş

asyabahis

artemisbet

antalya dedektör

teknoloji ekibi tm2

tm2 dedektör

dedektör

dedektor

casibom

pusulabet

conrad gr4 dedektör

conrad gr4

conrad gr4 dual

conrad gr4 dedektör

conrad gr4

conrad gr4 dual

conrad gr4 yeraltı görüntüleme

antalya dedektör

antalya ikinci el dedektör

antalya xp dedektör

marsbahis

tipobet

tipobet

ultrabet

tarafbet

pusulabet

ultrabet

padişahbet

nitrobahis

galabet

betnano

atlasbet

aresbet

alobet

holiganbet

meritking

grandpashabet

bahsegel

sekabet

yakabet

mariobet giriş

Galabet

slot gacor

minelab dedektör

dedektör

altın dedektörü

conrad gr4 dual

casibom giriş

favorisen giriş

dedektör

dedektör fiyatları

altın dedektörü

define dedektörü

dedektör

dedektör

dedektör

via gold dedektör

minelab dedektör

model 15 alan tarama

grandpashabet

maksibet

pusulabet

nitrobahis

matbet

bahiscasino

cratosslot

piabet

sekabet

celtabet

superbetin

vdcasino

tambet

imajbet

vdcasino

minelab gpx 6000

gpx 6000 dedektör

casinoroyal

holiganbet

casibom güncel adres

meritking

kingroyal

pulibet giriş

tlcasino

livebahis

tlcasino.win

tlcasino giriş

wbahis

wbahis giriş

casinowon

casinowon giriş

casinowonadresgiris.com

bahiscasino

bahiscasino giriş

https://bahiscasino.pro/

grandpashabet giriş

vaycasino

KISWAHILI FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS IN PDF

CHETI CHA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI TATHMINI YA PAMOJA

TATHIMINI YA PAMOJA

JINA: …………………………………………………………………………………….. NAMBANI YAKO:………………..

SAHIHI:…………………………………….                                                                TAREHE:…………………………….

MUDA: SAA 2½

SHULE YA UPILI YA RUARAKA

KISWAHILI KIDATO CHA TATU

MWISHO WA MUHULA

MUDAL SAA 2½

MAAGIZO

  • JIBU MASWALI YOTE KWENYE NAFASI ULIZOACHIWA

KWA MATUMIZI YA MUTAHINI PEKEE

SWALI UPEO ALAMA
INSHA 20  
UFAHAMU 15  
MATUMIZI YA LUGHA 20  
ISIMU JAMII 10  
USHAIRI 15  
FASIHI 20  
JUMLA 100  

 

SEHEMU A: INSHA (ALAMA 20)

Andika insha ifuatayo. Insha yako isipungue maneno 400.

Serikali ya Kenya imefanya mengi kuinua viwango vya elimu nchini hasa katika shule za msingi na za sekondari. Andikia waziri wa elimu barua ukipongeza serikali kwa juhudi hizi.

 

 

SEHEMU B: UFAHAMU (ALAMA 15)

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali

Nimekaa na kutafakari kwa muda mrefu juu ya mabilioni ya pesa ambayo yametengwa na serikali ili kudhamini miradi ya maendeleo ya wanawake. Kina mama au wanawake wengine wanakiri na kusema kwamba fedha hizo zimewezesha kuwaondoa katika lindi la unyanyasaji kutoka kwa waume zao, kwani kila mmoja aneheshimu mwenzake kwa sababu ya kipato alicho nacho. Wengi wameweza kuanza biashara ndogondogo ambazo huwaletea angalau kipato kidogo.

Ukweli ni kwamba fedha hizi zimesaidia kuwatoa wanawake wengi katika unyanyasaji, kwani wengi wanaweza kuanzisha kazi za ujasiri amali na hata kuendesha shughuli mbalimbali za maendeleo. Kutokana na mafanikio haya, wabunge waliopitisha hoja bungeni ya kuanzisha mpango huu wa kuwakwamua wanawake kimaendeleo wanafaa kupongezwa. Mafanikio haya yamewafanya akina mama kujikimu kimaisha na hivyo kutowategemea waume katika kila jambo.

Ukitaka kujua ukweli kuhusu hili, nenda kwenye masoko utaona akina mama zaidi na hivyo wanapaswa kuwezeshwa kwa kila hali na mali. Akina mama pia wanapaswa kupongezwa kwani wameamua kujitosa kukopa fedha kutoka kwenye taasisi mbalimbali za fedha. Fedha hizo kwa kiwango kikubwa zimewainua kutoka katika ufukara uliokithiri hadi katika maisha ya heshima. Wale ambao hawajajaribu kuchukua mikopo, ni muhimu wafanye hivyo ili wajikimu kimaisha.

Maisha ya sasa ni magumu, kwa hivyo yahitaji kusaidiana kwa kila hali na mali. Wanaume kwa wanawake ni vyema wachange pesa ili wazumbue riziki. Ushirikiano utarahisisha maisha yaohata hivyo sio tu akina mama hau wameondokewa na unyanyasaji waliokuwa wakipata ndani ya nyumba zao kutoka kwa akina baba, bali hata maswala ya mrundikano wa kesi za kugombea ardhi kwa akina mama zimepungua. Sababu ni kwamba akina mama wengi wameweza kujitafutia ardhi wenyewe kwa fedha walizonazo.

Ukweli ni kwamba hali imebadilika kinyume na hapo awali, ambapo majumba ya kifahari na mashangingi yalikuwa hifadhi ya wanaume, siku hizi wanawake wamemiliki hayo yote.

 

Maswali

  1. Ipe taarifa hii anwani         (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Wabunge wamewafaa wanawake kwa njia gani         (alama 2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Wanaume walikuwa kikwazo cha maendeleo nchini vipi? (alama 2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mfumo wa serikali umewasaidiaje wanawake         (alama 4)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kulingana na makala haya, toa sababu zinazowafanya baadhi ya wanawake kuishi katika uchochole         (alama 3)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Ni nini imepanguza kesi za kugombea ardhi kwa akina mama? (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana ya misamiati ifuatayo kama ilivyotumiwa katika makala haya
  2. Wazumbue

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kujitosa

……………………………………………………………………………………………………………………………………

 

 

 

SEHEMU C : MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 20)

  1. Taja sifa bainifu za sauti /s/         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tumia neno mpaka katika sentensi kama; (alama 2)
  2. Nomino

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kihusishi

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tunga sentensi moja ukionyesha matumizi mawili ya alama ya kuakifisha ifuatayo

(alama 2)

Ritifaa/kibainishi

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….

  1. Bainisha aina za vitenzi katika sentensi hii         (alama 2)

Mjomba alikuwa tajiri lakini sasa ni maskini.

 

 

  1. Nomino zilizopigiwa mstari ni za ngeli gani? (alama 2)

Kuonyeshaviambishi katika neno husumbua wanafunzi sana

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Yakinisha sentensi hii         (alama 2)

Usipokuja kwetu hutampata mama .

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana mbili katika sentensi hii         (alama 2)

Majambazi walimwibia mkurugenzi gari jipya

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tofautisha matumizi ya kiashiria ‘huyu’ katika sentensi hii.         (alama 2)

Huyu aliachishwa kazi na mkurugenzi huyu

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Bainisha kirai nomino na kirai kitenzi katika sentensi hii         (alama 2)

Punda mkongwe ameshindwa kutembea

 

 

  1. Andika katika usemi wa taarifa         (alama 2)

“Tutawatembelea wazazi wetu leo jioni,” Leo alimwambia Asha

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU YA D : ISUMU JAMII (ALAMA 10)

  1. Eleza sababu nne zinazowafanya watu kubadili msimbo         (alama 4)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mazungumzo ya mahakamani husheheni sifa zipi?         (alama 6)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

 

SEHEMU YA E: USHAIRI (ALAMA 15)

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali yatakayofuata

Kizazi kijacho,

Ni kizazi ninachokihurumia!

Mno ninakisikitikia,

Hadi kushika tama.

 

Najua hakitanikuta kamwe,

Kaburini nitakuwa nimefukiwa,

Futi sita!

Lakini sikio langu siku moja,

Nitalitega kusikiliza vitukuu,

Vikiulizana maswali

 

Mti ni nini?

Eti kuna viumbe nyuni,

Warukao na kuimba nyimbo nzuri?

Mababu nasikia eti,

Maji hawakununua kutoka ng’ambo!

Mito na maziwa ilijaa maji tele!

Kiu wakikata na kuoga,

Eti bahari safi ilikuwa,

Hadi watu kuongelea?

 

Nitawacheka!

La, nitawahurumia,

La, nitajilaumu mimi,

Kwani niliyaharibu mazingira hayo.

 

 

 

 

Maswali

  1. Kwa nini mshairi anakihurumia kizazi kijacho         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza kile kingetokea kwa maji na mimea (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza dhamira ya mshairi huyu         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Taja tamathali ya usemi inayojitokeza katika mshororo wa pili ubeti wa pili (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Andika ubeti wa nne kwa lugha ya nathari (alama 4)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza toni ya shairi hili (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Taja nafsi neni katika shairi hili         (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi (alama 2)
  2. Vitukuu

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mababu

……………………………………………………………………………………………………………………………………

 

 

SEHEMU F: FASIHI (ALAMA 20)

Chagua swali moja tu kutoka mojawapo wa sehemu zifuatazo: Riwaya, Tamthilia na Hadithi Fupi.

RIWAYA: CHOZI LA HERI (ASUMPTA MATEI)

  1. a) Eleza athari za mzozo wa baada ya kutawazwa kwa kiongozi katika nchiya wahafidhina (alama 10)
  2. b) Onyesha jinsi haki za watoto zinavyokiukwa katika inchi ya  wahafidhina (alama 10)

 

TAMTHILIA: KIGOGO (PAULINE KEA)

  1. Onyesha namna Majoka kama Kigogo wa Sagamoyo anavyotumia mamlaka yake vibaya.

(alama 20)

HADITHI FUPI: TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINE

  1. a) Fafanua jinsi suala la umaskini linajitokeza katika hadithi ya Tumbo Lisiloshiba.

(alama 10)

b)”Kama kawaida, kwa mzee mambo na leo tena kuna jambo. Jambo linalotokana na mambo”

  1. Eleza muktadha wa kauli hii. (alama 4)
  2. Fafanua sifa tatu zinazohusishwa na mzee mambo (alama 6)



CHETI CHA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI

TATHMINI YA PAMOJA

KIDATO CHA TATU

MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

  1. SEHEMU A- INSHA
  • Mwanafunziaeleze mambo ambayoserikaliya Kenya inafanyakuinuaviwangovyamasomo.
  • Baadhiyahojamwanafunzianatarajiwakutajanakuelezakikamilifuni:
  1. Serikaliinawalipiawanafunziwotekiasikikubwa cha karo.
  • Kilamwakaserikaliinawaajiriwalimukuondoatatizo la uhabawawalimu.
  1. Serikaliinatoapesazakuinuamiundomisingishulenikama vile darasa.
  2. Kupitiambungesherianyingizimetungwanakupitishwazakumlindamwanafunzi
  • Kuwaadhibuwanafunzi wale wanaotovukakinidhamu.
  1. SEHEMU B : UFAHAMU
  2. Maendeleoyawanawake

Wanawakenauchumi

(Kadiriajibu la mwanafunzi                                                                            ( 1×1=alama 1)

  1. Wabungewalipitishahojabungeniyakuanzishampangowakuwakwamuawanawakekimaendeleo (alama 2)

(alama 2)

  1. – Umewaondoleaufukara/kuwaleteakipato.
  1. i) Hawajajaribukuchukuamikopo.
  2. ii) Kutoshirikiananawaumezaokatikakutafutariziki.

iii) Kunyanyaswanawaumezao.                                                                                   (3 x 1=alama 3)

  1. Akina mama wengiwamewezakujitafutiaardhiwenyewekwafedhawalizonazo.
  2. i) Wapate
  3. ii) Kujiingiza

 

  1. SEHEMU C : MATUMIZI YA LUGHA
  2. – Ni kikwamizo
  • Hutamkiwakwenyeufizi
  • Sautisighuna (zozote 2 x 1=alama 2)
  1. Mfanowasentensi

Mpakawashuleyetuunafikampakamtoni                                                 ( 2 x 1=alama 2)

Nomino                                           Kihusishi

Mtoni

  1. Rafikiyangualiendang’ambomiakaya ’90. ( 2 x 1=alama 2)
  2. Alikuwa – kitenzikishirikishikikamilifu

ni           -Kitenzikishirikishikipungufu                                                                       ( 2 x 1=alama2)

  1. Kuonyesha – Ngeliya KU

Viambishi – Ngeliya KI-VI                                                                                               (2 x 1=alama 2)

  1. Ukijakwetuutampata mama                (alama 2)
  2. i) – Kwamanufaayao
  • Kwamanufaayamkurugenzi ( 2 x 1=alama 2)
  1. Huyualiachishwa – Kiwakilishi

Mkurugenzihuyu – Kivumishikiashiria                                                                    ( 2 x 1=alama 2)

  1. Pundamkongwe- Kirainomino

ameshindwakutembea – Kiraikitenzi                                                                      ( 2 x 1=alama 2)

  1. Ashaaliwaambiakuwawangewatembeleawaazaziwaosikuhiyojioni (alama2)

 

 

 

 

  1. SEHEMU D : USHAIRI
  2. Kwa vile aliyaharibumazingiranahivyokizazikijachohakitapatakuonamazuriyamazingirahayo. (alama 2)
  3. – Majiyoteyamito, maziwanabahariyangechafukanakukauka.
  • Mimeaingekauka /kukatwa ( 2 x 1=alama 2)
  1. Anazinduawatuwatunzemazingirakwamanufaayakizazikijacho                (alama 2)
  2. Tasfida (alama 1)
  3. Anaonapiahangefayahivyonabadalayakeangejilaumuyeyekwa vile aliyaharibumazingirayale                (alama 4)
  4. Toni yahuruma                (alama 1)
  5. Mtu (mke au mume) wakizazi cha leoaliyekomaanaanayejalimazingira (alama 1)
  6. i) Watakaozaliwasikuzausoni                (alama 1)
  7. ii) Walioishisikuzilizopita (alama 1)

 

  1. SEHEMU E: FASIHI (ALAMA 20)

RIWAYA CHOZI LA RERI

  1. Atharizamzozowabaadayakutawazwakwakiongozimpyanchiniwahafidhina
  2. Kuzorotakwausalama
  3. Kuuliwakwaraia
  • Ukimbiziwandanikwandani
  1. Kuchomwakwamali
  2. Uporajiwamalihasayawafanyabiashara
  3. Kudidimiakwauchumi
  • Maandamano
  • Kujeruhiwa
  1. Ubakaji
  2. Kukwamakwausafiri
  3. Uharibifuwamazingira
  • Kufurushwa
  • Uharibifuwamisitu
  • Hofuyakushambuliwa
  1. Magonjwa ( zozote 10 x 1=alama 10)
  2. Jinsihakizawatotozinavyokiukwanchiniwahafidhina
  3. Kuchapwa –Ridhaaanamchapamwangeka
  4. Kutotibiwa –watotowawafanyikazikatikashamba la kahawahawatibiwi
  • Kuuliwakwawazaziwao- katika vitakatikamsituwa Mamba,walindausalamawanauawazaziwakimbizinakuwaachawatotowakiwamayatime
  1. Kuibwa-Sauna anawaiba Dick naMwaliko.
  2. Kutelekezwakatikaumaskini – Baba KaivuanamtelekezaKaivukatikaumaskini.
  3. Kuhiniwamalezi – FumbaanamhiniChandachemamalezikwakumtelekezakwanyanyake.
  • Kunyimwachakula-MwangekanaMwangemwananyimwachakulana mama zao.
  • Kutishwa-Dick alitishwana Buda kuwaatasingiziwawiziakikataakulanguadawazakulevya.
  1. KunyanyaswakimapenzimfanoZohali
  2. KutumikishwaMfanoZohali
  3. KutumiwakamavyombovyamapenzimfanoFumbaa
  • Kuajiriwa –Chandachemakuchunamajaniakiwadarasani
  • KuuzamihandaratiMfano Dick
  • KukatizwamasomoMfanoMwalimuna Dick
  1. Kuchomwa-UmatiunamchomaLemi
  • Kukataliwanawazazimfano Baba kipagaanamkanaKipanga.
  • KuuzwaMfano Bi. Kangaraanawanzawasicha;

Kadiriamajibumengine                                                           ( zozote 10 x 1=alama 10)

 

KIGOGO

  1. Anaangamizawapinzani wake
  2. Anafungasoko la chapakazi
  • Anaajiriwatuwanasabayao
  1. Kandarasizinatolewakwamapendeleo
  2. Anatumiapolisivibayakuwapiganakuwauawaandamanaji
  3. JelainatumiwakwamanufaayakeMajoka
  • Anaidhinishaupikajiwapombeharamu
  • Majokaanaruhusuuchafuziwamazingira
  • RasilimalizaserikaliyaJimbo la Sagamoyozinatumikakugharamiashereheyasikuyakuzaliwakwake. (zozote 10 x 1=alama 10)

 

HADITHI FUPI: TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINE

  1. Jinsisuala la umaskinilinajitokezakatikahadithiyaTumboLisiloshiba
  2. Maskinihawashauriwikuhusiananamaamuziyanayowahusu K.V kuhamishwa
  1. Madongoporomokanimtaawenyevibandauchwaravinavyozungukwanauozonabubujiko la majimachafu.
  2. Mnaharufuyauvundoinayoudhi
  • Mkahawamshenzi (duni) unapatikanakatikamtaahuu.
  1. WakaziwaMadongoporomokawanaelezwakuwamaskinina Bi. Suruta “Huwawanajalininikuhusuwatumaskinikamasisi?”
  2. (zozote 1 x 10=alama 10)

 

  1. i)Ni maelezoyamwandishi

Yanahusumaishayaubadhirifuyamzee mambo.

Mzee mambo ameandaasherehekubwasababumtoto wake wa kwanza anaingianasarina Yule wamwishoameanzakuotameno.

Mwandishianamdhihakikwaubadhirifuhuuwakujihusishana mambo yasiokuwanamaana.                                                                                                                                        ( 4 x 1=alama 4)

  1. ii) – Mporaji –Mzee mambo nimfanyikazihewaanayeporataifakwakudaikuzifanyiawizarambalimbalikazi.
  • Fisadi –Hafanyikazilakinianapokeamshaharakutokawizarambalimbali.
  • Mnafiki – Anajifichandaniyauchamunguilikujiliwaza.

(Kadiriamajibumengineyawanafunzi)                                                       ( 3 x 2=alama 6)

 

  1. SEHEMU YA F: ISIMU JAMII
  2. i) Kuonyeshahisiazaok.mkirafiki, furahan.k
  3. ii) Kujinasibishanahadhiyalughaiwapokatikajamiilughamojainahadhikulikonyingine.

iii) Kuonyeshaumahiriwalughamoja au zaidi

  1. iv) Kujitambulishakatikakundilitumialolugha Fulani.
  2. v) Mtuanapokosamsamiati. (zozote 4 x 1=alama 4)
  3. i) Lugharasminasahihikisarufikutumiwa.
  4. ii) Huzingatiazaidikutoaushahidiilihukumuitolewe.

iii) Lughayaheshimahutumiwanamawakilinawatuwenginekumuelekeahakimu.

  1. iv) Huhusishakuulizamaswalinakujibizana.
  2. v) Sentensihuwandefunamarudiokwakusudi la kuondoautata.

vi)Msamiatiwamahakamahutumiwak.mmshtakiwa, kesin.k

(Mwalimuakadiriemajibumengineyamwanafunzi)                                          ( 6 x 1=alama 6)

Scroll to Top