Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Marsbahis

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

hacklink panel

hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Rank Math Pro Nulled

WP Rocket Nulled

Yoast Seo Premium Nulled

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Nulled WordPress Plugins and Themes

Hacklink

hacklink

Taksimbet

Marsbahis

Hacklink

Marsbahis

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Bahsine

Hacklink

Betmarlo

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

duplicator pro nulled

elementor pro nulled

litespeed cache nulled

rank math pro nulled

wp all import pro nulled

wp rocket nulled

wpml multilingual nulled

yoast seo premium nulled

Nulled WordPress Themes Plugins

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Bahiscasino

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink

Madridbet

Marsbahis

Betpas

aşk büyüsü

Tantra massage in Istanbul

porno

Hacklink

Hacklink

Marsbahis

unblocked games

maç izle

dizipal

esbet

Canlı Maç İzle

wbahis giriş

wbahis resmi

edukyno işitme cihazları

matbet giriş

deneme bonusu veren siteler

Hititbet

Betpas giriş

Betpas güncel giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

dumanbet

kavbet

kavbet

matbet

grandpashabet giriş

grandpashabet giriş

sahabet giriş

grandpashabet

marsbahis

Kuaför

işitme cihazı satın al

matbet tv

puff

padişahbet

padişahbet

levant casino

padişahbet

hd film izle

taraftarium24

nycbahis

vaycasino

casibom

jojobet telegram

dopamin giriş

vds

https://creditfree.us.com

slot dana

deposit 5000

Instagram Türk Takipçi Satın Al

sekabet giriş

cazinom

jojobet cc

güvenilir bahis siteleri

casibom giriş

bahiscasino

jojobet twitter

meritking

meritking

casibom giriş

deneme bonusu

casibom

betnano

betnano

royalbet

vbet

maltcasino

sekabet

dumanbet

dumanbet

padişahbet

casibom giriş

1xbet

xslot

güvenilir bahis siteleri

dinamobet

lidyabet

lidyabet

jojobet giriş

sekabet

retro bowl

levant casino

celtabet giriş

sekabet güncel

yakabet güncel giriş

primebahis

dizipal

yabancı dizi izle

google

dizipal

Hiltonbet

Hititbet

Hititbet giriş

Betpas giriş

Betpas güncel giriş

blooket cheats

Pinbahis Giriş

Mujeres empresarias y emprendedoras en México

rekorbet

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

casibom giriş

galabet giriş

bahsegel

marsbahis

padişahbet

casibom

royalbet

sonbahis giriş

Garanti | Web Tasarım & Siber Güvenlik

saltbahis

Betmarino Güncel Giriş

casibom giriş

casibom

Hititbet giriş

jojobet güncel giriş bahiscasino bahiscasino giriş casinoroyal casibom betsmove casibom

unblocked games 76

casibom giriş

casibom yeni adres

esbet

casibom

esbet

bullbahis

bullbahis

kuruluş orhan son bölüm izle

hazbet

holiganbet

matbet

holiganbet giriş

jojobet güncel

betsmove

betsmove giriş

betnano

betnano

betnano

betnano

matbet

katla

dizipal

yabancı dizi izle

hd porn

casibom güncel giriş

galabet

bets10

dumanbet

son bölüm izle

Casibom giriş

fatih escort

galabet

betturkey giriş adresi

unblocked

retro bowl unblocked 76

padişahbet

jojobet

jojobet

Hititbet

Hititbet giriş

Betpas giriş

Betpas güncel giriş

slot gacor

Streameast

jojobet para

jojobet

Betpas

Betpas Giriş

yohoho

betturkey giriş

github.io unblocked

deneme bonusu veren siteler

yakabet

padişahbet

Hacklink

Hacklink

sahabet

casibom giriş

Marsbahis

Hacklink

Marsbahis

Marsbahis

Marsbahis

Marsbahis

Antalya Escort

casibom giriş

casibom

slot gacor

pusulabet

holiganbet

7mmbet, 7mmbet live chat, Agen Sbobet

betturkey

onwin

onwin

casibom

casibom giriş

casibom güncel

casibom güncel giriş

casibom giriş adresi

casibom güncel adres

betovis

kavbet

betovis

Hacklink panel

bahiscasino

asyabahis

artemisbet

antalya dedektör

teknoloji ekibi tm2

tm2 dedektör

dedektör

dedektor

casibom

pusulabet

conrad gr4 dedektör

conrad gr4

conrad gr4 dual

conrad gr4 dedektör

conrad gr4

conrad gr4 dual

conrad gr4 yeraltı görüntüleme

antalya dedektör

antalya ikinci el dedektör

antalya xp dedektör

tipobet

tipobet

tarafbet

ultrabet

padişahbet

nitrobahis

galabet

betnano

atlasbet

aresbet

alobet

holiganbet

meritking

grandpashabet

bahsegel

sekabet

yakabet

mariobet giriş

Galabet

slot gacor

minelab dedektör

dedektör

altın dedektörü

conrad gr4 dual

casibom giriş

favorisen giriş

dedektör

dedektör fiyatları

altın dedektörü

define dedektörü

dedektör

dedektör

dedektör

via gold dedektör

minelab dedektör

model 15 alan tarama

grandpashabet

maksibet

pusulabet

nitrobahis

matbet

bahiscasino

sekabet

celtabet

tambet

imajbet

marsbahis

minelab gpx 6000

gpx 6000 dedektör

casinoroyal

casibom güncel adres

kingroyal

levant casino giriş

tlcasino

livebahis

tlcasino.win

tlcasino giriş

wbahis

wbahis giriş

casinowon

casinowon giriş

casinowonadresgiris.com

bahiscasino

bahiscasino giriş

https://bahiscasino.pro/

grandpashabet giriş

vaycasino

meritking

matbet

onwin

sahabet

matadorbet

betebet

cratosroyalbet

betebet

vegabet

matadorbet

tipobet

lunabet

matbet

www.giftcardmall.com/mygift

Galabet

MUDA: SAA 2

 

JINA:____________________________________NAMBARI:________DARASA:_______

 

1.INSHA (alama 20)

Uhalifu umejaa kitongojini mwenu,andika hotuba ya chifu wa eneo lenu kwa wanakijiji.

 

2.UFAHAMU

SOMA TAARIFA IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI YANAYOFUATA

Wanasayansi wengi wameshidnwa kuelewa ni kwa nini watu huvuta sigara jambo hili kuwa moshi wa sigara huathiri wavutaji wa sigara na watu walio karibu nao na pengine huleta ugonjwa wa moyo. Wavutaji hupatwa na kikohozi cha adaima kisichosikia dawa, maisha hupata limuewatatiza binadamu kwa karne nyingi zilizopita na kuwaacha  rundo la maswali kuhusu uvutaji sigara.

sigara au sigareti ni kitu cha uraibu wa kuvuta, kinachotengenezwa kwa majani ya tumbako yaliyokaushwa. Husokotwa katika karatasi maalum. Tumbako pia huvutwa kwenye kiko hunuswa na hutafunwa.. tumbako inayosagwa na kunuswa au kubwiwa huitwa ugoro.

Hapana shaka wavutaji sigara huharibu afya yao. Wataalamu wa sayansi na madaktari wamefanya uchunguzi na wamethibitisha maradhi mfano wa pumu kutokana na moshi wa sigara unaowakereta koo. Kuna pia wanaosema kwamba uvutaji sigara unasababisha saratani ya mapafu. Watu wengi hufa kwa ugonjwa wa ghafla kwa sababu ya sumu ya moshi wa sigara  ambao hutunguza na kuyatoboatoboa mapafu.

Baadhi ya wavuta sigara hutupa vipande vya sigara ovyo bila kuzimwa na hivyo husababisha hasara kubwa kama vile uchomaji wa misitu, nyumba na nguo na wakati mwingine husababisha hata vifo. Uvutaji sigara umefika kiwango cha kusikitisha, utaona vijana yaaniwasichana na wavulana  wadogo sana, wakivuta sigara mbele ya watu wazima bila kujali hii ni aibu kubwa sana.

Tabia hii inatokana na mifano wanayoiona kutoka kwa wazazi wao au watu wengine. Si ajabu kumsikia mzazi akimtuma mwanawe akamununulie pakiti ya sigara au kopo la tumbako. Wazazi  kama hao huwafanya watoto wavute sigara ili nao wajione kama  ni watu wazima.

Sababu nyingine ya kuvuta sigara ni kutaka kujionyesha ati wana nakidi na kwao, au umaarufu. Hivyo basi sigara hazifai kupatiwa matangazo yenye kuvutia kwa vijana.

Aina nyingine ya uaraibu ni uvutaji bangi. Bangi ni aina ya mimea Fulani unaolevya na kupumbuza akili yanapotafunwa au kuvutwa. Wavuta bangi kwa hakika hupatwa na baa nyingi mwilini. Hukonda na huvaringika akili sijue wanalofanya. Wataalamu husema bangi ikiingia akilini, huharibu kitivo cha fikira mpaka mtu huwa kama mwenda wazimu.

Ni muhimu wazazi na walimu wawakataze na wawakanye watoto wasishiriki katika tabia hizi mbaya.

 

 

MASWALI

  1. Ipe taaarifa uliyosoma kichwa mwafaka.       (alama 2)

 

 

  1. Taja madhara ya sigara katika afya zetu.  (alama 4)

 

 

  1. Sababu zipi hufanya watu huvuta sigara. (alama 3)

 

 

  1. Taja jukumu la wazazi na walimu dhidi ya uvutaji sigara wa vijana ni lipi? (alama 2)

 

 

  1. Hasara gani zinazopatikana katika mazingira yetu kutokana na uvutaji sigara (alama 2)

 

 

 

 

 

  1. Fafanua maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika habari hii       (alama 2)
  • Uraibu

 

  • Nakidi

 

 

  1. MATUMIZI YA LUGHA (Alama 30)
  2. a) Eleza tofauti kati ya sauti hizi : (alama 2)

/r/ na /l/

 

b)Onyesha silabi inayowekwa shadda kwenye maneno haya : (alama 2)

  1. Karatasi
  2. Samahani
  3. c) Andika ukubwa wa: (alama 2)
  4. Mti
  5. Kiatu

d)Kanusha sentensi hii katika wingi:  (alama 2)

Kifaru anapatikana mbugani

 

e)Andika sentensi zifuatazo kwa kutumia kirejeshi amba-   (alama 2)

Mabondia hawa ni wale waliotuwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.

 

  1. f) Eleza maana ya kiimbo (alama 2)

 

  1. g) Onyesha viambishi awali na tamati katika : (alama 2)

Uliotatizika

 

h)Tunga sentensi yenye sehemu hizi:  (alama 2)

N+V+T+E

 

g)Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii:   (alama 2)

Alimpigia mpira.

 

h)Andika sentensi hii katika hali ya udogo:  (alama 2)

Watu wale ni weusi tititi hawaonekani gizani.

 

i)Sahihisha sentensi  ifuatayo: (alama 2)

Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe mbili.

 

j)Eleza maana ya misemo ifuatayo:   (alama 2)

  1. Vaa miwani

 

  1. Kula kalenda
  2. k) Taja matumizi mawili ya kistari kifupi: (alama 2)

 

l)Andika maneno yenye sauti mwambatano zenye miundo hii: (alama 4)

  1. I+I

 

  1. K+K+I
  • K+K+K+I

 

  1. K+I+I

 

FASIHI SIMULIZI                                                                                                (ALAMA 5)

 

  1. a) Eleza umuhimu wa nyimbo

MWONGOZO

JINA:____________________________________ NAMBARI:____________________DARASA:_______

 

1.INSHA (alama 20)

Uhalifu umejaa kitongojini mwenu,andika hotuba ya chifu wa eneo lenu kwa wanakijiji.

a)KICHWA

Kiandikwe kwa herufi kubwa na kupigiwa mstari

Kiwe kikamilifu na cha kueleweka moja kwa moja

Neno “hotuba” lazima liwe

b)Utangulizi

salamu zikiwepo ziwe zimefuata itifaki, kuanzia vyeo vya juu hadi vya chini.

Kiini cha hotuba kitajwe.

c)Mwili

Ujumbe uelezwe kwa kina

Vipengele vya kuzingatia ni kama vile:

  • Matumizi ya dawa za kulevya
  • Ukosefu wa ajira
  • Umaskini
  • Kulipa kisasi
  • Kutotendewa haki
  • Kuogopa aibu na kulinda hadhi
  • Wivu wa mali

d)Hitimisho

 

 

2.UFAHAMU

SOMA TAARIFA IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI YANAYOFUATA

 

Wanasayansi wengi wameshidnwa kuelewa ni kwa nini watu huvuta sigara jambo hili kuwa moshi wa sigara huathiri wavutaji wa sigara na watu walio karibu nao na pengine huleta ugonjwa wa moyo. Wavutaji hupatwa na kikohozi cha adaima kisichosikia dawa, maisha hupata limuewatatiza binadamu kwa karne nyingi zilizopita na kuwaacha  rundo la maswali kuhusu uvutaji sigara.

sigara au sigareti ni kitu cha uraibu wa kuvuta, kinachotengenezwa kwa majani ya tumbako yaliyokaushwa. Husokotwa katika karatasi maalum. Tumbako pia huvutwa kwenye kiko hunuswa na hutafunwa.. tumbako inayosagwa na kunuswa au kubwiwa huitwa ugoro.

Hapana shaka wavutaji sigara huharibu afya yao. Wataalamu wa sayansi na madaktari wamefanya uchunguzi na wamethibitisha maradhi mfano wa pumu kutokana na moshi wa sigara unaowakereta koo. Kuna pia wanaosema kwamba uvutaji sigara unasababisha saratani ya mapafu. Watu wengi hufa kwa ugonjwa wa ghafla kwa sababu ya sumu ya moshi wa sigara  ambao hutunguza na kuyatoboatoboa mapafu.

Baadhi ya wavuta sigara hutupa vipande vya sigara ovyo bila kuzimwa na hivyo husababisha hasara kubwa kama vile uchomaji wa misitu, nyumba na nguo na wakati mwingine husababisha hata vifo. Uvutaji sigara umefika kiwango cha kusikitisha, utaona vijana yaaniwasichana na wavulana  wadogo sana, wakivuta sigara mbele ya watu wazima bila kujali hii ni aibu kubwa sana.

Tabia hii inatokana na mifano wanayoiona kutoka kwa wazazi wao au watu wengine. Si ajabu kumsikia mzazi akimtuma mwanawe akamununulie pakiti ya sigara au kopo la tumbako. Wazazi  kama hao huwafanya watoto wavute sigara ili nao wajione kama  ni watu wazima.

Sababu nyingine ya kuvuta sigara ni kutaka kujionyesha ati wana nakidi na kwao, au umaarufu. Hivyo basi sigara hazifai kupatiwa matangazo yenye kuvutia kwa vijana.

Aina nyingine ya uaraibu ni uvutaji bangi. Bangi ni aina ya mimea Fulani unaolevya na kupumbuza akili yanapotafunwa au kuvutwa. Wavuta bangi kwa hakika hupatwa na baa nyingi mwilini. Hukonda na huvaringika akili sijue wanalofanya. Wataalamu husema bangi ikiingia akilini, huharibu kitivo cha fikira mpaka mtu huwa kama mwenda wazimu.

Ni muhimu wazazi na walimu wawakataze na wawakanye watoto wasishiriki katika tabia hizi mbaya.

 

 

MASWALI

  1. Ipe taaarifa uliyosoma kichwa mwafaka.              (alama 2)                                                                                           

Uvutaji sigara

  1. Taja madhara ya sigara katika afya zetu.  (alama 4)

Huunguza na kutoboa mapafu

Husababisha saratani ya mapafu

Hupata maradhi ya pumu

Kufa kwa ugonjwa wa ghafla

  1. Sababu zipi hufanya watu kuvuta sigara. (alama 3)                                                                                          Kujiona wana nakidi ya pesa

Watoto huiga mifano ya wazazi wao

Hutokana na matangazo ya kuvutia

  1. Taja jukumu la wazazi na walimu dhidi ya uvutaji sigara wa vijana ni lipi?            (alama 2)

Wazazi na walimu wa wakanya  vijana kuvuta sigara

  1. Hasara gani zinazopatikana katika mazingira yetu kutokana na uvutaji sigara (alama 2)                                

Msitu huchomeka,nguo na nyumba

 

 

  1. Fafanua maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika habari hii                 (alama 2)                                            
  • Uraibu-uzoefu,kupenda sana
  • Nakidi- pesa taslimu

 

  1. MATUMIZI YA LUGHA (Alama 30)
  2. a) Eleza tofauti kati ya sauti hizi : (alama 2)

                /r/ na /l/

                /r/ ni kimadende na /l/ ni kitambaza

b)Onyesha silabi inayowekwa shadda kwenye maneno haya : (alama 2)

  1. Karatasi- Kara’tasi
  2. Samahani-Sama’hani
  3. c) Andika ukubwa wa: (alama 2)
  4. Mti- Jiti
  5. Kiatu-Jiatu

d)Kanusha sentensi hii katika wingi:  (alama 2)

                Kifaru anapatikana mbugani

Vifaru hawapatikani mbugani.

e)Andika sentensi zifuatazo kwa kutumia kirejeshi amba-   (alama 2)

                Mabondia hawa ni wale waliotuwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.

Mabondia hawa ni wale ambao walituwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.

  1. f) Eleza maana ya kiimbo (alama 2)

Kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti

  1. g) Onyesha viambishi awali na tamati katika : (alama 2)

                Uliotatizika

U-li-o viambishi awali

i-ka viambishi tamati

h)Tunga sentensi yenye sehemu hizi:  (alama 2)

                N+V+T+E

Mwanafunzi bora alituzwa jana. (mwalimu akadirie mifano zaidi)

(mwalimu akadirie miundo ingine mwafaka)

g)Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii:   (alama 2)

                Alimpigia mpira.

Alipiga kwa niaba yake

Aliupiga mpira kwenda upande wake

h)Andika sentensi hii katika hali ya udogo:  (alama 2)

                Watu wale ni weusi tititi hawaonekani gizani.

Vijitu vile ni vyeusi  tititi havionekani gizani.

i)Sahihisha sentensi  ifuatayo: (alama 2)

Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe mbili.

Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe wawili.

j)Eleza maana ya misemo ifuatayo:   (alama 2)

  1. Vaa miwani- kulewa
  2. Kula kalenda- Fungwa jela
  3. k) Taja matumizi mawili ya kistari kifupi: (alama 2)

kuandika tarehe km 03-03-2021

kuonyesha neno linaendelea katika mstari unaofuata

kutenga silabi na nyingine hasa katika ufunzaji wa Ushairi

kutenga neno au sentensi na ufanunuzi

(mwalimu akadirie maelezo na mifano)

l)Andika maneno yenye sauti mwambatano zenye miundo hii: (alama 4)

  1. I+I-oa
  2. K+K+I- m-cha
  3. K+K+K+I-mbwa
  4. K+I+I-kaa

 

FASIHI SIMULIZI (alama 5)

 

  1. a) Eleza umuhimu wa nyimbo

Kuburudisha

Kukejeli

Kuasa

Kupata riziki

Kuhifadhi na kuendeleza utamaduni

Kutimiza shughuli mbalimbali

 

Scroll to Top